ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi

ANGALIZO: Usimuache ndugu yako aondoke peke yake na watu wanaojitambulisha kama polisi

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
Si mara moja polisi kuhusishwa na matukio ya upotevu wa watu wanaowakamata pale wanapoondoka nao na kutoweka kwenye mazingira ya utata au kupotea moja kwa moja.

Kwa yaliyotokea kwa ndugu yatu Sativa (Edgar) ni muendelezo wa hatari iliyopo pindi ndugu zetu wanapokuwa katika mikono ya polisi, ndugu yetu anasema alipelekwa hadi Kituo cha Polisi Osterbay cha ajabu hapakuwa hata na taarifa zake hii ilikuwa na maana gani? Kumtoa uhai bila watu kujua? Ndugu wanamtafuta wameenda hadi kituo hicho cha polisi na hao polisi walikataa kumshikiria ndugu Sativa hii kutokana na kutomuingiza ktk rekodi ili iwe rahisi kumpoteza.

Polisi siyo sehemu salama tena ndugu zangu kila mmoja anapoona ndugu yake au Mtanzania kachukuliwa na polisi basi ajue kuna mawili, kumuona tena nudgu yake au kumpoteza moja kwa moja, kodi za Watanzania zinatumika vibaya sana!

Ukiona ndugu yako anaondoka na polisi itaneni muwe hata wa 4 au zaidi kuhakikisha anafika salama na hali ya afya yake mliyomuacha nayo na kuyajua majina ya polisi na vitambulisho vyao vya kazi msikubali waondoke nao peke yao itakula kwenu.

Polisi sio sehemu salama tena.

====

Pia soma:
Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
 
K
Si mara moja polisi kuhusishwa na matukio ya upotevu wa watu wanaowakamata pale wanapoondoka nao na kutoweka kwenye mazingira ya utata au kupotea moja kwa moja.

Kwa yaliyotokea kwa ndugu yatu sativa (Edgar) ni muendelezo wa hatari iliyopo pindi ndugu zetu wanapokuwa ktk mikono ya polisi ndugu yetu anasema alipelekwa hadi kituo cha polisi osterbay cha ajabu hapakuwa hata na taarifa zake hii ilikuwa na maana gani? Kumtoa uhai bila watu kujua? Ndugu wanamtafuta wameenda hadi kituo hicho cha polisi na hao polisi walikataa kumshikiria ndugu sativa hii kutokana na kutomuingiza ktk rekodi ili iwe rahisi kumpoteza.

Polisi sio sehemu salama tena ndugu zangu kila mmoja anapoona ndugu yake au Mtanzania kachukuliwa na polisi basi ajue kuna mawili kumuona tena nudgu yake au kumpoteza moja kwa moja kodi za watanzania zinatumika vibaya sana

Ukiona ndugu yako anaondoka na polisi itaneni muwe hata wa 4 au zaidi kuhakikisha anafika salama na hali ya afya yake mliyomuacha nayo na kuyajua majina ya polisi na vitambulisho vyao vya kazi msikubali waondoke nao peke yao itakula kwenu.

Polisi sio sehemu salama tena.
Kuna siku niliokota pochi Ina vitambulisho na pesa Kuna Mwana mmoja eti ananishauri nivipeleke polisi nilimjibu tu " Man jaribu kuwa serious ".
 
Si mara moja polisi kuhusishwa na matukio ya upotevu wa watu wanaowakamata pale wanapoondoka nao na kutoweka kwenye mazingira ya utata au kupotea moja kwa moja.

Kwa yaliyotokea kwa ndugu yatu sativa (Edgar) ni muendelezo wa hatari iliyopo pindi ndugu zetu wanapokuwa ktk mikono ya polisi ndugu yetu anasema alipelekwa hadi kituo cha polisi osterbay cha ajabu hapakuwa hata na taarifa zake hii ilikuwa na maana gani? Kumtoa uhai bila watu kujua? Ndugu wanamtafuta wameenda hadi kituo hicho cha polisi na hao polisi walikataa kumshikiria ndugu sativa hii kutokana na kutomuingiza ktk rekodi ili iwe rahisi kumpoteza.

Polisi sio sehemu salama tena ndugu zangu kila mmoja anapoona ndugu yake au Mtanzania kachukuliwa na polisi basi ajue kuna mawili kumuona tena nudgu yake au kumpoteza moja kwa moja kodi za watanzania zinatumika vibaya sana

Ukiona ndugu yako anaondoka na polisi itaneni muwe hata wa 4 au zaidi kuhakikisha anafika salama na hali ya afya yake mliyomuacha nayo na kuyajua majina ya polisi na vitambulisho vyao vya kazi msikubali waondoke nao peke yao itakula kwenu.

Polisi sio sehemu salama tena.
Kutokana na hali halisi iliyopo ya watu/watuhumiwa wengi kuuawa kiholela wakiwa mikononi mwa Askari Polisi au wakiwa katika Vituo vya Polisi, ni dhahiri kabisa kwamba Vituo vya Polisi kwa Sasa SIYO sehemu salama Tena, bali vimegeuka kuwa ni Kambi za Mateso na Kifo.
Kitendo tu Cha kukamatwa na Askari Polisi siku hizi ni sawasawa na Kukutana na kifo
 
Umenena vyema ngoja niwakumbushe rafiki
Serikali yoyote duniani lazima iwe inatisha na kuogopwa usidhani kuna serkali yoyote ambayo itakuwa tepetevu itaheshimika.
ila inatakiwa itumie njia sahihi za kuwakamata wahalifu. Kikubwa ujue huwezi kupambana na serikali ukawa salama hata kama ni serikali ya Vatcan. Hayo yote huwapata watu wote ambao hujitoa Muhanga wakupambana na serikali siyo Tanzania tu ila ulimwenguni kote.
 
Serikali yoyote duniani lazima iwe inatisha na kuogopwa usidhani kuna serkali yoyote ambayo itakuwa tepetevu itaheshimi
Kaka, ila inatakiwa itumie njia sahihi za kuwakamata wahalifu. Kikubwa ujue huwezi kupambana na serikali ukawa salama hata kama ni serikali ya Vatcan. Hayo yote huwapata watu wote ambao hujitoa Muhanga wakupambana na serikali siyo Tanzania tu ila ulimwenguni kote.
Sawa mkuu
 
Serikali yoyote duniani lazima iwe inatisha na kuogopwa usidhani kuna serkali yoyote ambayo itakuwa tepetevu itaheshimika.
ila inatakiwa itumie njia sahihi za kuwakamata wahalifu. Kikubwa ujue huwezi kupambana na serikali ukawa salama hata kama ni serikali ya Vatcan. Hayo yote huwapata watu wote ambao hujitoa Muhanga wakupambana na serikali siyo Tanzania tu ila ulimwenguni kote.
You are completely Wrong!

Katika nchi yoyote ile ambako kuna Utawala wa Sheria na wa ki-Demokrasia, penye Utawala Bora Uliostaarabika, kitu pekee kabisa ambacho kinatisha katika nchi ni KUVUNJA SHERIA ZA NCHI HUSIKA. Hiki ndio kitu pekee kabisa ambacho kinatisha Sana katika nchi za wenzetu ambazo Zina Tawala zilizostaarabika, because no one is above the law.
 
Si mara moja polisi kuhusishwa na matukio ya upotevu wa watu wanaowakamata pale wanapoondoka nao na kutoweka kwenye mazingira ya utata au kupotea moja kwa moja.

Kwa yaliyotokea kwa ndugu yatu Sativa (Edgar) ni muendelezo wa hatari iliyopo pindi ndugu zetu wanapokuwa katika mikono ya polisi, ndugu yetu anasema alipelekwa hadi Kituo cha Polisi Osterbay cha ajabu hapakuwa hata na taarifa zake hii ilikuwa na maana gani? Kumtoa uhai bila watu kujua? Ndugu wanamtafuta wameenda hadi kituo hicho cha polisi na hao polisi walikataa kumshikiria ndugu Sativa hii kutokana na kutomuingiza ktk rekodi ili iwe rahisi kumpoteza.

Polisi siyo sehemu salama tena ndugu zangu kila mmoja anapoona ndugu yake au Mtanzania kachukuliwa na polisi basi ajue kuna mawili, kumuona tena nudgu yake au kumpoteza moja kwa moja, kodi za Watanzania zinatumika vibaya sana!

Ukiona ndugu yako anaondoka na polisi itaneni muwe hata wa 4 au zaidi kuhakikisha anafika salama na hali ya afya yake mliyomuacha nayo na kuyajua majina ya polisi na vitambulisho vyao vya kazi msikubali waondoke nao peke yao itakula kwenu.

Polisi sio sehemu salama tena.

====

Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na watu wasiojulikana
muhimu sana
tunaomba polisi wafuate sheria,wasigeuke magaidi
 
You are completely Wrong!

Katika nchi yoyote ile ambako kuna Utawala wa Sheria na wa ki-Demokrasia, penye Utawala Bora Uliostaarabika, kitu pekee kabisa ambacho kinatisha katika nchi ni KUVUNJA SHERIA ZA NCHI HUSIKA. Hiki ndio kitu pekee kabisa ambacho kinatisha Sana katika nchi za wenzetu ambazo Zina Tawala zilizostaarabika, because no one is above the law.
Jua kwamba hizo sheria za nchi zinasimamiwa na watu hata hizo nchi zillizo endela huwa wakipata kauponyo huwafanyia kitu mbaya sana watu wanao wapinga tunaona saudi Arabia walivyo na mfanya kashogi na marekani wala hawakutia neno kwahiyo siku zote nikujiadhali sana na hizi serkali zetu la sivyo utishia shimo la tewa
 
Jua kwamba hizo sheria za nchi zinasimamiwa na watu hata hizo nchi zillizo endela huwa wakipata kauponyo huwafanyia kitu mbaya sana watu wanao wapinga tunaona saudi Arabia walivyo na mfanya kashogi na marekani wala hawakutia neno kwahiyo siku zote nikujiadhali sana na hizi serkali zetu la sivyo utishia shimo la tewa
Hakuna demokrasia Saudi Arabia. Lakini kwetu hapa kuna demokrasia na katiba ambayo imedhinisha wazi no extra judiciary killings ni mahakama tu ndio inatoa hukumu. Hakuna aliye juu ya sheria.

Kinachoendelea ni uonevu tu.
 
You are completely Wrong!

Katika nchi yoyote ile ambako kuna Utawala wa Sheria na wa ki-Demokrasia, penye Utawala Bora Uliostaarabika, kitu pekee kabisa ambacho kinatisha katika nchi ni KUVUNJA SHERIA ZA NCHI HUSIKA. Hiki ndio kitu pekee kabisa ambacho kinatisha Sana katika nchi za wenzetu ambazo Zina Tawala zilizostaarabika, because no one is above the law.
Absolutely right.
 
Hakuna demokrasia Saudi Arabia. Lakini kwetu hapa kuna demokrasia na katiba ambayo imedhinisha wazi no extra judiciary killings ni mahakama tu ndio inatoa hukumu. Hakuna aliye juu ya sheria.

Kinachoendelea ni uonevu tu.
Tz Hakuna demokrasia Wala Utawala wa Sheria. Aidha, watawala wengi waliopo kwenye nchi hii wapo juu ya Sheria, hawawezi kushitakiwa mahali popote pale, Mfano ulio hai ni Rais wa nchi.

Vile vile, uonevu hauwezi kuwepo kwenye nchi ambayo Kuna Utawala wa kidemokrasia na/au Utawala wa Sheria.
Get informed.
 
Tz Hakuna demokrasia Wala Utawala wa Sheria. Aidha, watawala wengi waliopo kwenye nchi hii wapo juu ya Sheria, hawawezi kushitakiwa mahali popote pale, Mfano ulio hai ni Rais wa nchi.

Vile vile, uonevu hauwezi kuwepo kwenye nchi ambayo Kuna Utawala wa kidemokrasia na/au Utawala wa Sheria.
Get informed.
Kifungu cha katiba namba 46(1) kinampa raisi immunity akiwa madarakani tu lkn anaweza kushitakiwa kwa makosa aliyofanya kabla au baada ya kuwa madarakani.
Raisi pia anaweza kuondolea madarakani kwa impeachment ya bunge.
 
Kifungu cha katiba namba 46(1) kinampa raisi immunity akiwa madarakani tu lkn anaweza kushitakiwa kwa makosa aliyofanya kabla au baada ya kuwa madarakani.
Raisi pia anaweza kuondolea madarakani kwa impeachment ya bunge.
Hapa kwetu bunge kufanya hivyo ni kama idadi ya namba ya wabunge tawala ingekuwa almost nusu kwa nusu na upinzani. Then muswada kama huo unapotokea ni rahisi kwa baadhi ya wabunge ku-overlap na kuungana na wengine ktk baadhi ya miswada, Inatokea sana ktk democrasia zilizoendelea. Kwa hiyo, yes ni ngumu sana kumshitaki raisi. Kati ya jumla ya wabunge 393 upinzani ni kiduchu na wengine pia wanateuliwa na raisi. Sio rahisi. Basically kiasi nakubaliana na wewe.
 
Hakuna demokrasia Saudi Arabia. Lakini kwetu hapa kuna demokrasia na katiba ambayo imedhinisha wazi no extra judiciary killings ni mahakama tu ndio inatoa hukumu. Hakuna aliye juu ya sheria.

Kinachoendelea ni uonevu tu.
Tofautisha sheria na demokrasia. Hata china hakuna demokrasia lakini kuna sheria
 
Back
Top Bottom