Naongelea zinaa na uchafu wa binadamu kristo ni mmoja tu na hakuwa Malaya hata kidogo.Wewe ipo kona yako moja utakayobaniwa na huo mdomo wako wa kuchafua ukristo utakoma.
DuhKa story ka long time akisali hapo haloo
[emoji28][emoji28][emoji28]wahuni na wavunja maadili na maandiko ndio whistle blower [emoji28][emoji28], tapeli wacheni kumkufuru Mungu kina Mackenzie nyieMimi sikutishi I'm whistle blower,hata Yesu mwokozi alisemwa vibaya kwa uongo hata kufa,je itakuwa ajabu akina mwamposa kuzushiwa?pia unapaswa kujua hata ingekuwa kweli kumsengenya mtu kwa namna yeyote unakuwa umetenda dhambi.
Waimbaji wengi hata kanisani Huwa zinaa inawatesa sana na uhuni sijui kwanini.Duh
Basi mambo ni mengi
Waimbaji wengi wanakumbana na hizi changamoto kwa sababu kitengo zamani alikishikilia shetani .
Kwahiyo kwa namna yoyote ile lazima awapige vita .
Wasiposimama vizuri kwenye maombi na unyenyekevu anawadondosha.
Ila mumewe flora pia naonaga kama hayupo sawa yaani sijui hata yupoje.
Kanisani ipo hii shida ni kwa ssbabu hiyohiyoWaimbaji wengi hata kanisani Huwa zinaa inawatesa sana na uhuni sijui kwanini.
Ila hata mbasha alikuwaga kichomi flani.
Mwimbaji anayejiheshimu angel magoti
Tina kafungua lake na walitengana na mumewe then mumewe akahania kanisa la mkewe ndio wamegombana mazima Wala.Yaani[emoji1787]
Nikawa najiuliza, huyu si mume wake ni mchungaji, imekuwaje ana kanisa lake?
Heri angeanzisha branch ya kanisa la mumewe,. Nikaambiwa washaachana. Eeeh[emoji119][emoji119]
Huyo Angel Benard nilisikia ni mke wa mchungaji,
Aisee[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Leo tena ndoa nyingine?
Pentecostal churches nyingi za kikanjanja sana aisee, almost yote,,hata Yale wanayojitambua,bado Kuna kiujinga fulani hivi cha kujiona wao wapo sawa na ni walokole wazuri kuliko makanisa mengine ya CCT,Roman na mengine.
Hizi ndoa zaidi ya Moja Mungu hazitambui.
Sijui wanasimamia maandiko yapi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ifike mahala viongezwe vigezo katika usajili wa kanisa aiseeTina kafungua lake na walitengana na mumewe then mumewe akahania kanisa la mkewe ndio wamegombana mazima Wala.
Huyo Angel naye kabla ya kuolewa alishazaa watoto wawili na baba tofauti kaolewa ndoa hyo kazaa mtoto mmoja kakimbia ndoa ndio kaolewa hii ndoa ya pili ninavojua Kwa mkristo ndoa moja
Ila haya makanisa ya kina Mackenzie na binafsi nadhani waweza olewa tu mara nyingi ikikushinda unahamia kanisa lingine unaoa olewa.
Ila mwisho wa siku heri makanisa yetu ya asili yaliyozoelrka ka RC, KKkt kule madudu na usanii sio kama hizi biashara za Hawa walioshindikana kitabia
Ni. Mfano tu... Mfano tuHao akina Mabeyo siyo washamba wa wanawake kaka. Ukiwa na hela automatic tu unakuwa sio mshamba... wamewaoa wake zao waliosota nao
Hahahah future ya watoto iko bright kwa Sergeant.Namlaumu tu angel Mimi ningekimbilia Kwa mabeyo sio kwamba nampenda sana Wala nivile naangalia future ya watoto
Hahahahahah nimemvulia kofiaHafu huyo angel ni single mom of three atakuwa witch na anaokota wakumuoa nadhani kaumaarufu wanaume wanafata. Yani Angel Kwa ndoa wanashindana na dida shaibu
Si imekaa poa lakini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]eti mabeyo vs skeezy
Wanakula upako wa Mbofolo π€£[emoji28][emoji28] Kwa kweli Kuna wadada wao Huwa wanajifanya wataka maombi kumbe raha Yao kulalwa na watumishi tu basi. Ila Kwa mtindo huu mbinguni watakaoenda ni Wachache sana
Hahahah ni mfano tuNimecheka na huu mfano wakoππ
Dahπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hafu huyo angel ni single mom of three atakuwa witch na anaokota wakumuoa nadhani kaumaarufu wanaume wanafata. Yani Angel Kwa ndoa wanashindana na dida shaibu
πππππHahahah mimi huyo? π€£ Hakuna mahali ataenda Tz ndio her destiny yani kutoboa atoboe nini? Yeye ni wa hapa hapa tu. Huko labda niende mimi kwanza.
Ila nikuulize tu kati ya S2keezy na Venance Mabeyo wewe utamchagua nani!? π€£π€£π€£
And I miss u badlyyy wizooooBinamu akeeeeeeeeeeee. Miss you too darlin
Ipake rangi basi π€£π€£π€£πππππ
Roho mbaya
LolπππIpake rangi basi π€£π€£π€£
Hahahah akina mwaisa mkifika mambele amkawilii kubadili gia anganiLolπππ
Hutaki mwenzio akaoshe macho huko duniani
Mimi hata sisemi jamani. Happy to see you here my wizoAnd I miss u badlyyy wizoooo