Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makolo hizi habari za Yanga kumtimua Gamondi huwa mnazipata kijiwe gani?Iwapo Young Africa Wana wazo la kumfuta Kazi kocha Wao GAMONDI basi na Wategemee kocha ajae ataja sema Yale Yale ya BENCHIKA kuwa wachezaji hawafundishiki!
Vyura ndo wametengeneza igizo. Wanapenda mno maigizoMakolo hizi habari za Yanga kumtimua Gamondi huwa mnazipata kijiwe gani?
Aah wapi.Vyura ndo wametengeneza igizo. Wanapenda mno maigizo
Mkuu, vyura usiwaamini sana, esp wakishachoma misindano ile wakashushia na misupu sijui yenye nini lolote linatokea.Aah wapi.
Makolo ndo wakali wa hizo kazi.
Sioni Gamond akifanya chochote kimataifa, timu apewe mkwasa kwa mda wakati tukitafuta kocha wa maana! Gamond timu zimeshajua mbinu zake na hana plan b!Iwapo Young Africa Wana wazo la kumfuta Kazi kocha Wao GAMONDI basi na Wategemee kocha ajae ataja sema Yale Yale ya BENCHIKA kuwa wachezaji hawafundishiki!
Source: Makolo propaganda Centre.Makolo hizi habari za Yanga kumtimua Gamondi huwa mnazipata kijiwe gani?
Wazee hao Hawafundishiki! Yanga Kama ilivyo kawaida Yao kuiga / kujifunza kutoka Kwa Headmaster Wao yaani Simba Sports Club, bila Shaka na hili wataiga, watapangua timu na kufukuza mafadha!Fukuza Chama, Aziz na Dude. Wanaleta ufaza
Kijiwe chao pale msimbazi walipokesha kushangilia ushindi wa tabora walipocheza na wananchi.Makolo hizi habari za Yanga kumtimua Gamondi huwa mnazipata kijiwe gani?
Hersi si mtu wa mihemko huo ni uzushi, kuna watu walitaka Nabi aondoke baada ya Yanga kutolewa Championship, ila Hersi kakomaa na Nabi mpaka akafika fainali ya shirikisho na baada ya kuifunga Mazembe Nabi akaliongea hili.Iwapo Young Africa Wana wazo la kumfuta Kazi kocha Wao GAMONDI basi na Wategemee kocha ajae ataja sema Yale Yale ya BENCHIKA kuwa wachezaji hawafundishiki!
Mumpe mkwasa wewe na nani ndugu Dunduka?Sioni Gamond akifanya chochote kimataifa, timu apewe mkwasa kwa mda wakati tukitafuta kocha wa maana! Gamond timu zimeshajua mbinu zake na hana plan b!
Azizi nae nasikia alitaka kila wakienda mapumziko baada ya msindano basi ashushie na shisha kidogoNaskia wachezaji wanataka kocha awe anawasalimia asubuhi,ndo shida imeanzia hapo
🤣🤣🤣Naskia wachezaji wanataka kocha awe anawasalimia asubuhi,ndo shida imeanzia hapo