Jagwanana
Senior Member
- Jul 3, 2024
- 130
- 224
TrueTofautisha sheria na demokrasia. Hata china hakuna demokrasia lakini kuna sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueTofautisha sheria na demokrasia. Hata china hakuna demokrasia lakini kuna sheria
Hili siyo jambo la kawaida, ni hatari sana, sana, sana!Polisi siyo sehemu salama tena ndugu zangu
Duuhkila mmoja anapoona ndugu yake au Mtanzania kachukuliwa na polisi basi ajue kuna mawili, kumuona tena nudgu yake au kumpoteza moja kwa moja
Aisee!!!kodi za Watanzania zinatumika vibaya sana!
Hili kiuhalisia ni gumu maana polisi wanakuwa na silaha za moto, na wanatekeleza mambo kwa shuruti.Ukiona ndugu yako anaondoka na polisi itaneni muwe hata wa 4 au zaidi kuhakikisha anafika salama na hali ya afya yake mliyomuacha nayo na kuyajua majina ya polisi na vitambulisho vyao vya kazi msikubali waondoke nao peke yao itakula kwenu.
Wakati Mpina ametimiza wajibu wakeTunaishi kama tupo Afghanistan,tuliowapigia kura wako bize na Mpina tu
kuna siku raia utasikia wamewakanda polisi mkuu hadi sasa hv ushainekana polisi ni kichaka cha uhuniHawa polisi wasipo jiangalia tutakuja kugawana majengo ya serikali japo na wao serikali. Kwa hali iendavyo siku sio nyingi kuna polisi atalia kwa hali kama hizi