Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hivi BinaIla Kwa alipofikia akomae TU,Wanawake a kichaga Kwa kupambania Ndoa wako vzr nawasifi mnooo!!!
Na Kwa vile ye ni mchungaji kungwi acha Ndoa imetese Ili afurahishe watu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu dada kwani naye ana matatizo kwenye ndoa yake?
Clip yake moja niliona anasema bedroom siyo mahali pa maombi
Ni mahala pa kushughulikia,
Akasema yeye ni mchungaji kanisani,akiwa nyumbani ni mke,anashughulika bedroom.