Yaweza kuwa sababu ila Tina naye ingetakiwa asiwe ana muonyesha dharau wazi wazi ana mtesa huyo baba bureMume wake namuona mtu mzima sana ...mayb hatuwezi jua
Nadhani hata wewe ungefanya hvo
Yuko Instagram ana mbwembwe hatari tofauti na kile kimchepuko Cha kichagga cheupe watoto wao wanezaa mwezi mmoja wote
Mimi nimejiuliza mbona huu uzi wa kawaida tu lkn kila saa nauona upo juu. Ndo nikasema ngoja nipitie page after page..Ukiona Jf uzi umefika page 300 na kuendelea ujue humo ndani Kuna mambo mengi Sana [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28] watanzania wanapenda umbeya sana lohMimi nimejiuliza mbona huu uzi wa kawaida tu lkn kila saa nauona upo juu. Ndo nikasema ngoja nipitie page after page..
Aposto Kuna muujiza huku 😂😂😂😂[emoji28][emoji28][emoji28] huyo dada alikuwaga changu akafunga zile SPA massage ndio walikutana huko na apostle akaanza kumu massage nadhani huyu ana mkuna vizuri apostle maana mjengo si haba
HalooAposto Kuna muujiza huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama yangekuwa na maajabu yasingesababisha vifo kule MoshiHata Yale mafuta wanayokanyaga ni ya kawaida na hata Huwa hayaombei Wala nini
Aw!mambo mazito haya.Hapana huyo mpaka akujengee labda umpe radius yako, maana buldoza ana honga ila huo mchepuko sura personal aliyekuwa anajiuza uturuki ndio kamjengea mjengo mzuri kuliko nyumba speaker Sasa huyo changu anajua Kila kitu including body to body massage na ana nyonya sehemu nyeti ya sodoma na gomora huyo ndio kajengewa Sasa mie sijazoea uhuni Wala
Kama tunatubia Biblia moja,ndoa ni moja tu.ina maana kama ni mkatoliki ameachana na mkewe,akaenda kuoa mlokole nayo inakua batili?
Humu watu washataja Wanawake wa mwamposa aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Mimi nimejiuliza mbona huu uzi wa kawaida tu lkn kila saa nauona upo juu. Ndo nikasema ngoja nipitie page after page..
Nimesoma naye A level alikuwa active Sana kwenye Mambo ya dini. Na alikuwa ameokoka. Nakumbuka walijiunda ka group ka wasichana (kipindi hicho bado wasichana) Kama wanne hivi walikuwa wanaimba haooNaskia hiz mambo Rose yuko vizur toka yuko secondari hukoo msalato(kama sijakosea) alikua ni mtu wa dini sana mambo ya ukwata alikua wale madada fire kwenye hiz habar.. sishangai kuwa yeye ndio mwenye hii biashara
Mambo ni mengi apostle kumbe anagawana sadaka na wadada wa town😂😂😂Humu watu washataja Wanawake wa mwamposa aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Huyo dada akikudaka utamwacha mama chanja wakoAw!mambo mazito haya.
Hayana maajabu sehemu yoyote yenye msongamano mkianza kusukumana vibaya hata kufa ni Rais lile lilikuwa kafara lake tu la kipepo banaKama yangekuwa na maajabu yasingesababisha vifo kule Moshi
PumbaUsiwe na mke mwenye strong intrest kama uimbaji, utapata shida sana, nimekaa ndoa miaka inaelekea 20 na nimeona waliooa waimbaji, uimbaji ni muhimu kwao kuliko chochote.
Hela...zimemzuzua helaYaweza kuwa sababu ila Tina naye ingetakiwa asiwe ana muonyesha dharau wazi wazi ana mtesa huyo baba bure
Ndugu usiingie kwenye mkumbo wa kuwasema watumishi wa Mungu, humu kila mtu anasema lake bila kuwa na ushahidi walio wengi wanafuata mkumbo,tukumbuke ukimsema mpakwa mafuta wa Mungu ni hatia,labda kama hamtumikii Mungu alie hai.Mkuu, kwa niliyoyasoma humu kuhusu hawa waimbaji wetu wa Gospel na hao kina Bulldozer kama kweli na ushahidi mwengine wa wachangiaji ambao rafiki zao wametembea na wanatembea na watumishi mpaka kuzalishwa Sina shaka na utumiaji wa nguvu za giza kwa watumishi ili kutenda miujiza.
Angel Benard kuwa na watoto watatu kwa baba tofauti sio issue sana kama alikuwa anafanya hayo kabla hajaokoka, lakini kitendo cha kusafirisha na mwengine kwenda Marekani na kuolewa na mwengine huko ng'ambo ni ulimbukeni na Ni fundisho tosha kwa wanaointend kuwapeleka nje partners zao kwa shuguri zozote zile nje
Rose Shaboka namkubali sana coz nimesoma nae Udsm na kuhudumu nae charples mbalimbali Dar tukiwa chuo.
Martha Mwaipaja na Christina Shusho kwenye huduma yao sikuwa na mashaka nao kabisa, Ila hizi habari za kutoka na Bulldozer kimapenzi zimeniacha hoi....
Yesu Kristo ingilia kanisa lako
Unawaambia vijana wadogo ilhali na wewe mwenyewe dogo tuMwanamke aliyezaliwa mwaka mmoja na mume lazima baada ya miaka michache aonekane mkubwa. Mke angalau umzidi miaka 5. Huwa nawaambia vijana wadogo kwamba hao girlfriend zenu sio wake zenu mmewashikia tu watu