Ubaya Ubwela JF-Expert Member Joined Jul 24, 2024 Posts 1,353 Reaction score 3,060 Nov 9, 2024 #21 Vyura wamepagawa
T Tumwesige senior JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 3,506 Reaction score 6,305 Nov 9, 2024 #22 njumu za kosovo said: Azizi nae nasikia alitaka kila wakienda mapumziko baada ya msindano basi ashushie na shisha kidogo Click to expand... Chama anataka gamondi ampe heshima yake kila asubuhi
njumu za kosovo said: Azizi nae nasikia alitaka kila wakienda mapumziko baada ya msindano basi ashushie na shisha kidogo Click to expand... Chama anataka gamondi ampe heshima yake kila asubuhi
M mafarisayoo JF-Expert Member Joined Oct 7, 2016 Posts 1,190 Reaction score 830 Nov 9, 2024 #23 hydroxo said: Makolo hizi habari za Yanga kumtimua Gamondi huwa mnazipata kijiwe gani? Click to expand... Stori za kwenye kahawa Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
hydroxo said: Makolo hizi habari za Yanga kumtimua Gamondi huwa mnazipata kijiwe gani? Click to expand... Stori za kwenye kahawa Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
gonamwitu JF-Expert Member Joined Feb 16, 2018 Posts 2,187 Reaction score 2,794 Nov 9, 2024 #24 Chikolaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..!!!
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 9,953 Reaction score 23,150 Nov 9, 2024 #25 Huyo Ki tena kaupiga mpira mpaka kaumaliza ๐ Mpira inatakiwa uucheze kama ndo unaujua leo, tuangalie mpira wa kina Ronaldo na Messi. Sasa mtu yanga kusifiwa tu mpaka kaacha kucheza mpira, akishinda goli hashangilii, akipoteza hafati
Huyo Ki tena kaupiga mpira mpaka kaumaliza ๐ Mpira inatakiwa uucheze kama ndo unaujua leo, tuangalie mpira wa kina Ronaldo na Messi. Sasa mtu yanga kusifiwa tu mpaka kaacha kucheza mpira, akishinda goli hashangilii, akipoteza hafati
BonventureSr JF-Expert Member Joined Nov 16, 2023 Posts 879 Reaction score 1,432 Nov 9, 2024 #26 OKW BOBAN SUNZU said: Fukuza Chama, Aziz na Dude. Wanaleta ufaza Click to expand... Hawa mbwa badala ya kusajili kulingana na mahitaji walisajili kuzikomoa Simba na Azam๐๐
OKW BOBAN SUNZU said: Fukuza Chama, Aziz na Dude. Wanaleta ufaza Click to expand... Hawa mbwa badala ya kusajili kulingana na mahitaji walisajili kuzikomoa Simba na Azam๐๐
T Tsyamatsy JF-Expert Member Joined Sep 9, 2023 Posts 265 Reaction score 421 Nov 9, 2024 Thread starter #27 BonventureSr said: Hawa mbwa badala ya kusajili kulingana na mahitaji walisajili kuzikomoa Simba na Azam๐๐ Click to expand... Sasa yanawapalia, kudadadeeekiii!! Mpaka maji wataipa mmmaahh!
BonventureSr said: Hawa mbwa badala ya kusajili kulingana na mahitaji walisajili kuzikomoa Simba na Azam๐๐ Click to expand... Sasa yanawapalia, kudadadeeekiii!! Mpaka maji wataipa mmmaahh!