Kipindi hicho kwenye harakati za huduma huko vyuoni, maana Nick shaboka alikuwa hajatulia mkuu, ila rose akamung'ang'ania nick. Hyo huduma mwenye nguvu ni mke kuliko mumeWalikua wanapigana nani na nani?
Huduma (biashara) ile ni ya nani kat ya nik na rose?
Na huko marekani alipelekwa na mwanaume aliyemuoa na u single Maza wake, kufika USA akampata mwingineTatizo waimbaji wa nyimbo za injili wanafanya ujinga ila hawataki maonyo. Huyo Angel Benard kazaa na wanaume watatu tofauti unategemea Nini?
Wote Malaya hao.Kwa hiyo Nick sio malaya?
Watumishi watakuwa wa mwisho kuingia peponiAisee, watumishi hawa mmh [emoji848]
Yule alianza kwenye bongo flavour alivoona haimtoi akakimbilia kwenye Gospel kwenye band ya Glorious Celebration. Huko kanisani akawangusha watumishi wa Bwana akina Nick Shaboka mpaka kufukuzwa Calvary Assemblies of God. Huyo dada ni sumu sijui mr Sakafu aliwaza nini.Sijawahi kuzikubali nyimbo zake, mi huwa nikimwona mtu usoni tu natambua ni mtu wa design gani kama really au fake, ila huyu nliona shooting yake moja tu japo sijawahi kuijua historia yake ila nikajisemea hamna kitu hapa, leo nasikia ana watoto 3 madanga tofauti duh! Kuachwa huko si bure huko chini atakuwa ana pango venye ako kimodo.
Na wafuasi wao nao ni Malaya?Wote Malaya hao.
upendo kilahiro naye si aliolewa huko marekani? hawa wanawake ni hatari sanaLicha ya kwamba na mimi nina dhambi zangu.
Anyway inabidi sasa Angel aache kuimba muziki wa INJILI maana huko ni kudhalilisha Ukristo waziwazi.
Afanye ishu zingine.
I have missed youYeah Wanawake tena na miili yetu
Mjinga Sana kamgeuka jamaa USA. Anadai kuwa anamnyanyasa kijinsia. Ila Angel Benard kamtesa Sana jamaa. Huyo Angel alikuwa anashoot video Ngorongoro ilibidi jamaa awahi kwenye shooting ili asisalitiwe. Shida akafika jioni akakuta wahuni wameshafanya ya kwao.Na huko marekani alipelekwa na mwanaume aliyemuoa na u single Maza wake, kufika USA akampata mwingine
Kweli kabisa. Mama kapambana kuisimamisha hiyo huduma. Mimi akihubiri Nick naona kama anaigiza na ile sauti yake.Kipindi hicho kwenye harakati za huduma huko vyuoni, maana Nick shaboka alikuwa hajatulia mkuu, ila rose akamung'ang'ania nick. Hyo huduma mwenye nguvu ni mke kuliko mume
Na Amon yupo USA?upendo kilahiro naye si aliolewa huko marekani? hawa wanawake ni hatari sana
HapanaNa wafuasi wao nao ni Malaya?
Inakuwaje malaya kuwachunga wasio malaya?Hapana
Nini tofauti ya uongo na ukweliPunguza uongo
Mungu afungue njia,wanae waliobaki Tanzania wamjoin huko US. Kama mama ni ngumu sana kuishi mbali na wanao ambao bado wadogo.Yes alikua mtoto wa pili.
USA alienda na mtoto mdogo yule wa Godsave
Jamani, Mungu amsaidie aishinde hii dhambi, maana mtu anaimba nyimbo za injili halafu matendo yake ndo hayo.Tatizo Angel Benard kazalishwa na wanaume wawili tofauti kabla ya ndoa. Ni mzinzi aliyekubuhu. Huyo mme mpya ajiangalie.
Ile huduma ni Rose na ana uchungu nayo haswa huyo nick shaboka hamna kitu pale mkewe ni mpambanaji haswa. Nick amshukuru Rose na aaChe kumsumbuaKweli kabisa. Mama kapambana kuisimamisha hiyo huduma. Mimi akihubiri Nick naona kama anaigiza na ile sauti yake.