GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wewe sema tu umeliona timu lako bovu siku ya Simba day.Nawatakieni uvumilivu mwema kwa matokeo yoyote yale (yasiyo ya Kufurahisha) ya Leo Jumatano na Kesho Alhamisi.
Mkifanikiwa sawa ila hali si nzuri kivile kinyota kwa wana Kariakoo wote au mmoja wao.
Msije kusema sikuwatahadharisha.
This is Thimba zwaneANAYEFANYA USAJILI WA KAMA HUU ANAAKILI TIMAMU KWELI?????????
.
Mawinga. 2023
1. Peter Banda.
2. Jimyson Mwinuke.
3. KIBU Denis.
4.Said Ntibazonkiza.
5. CLOTUS Chama 10-11.
6. Aubin Kramo.
7. Essomba Onana.
8. Luis Miquesson.
.
Hili KOSA lilifanyika 2020.
Mawinga walikuwa kumi, ukiunganisha idadi Yao mchango WAO MAGOLi hayafiki hata 10.
.
1 Bernald Morison.
2. Perfect CHIKWENDE.
3. Hassan Dilunga.
4. Ibrahim Ajibu.10--⁷
5.peter Banda.
6.pape sackho
7. Dunkan Nyoni
8. Valentine Muhilu.
9. KIBU Denis.
10. RALY BWALYA 8-10--11.
.
UNAJIULIZA HUU USAJILI UNAFANYWA NA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KWELI
Sasa ndio tutajua nani kasajili vizuri.Nawatakieni uvumilivu mwema kwa matokeo yoyote yale (yasiyo ya Kufurahisha) ya Leo Jumatano na Kesho Alhamisi.
Mkifanikiwa sawa ila hali si nzuri kivile kinyota kwa wana Kariakoo wote au mmoja wao.
Msije kusema sikuwatahadharisha.
Mkubwa Mmoja wa Kariakoo ( Simba au Yanga ) anakufa ( anafungwa Mkuu niamini kwani hata Kinujumu ( Kinyota ) Siku na Tarehe hazijakaa sawa Kwao labda yafanyike tu Makafara makubwa ila hali ni mbaya kwa Wakubwa wa Kariakoo Mmoja wao Leo ( Jumatano ) au Kesho ( Alhamisi )Fainali ni Simba na Yanga hao wengine waendelee kujifunza
Mkuu Gentamycine leo camouflage yako imevuja hadharani, pole sana!! siku zote nakusifu kuwa camouflage yako siyo ya kitoto, lakini leo wewe mwenyewe umeweka mambo hadharani kwenye kichwa cha uzi wako: Watu wa Kariakoo TUsiende(na wewe ukiwemo) na matokeo YEtu(na wewe ukiwemo) tanga hali si nzuri KWEtu(na wewe ukiwemo). Hiyo inaitwa kufumwa kweupe mchana kuwa Gentamycine ni mshabiki wa kariakoo/mwananchi/utopolo!! Hali si nzuri KWENU. Baada ya kufumwa huku na watoto wadogo wamekushuhudia, utaanzaje tena kusema wewe si wa kariakoo? Utaanzaje tena kusema wewe ni wa Msimbazi? Ngoja tuone utakavyojitetea-KARIBU!!Nawatakieni uvumilivu mwema kwa matokeo yoyote yale (yasiyo ya Kufurahisha) ya Leo Jumatano na Kesho Alhamisi.
Mkifanikiwa sawa ila hali si nzuri kivile kinyota kwa wana Kariakoo wote au mmoja wao.
Msije kusema sikuwatahadharisha.
Simba huwa haijitambulishi kama mkazi wa kariakoo!!! Simba inajitambulisha kama mkazi wa Msimbazi!! Wewe na yanga yako ndio wa kariakoo!! Usilazimishe camouflage wakati leo camouflage imekugomea!!Mkubwa Mmoja wa Kariakoo ( Simba au Yanga ) anakufa ( anafungwa Mkuu niamini kwani hata Kinujumu ( Kinyota ) Siku na Tarehe hazijakaa sawa Kwao labda yafanyike tu Makafara makubwa ila hali ni mbaya kwa Wakubwa wa Kariakoo Mmoja wao Leo ( Jumatano ) au Kesho ( Alhamisi )
Tulia mzee Genta,kwani mzee wa kilingeni anasemaje naye😂Nawatakieni uvumilivu mwema kwa matokeo yoyote yale (yasiyo ya Kufurahisha) ya Leo Jumatano na Kesho Alhamisi.
Mkifanikiwa sawa ila hali si nzuri kivile kinyota kwa wana Kariakoo wote au mmoja wao.
Msije kusema sikuwatahadharisha.
Shauri yako ukicheza anakujia na michafu😂Mkuu Gentamycine leo camouflage yako imevuja hadharani, pole sana!! siku zote nakusifu kuwa camouflage yako siyo ya kitoto, lakini leo wewe mwenyewe umeweka mambo hadharani kwenye kichwa cha uzi wako: Watu wa Kariakoo TUsiende(na wewe ukiwemo) na matokeo YEtu(na wewe ukiwemo) tanga hali si nzuri KWEtu(na wewe ukiwemo). Hiyo inaitwa kufumwa kweupe mchana kuwa Gentamycine ni mshabiki wa kariakoo/mwananchi/utopolo!! Hali si nzuri KWENU. Baada ya kufumwa huku na watoto wadogo wamekushuhudia, utaanzaje tena kusema wewe si wa kariakoo? Utaanzaje tena kusema wewe ni wa Msimbazi? Ngoja tuone utakavyojitetea-KARIBU!!
Hii inabakia kwa mwanaLunyasi, kazi kwenuNawatakieni uvumilivu mwema kwa matokeo yoyote yale (yasiyo ya Kufurahisha) ya Leo Jumatano na Kesho Alhamisi.
Mkifanikiwa sawa ila hali si nzuri kivile kinyota kwa wana Kariakoo wote au mmoja wao.
Msije kusema sikuwatahadharisha.
Je, amekuzuia na Wewe kuwa Mjuaji?Mjuaji wa Jf