#COVID19 Angekubali Chanjo na kuchukua tahadhari mapema, mpaka leo huenda tungekuwa naye


CHANJO ZIMELETWA 1M, na mpaka leo kwa miezi miwili wamechanja laki nne tu

SIDHANI KAMA KARATA HII NI SAHIHI KWA CHADEMA KWA SASA.......................................WATU WAMEKUFA, NA WANAKUFA KWA MAGONJWA MBALIMBALI


COVID, hata leo hii, JPM style ndio inatumika na itatumika dunia nzima
 
Kuna wajinga wanaamini baada ya Covid ni hakuna magonjwa mengine yanayoua. Hata mleta mada ni mjinga mmoja wapo. Kingine Watanzania hawatishiki na huu ugonjwa, ndo maana hata dozi za chanjo mpaka sasa zimekosa watumiaji. Haiwezekani dozi milioni kwa idadi ya Watanzania zinakosa wadau wa kuzimaliza haraka.
 
Tupe reference Basi ya uliyoyaandika
Mleta uzi ka refer muhubiri 7:17
 
Nakubaliana na wewe mkuu.

Hoja ujibiwa kwa hoja sio viroja,serikali inakwepa kujibu
 
Hakuna tofauti yeyote! Ni porojo tu!

Wewe kama unaiona hiyo tofauti nioneshe!
Tofauti ipo. JPM aliamini katika task force, aliamini pia katika njia tofauti na zinazotumika sasa za kupigana na covid.
 
Tofauti ipo. JPM aliamini katika task force, aliamini pia katika njia tofauti na zinazotumika sasa za kupigana na covid.
Njia za sasa ni zipi zilizoleta tija?
 
Njia za sasa ni zipi zilizoleta tija?
Nimeongelea uwepo wa utofauti wa kimaamuzi sijazungumzia tija, Uwepo wa tija au la ni suala la namna unavyopambanua mambo na kiwango cha umuhimu maamuzi unavyokipima.
 
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, binafsi sizipendi kabisa serikali za ma CCM, lakini huyu bibi 'kiroboto' kwenye hili la kupambana na Covid kwa sehem kubwa ametimiza kile alicho paswa kukitimiza tena kwa muda mfupi tuu aliokalia kiti…….
Kipi alichofanya? Kuleta chanjo?

Niambie amefanya nini cha tofauti kupambana na corona ukiacha hiyo michanjo
 
Nimeongelea uwepo wa utofauti wa kimaamuzi sijazungumzia tija, Uwepo wa tija au la ni suala la namna unavyopambanua mambo na kiwango cha umuhimu maamuzi unavyokipima.
Maamuzi yapi aliyofanya ambayo wewe umeyaona ni ya tofauti? Hebu yataje hapa
 
Maamuzi yapi aliyofanya ambayo wewe umeyaona ni ya tofauti? Hebu yataje hapa
Fuatilia hotuba za viongozi wako crimea,

Maamuzi ya kuchukua mapapai, kuyapa majina ya binadamu na kuyapima corona na kuhitimisha kuwa wananchi waondoe hofu ya corona maana hata mapapai yana corona, kama chanjo ya corona zingekuwa na ufanisi basi kungekuwa na chanjo za kansa, malaria n.k, hizo ni baadhi ya kauli zake ila kwa usahihi zaidi wa alichokuwa akihubiri fuatilia hotuba zake.
samia yeye kaja na maamuzi ya kuchanja mwenyewe na kuhimiza watu wachanje.
 
Ok.. Hayo yalikuwa ha Magu na kwa mujibu wenu yalishababisha mkafa sana!
.
Haya niambie maamuzi ya awamu hii ni yapi yaliyosababisha msife sana?
 
Ok.. Hayo yalikuwa ha Magu na kwa mujibu wenu yalishababisha mkafa sana!
.
Haya niambie maamuzi ya awamu hii ni yapi yaliyosababisha msife sana?
Nimeshakueleza, naongelea utofauti wa maamuzi ya viongozi hawa wawili.

Matokeo ya maamuzi waliyochukua, madhara au mafanikio mm sijayaongelea, hilo ni suala lako wewe na upeo wako wa kupambanua mambo.
 
Mbona mnakwepa kumjibu GWAJIMA? Ukichanjwa barakoa ya nini?
Majibu yameshatolewa ,ni wewe na na huyo ndugu yako ndio hamuelewi.
Ng'ombe anapelekwa kwenye maji,, kunywa au kutokunywa ni uchaguzi wale.
 
Nimeshakueleza, naongelea utofauti wa maamuzi ya viongozi hawa wawili.

Matokeo ya maamuzi waliyochukua, madhara au mafanikio mm sijayaongelea, hilo ni suala lako wewe na upeo wako wa kupambanua mambo.
Hata mimi naongelea hayo maamuzi yao hasa ni yapi si uyataje?
 
Hata mimi naongelea hayo maamuzi yao hasa ni yapi si uyataje?
Umerudi mwanzo.

Maamuzi JPM: Kupima mapapai na kuyakuta na corona, kutangaza corona hakuna, kusisitiza umuhimu wa tiba mbadala n.k

Maamuzi samia: Kuchanja, kusisitiza watu wachanje.

Upimaji wa madhara na faida za maamuzi ya viongozi hawa wawili ni juu yako na uwezo wako wa upambanuaji mambo.
 
“tumeombea tanzania na corona hakuna”

hili neno mpaka leo ndio niliichukia ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…