Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Rose aendelee tu kupiga sadaka za warembo ila hawezi kumdhibiti mtoa sadaka mrembo asimuonje Nick😂[emoji28][emoji28][emoji28] ni kweli the more una mchunga ndio anafanya mambo yake kiulaini
Dah!.. hatariWakristo hatuna ndoa mbili,
Vip mume wa kwanza alikufa?
Ya mwaka gani hii mkuu?
Tapeli tuu huyoShe is beautiful soul, tuangalie kazi zake zilizofanya tukamjua! Personal life tutamhukumu bure bila kuwa na facts.
Kamtapeli nani?Tapeli tuu huyo
2015Ya mwaka gani hii mkuu?
[emoji28][emoji28][emoji28] hawezi acha ka Hadi Huwa wanapigana unategemea Nini Sasa hapo.Rose aendelee tu kupiga sadaka za warembo ila hawezi kumdhibiti mtoa sadaka mrembo asimuonje Nick[emoji23]
Mwanamke aliyezaliwa mwaka mmoja na mume lazima baada ya miaka michache aonekane mkubwa. Mke angalau umzidi miaka 5. Huwa nawaambia vijana wadogo kwamba hao girlfriend zenu sio wake zenu mmewashikia tu watuKama nakumbuka vizuri walishawahi kuandika; wamezaliwa mwaka mmoja na mwezi mmoja; Rose alimtangulia Nick masaa machache kuzaliwa
Sio lazima ueleweSijakuelewa unachomaanisha
Mimi mwanaume wangu anizidi hata miaka 10 sio kunizidi umri tu pia napenda anizidi hata dhambi aisee[emoji28][emoji28][emoji28]Mwanamke aliyezaliwa mwaka mmoja na mume lazima baada ya miaka michache aonekane mkubwa. Mke angalau umzidi miaka 5. Huwa nawaambia vijana wadogo kwamba hao girlfriend zenu sio wake zenu mmewashikia tu watu
Ila Rose ni mashine balaa.... itakuwa ni mnato hatari. Tatizo thamani ya mwanamke huwa kubwa kabla ya kumkojolea... tena ukikojolea ndani ndo thamani hushuka zaidi.Rose aendelee tu kupiga sadaka za warembo ila hawezi kumdhibiti mtoa sadaka mrembo asimuonje Nick😂
Imagine ungekuwa wa kiume,[emoji28][emoji28][emoji28] hawezi acha ka Hadi Huwa wanapigana unategemea Nini Sasa hapo.
Ila wanaume nyie ni viumbe vichomi mnatugombanisha wanawake sana
[emoji28][emoji28] ningeacha Mimi kitu nikiishaamua sifanyi sifanyi hata iwejeImagine ungekuwa wa kiume,
Ungeacha?
Unakijua kichwa kidogo wewe,[emoji28][emoji28] ningeacha Mimi kitu nikiishaamua sifanyi sifanyi hata iweje
Kwani pa kikojolewa ni wapi kama sio mle mle ndani 😂tena ukikojolea ndani ndo thamani hushuka zaidi.
Mbili tu ukiona unaingia ya tatu jua wewe ndie tatizo. Aidha unachagua watu wa hovyo au wewe ni mtu wa hovyo. Au vyote.Kwani ndoa mwisho ngapi zisiipo work out!!?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kazi kweli kweli kwahyo na wewe Huwa huachi?Unakijua kichwa kidogo wewe,
Ebu acha bana,kuna viumbe ni wazuri mkuu.
Kama yule shusho unamwachaje sasa?