Angalizo: Yanga kumtimua Gamondi wategemee ya Benchika kutokea

Angalizo: Yanga kumtimua Gamondi wategemee ya Benchika kutokea

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Iwapo Young Africa Wana wazo la kumfuta Kazi kocha Wao GAMONDI basi na Wategemee kocha ajae ataja sema Yale Yale ya BENCHIKA kuwa wachezaji hawafundishiki!
 
Gamond bado anahitajika.
Muhimu ajirekebishe jeuri flani...
 
Iwapo Young Africa Wana wazo la kumfuta Kazi kocha Wao GAMONDI basi na Wategemee kocha ajae ataja sema Yale Yale ya BENCHIKA kuwa wachezaji hawafundishiki!
Sioni Gamond akifanya chochote kimataifa, timu apewe mkwasa kwa mda wakati tukitafuta kocha wa maana! Gamond timu zimeshajua mbinu zake na hana plan b!
 
Fukuza Chama, Aziz na Dude. Wanaleta ufaza
Wazee hao Hawafundishiki! Yanga Kama ilivyo kawaida Yao kuiga / kujifunza kutoka Kwa Headmaster Wao yaani Simba Sports Club, bila Shaka na hili wataiga, watapangua timu na kufukuza mafadha!
 
Iwapo Young Africa Wana wazo la kumfuta Kazi kocha Wao GAMONDI basi na Wategemee kocha ajae ataja sema Yale Yale ya BENCHIKA kuwa wachezaji hawafundishiki!
Hersi si mtu wa mihemko huo ni uzushi, kuna watu walitaka Nabi aondoke baada ya Yanga kutolewa Championship, ila Hersi kakomaa na Nabi mpaka akafika fainali ya shirikisho na baada ya kuifunga Mazembe Nabi akaliongea hili.
 
Sioni Gamond akifanya chochote kimataifa, timu apewe mkwasa kwa mda wakati tukitafuta kocha wa maana! Gamond timu zimeshajua mbinu zake na hana plan b!
Mumpe mkwasa wewe na nani ndugu Dunduka?
 
Timu imejaa Mafaza kibaooo ambao hata Team Kapten M-Nyento hana sauti dhidi yao.
Atamwambia ni Mkude.
Atamwambia nini Chama.
Atamwambia nini Kii.
Atamwambia nin Papaa Baleke.
Atamwambia nin Prince Dube.
Atasema kipi kwa Sappee Pacoume.
Atamshauri nini Andunje Mdaka vishale.
Kwa kifupi timu inajengwa na vitu vingi, Simba waliona mbaaaali wakatoa mafaza akina Ntiba leo maisha mapya yameanza kuwa na matumaini.

Simba iliwahi kuondoa Mafaza Chini ya Patrick Liewing 2015/2017 akina Boban, Chuji, Maftah nk nk wakabadili timu ya vijana kuja Timu kubwa. Ni uamuzi mgumu lkn baadae ilikuja kulipa. Yanga fanyeni maamuzi magumu ondoeni Mafaza kabla hawajawaharibu vijana akina Mzize
 
Back
Top Bottom