Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Apostle kuna muujiza hukoSahihi Vicky
Yaani eti hearsay ,kwani wao na sio Mwakasege au wengineo
Kuna vitu vinatia aibu jamani
Wanataka ushahidi upi Wa Picha daah huzuni sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuwa maarufu ni msalaba utashangaa Siri zinatoka mfano humu JF hata mwanafamilia anayekujua ana mwaga tu mambo. Niwape pole watu maarufuJf ni zaidi ya uijuavyo ndo maaana naogopa Sana kua staa maana najua ntaanikwa humu balaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]na utakua ukweli mtupu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiyo "NINI" ni kitu gani? Manake wanawake huu msemo wa "hata uwape nini " mnaupenda, je hiyo NINI ndio kitu gani?Ni vile amejipa jukumu la kupenda ambalo ni la mume. Mwanaume ukimbana ni kero na Hawa viumbe hata uwape Nini Huwa hawatulii asijichoshe
Nachangia tu hata sijui Rose yupi,Duh pastor rose naye kumbe kabeba msalaba hivo
Kwanini u force kupenda au kupendwa ujue mwanaume akikupenda una enjoy kuliko kujiliza Kwa asiye kupenda.Kuishi na mwanaume asiyekupenda daa hapana siwezi kabisa, anaweza kuwa anakufanyia vituko unaogopa hata kuongea kisa utamuudhi, maisha gani hayo mmmm!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kuna situation wanazo kutana nazo watumishi sometimes huwaga na zielewa,kuteleza kupo ila isiwe ile kila mara maana itaonekana ndio tabia yako.Kama ya yule padri na mama wa kihaya,yule mama acha kabisa kiuno chembamba bonge la shape.Ndiyo hapo sasa, wakati mwingine mpaka umawaonea huruma ndiyo maana Mchungaji mmoja siku yakuonana na watu wanakuwa kanisani hapo hapo ndani viti vinapangwa kila mtu anaona ila sasa mwenye shida zake anaenda kumnong'oneza hapo hapo[emoji3]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Rose shaboka
Mpe maiki aongee tena kwa sauti kubwaApostle kuna muujiza huko
Nyie hata mwanamke afanye Nini hamridjiki na hamjui mnataka Nini aisee kwahyo kuhangaika kumu please mwanaume ni wastage of time and energy. Na wanaume mnapenda wanawake wa hulka ya kimalaya na pasua kichwa tu.Hiyo "NINI" ni kitu gani? Manake wanawake huu msemo wa "hata uwape nini " mnaupenda, je hiyo NINI ndio kitu gani?
NINi ndio nini? Mpaka sasa hujafafanua.Nyie hata mwanamke afanye Nini hamridjiki na hamjui mnataka Nini aisee kwahyo kuhangaika kumu please mwanaume ni wastage of time and energy. Na wanaume mnapenda wanawake wa hulka ya kimalaya na pasua kichwa tu.
So it's dangerous to waste ur time to please a man
He kumbe ni biashara yaoNaskia hiz mambo Rose yuko vizur toka yuko secondari hukoo msalato(kama sijakosea) alikua ni mtu wa dini sana mambo ya ukwata alikua wale madada fire kwenye hiz habar.. sishangai kuwa yeye ndio mwenye hii biashara
Sana , mwenye tabia njema anakuwa mkwepaji nzuri lakini yule asiye jitambua anakula tu tena kimya kimya, watumishi wengine wasiopenda hulalamika kabisa.Kuna situation wanazo kutana watumishi sometimes huwaga na zielewa,kuteleza kupo ila isiwe ile kila mara maana itaonekana ndio tabia yako.Kama ya yule padri na mama wa kihaya,yule mama acha kabisa kiuno chembamba bonge la shape.
Yule padri mpaka kesho na mkubali.
Inamfanyia yote kwa yote lakini utasikia wanawake sijui nini, mpaka unajilaumu bora uishi kikomandoo ili mwende sawa.Nyie hata mwanamke afanye Nini hamridjiki na hamjui mnataka Nini aisee kwahyo kuhangaika kumu please mwanaume ni wastage of time and energy. Na wanaume mnapenda wanawake wa hulka ya kimalaya na pasua kichwa tu.
So it's dangerous to waste ur time to please a man
Mfano sasa hivi Kanisani ninapo sali ukitaka kumuona padri kuna sekretari mama wa makamo,anakuhoji na kukutizama mavazi yako then anakuruhusu. Hii kidogo inasaidia lkn hii kurupu unataka kumuona mtumishi,hii ndio inawapaga wakati mgumu watumishi.Sana , mwenye tabia njema anakuwa mkwepaji nzuri lakini yule asiye jitambua anakula tu tena kimya kimya, watumishi wengine wasiopenda hulalamika kabisa.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Si yule huwa anaropoka ropoka kuhusu ndoa?Rose shaboka
Ilikuaje ukajutiaYupo sahihi nimewahi kuhudhuria kongamano lao pale CCC upanga nilijutia muda wangu
Kwann utaje mbozi na mlowo na sio ileje [emoji23][emoji23]Unataka aishie mbozi na mlowo tu?
We kaka mbaya sana[emoji23]
Kwa sababu anatokea hapo Vwawa😂Kwann utaje mbozi na mlowo na sio ileje [emoji23][emoji23]
Tutumie hela zangu my [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Lakini Kuna wabongo wanajua kutoa hela...
Hata kama ni kidogo..
Sisi wanawake tunaangalia nia,na si kiasi.
Ila sasa kwenye ubabe sass[emoji119]
Mjifunze msiwe wababe..
Nyie wenyewe ndo mnaofanya wanawake wenu wakienda huko wakatae kurudi bongo .