nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
- Thread starter
-
- #901
Na pale alipo naskia Ana 75 yearsNi Mwl sio Mchungaji ha ha ha unaonaga walimu wanazeeka hovyo hovyo labda awe mnywa gongo
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wazamani sana kapigana hadi vita yakagera miaka ya 1977 , lakini ona alivyo na kujitunza pia kuna saidia tafuta wa rika lake huenda wengine hata kutembea hawawezi, ila kumtumikia Mungu kuna faida sana tena ukienda kwa uaminifuNa pale alipo naskia Ana 75 years
Sauti inakoroma ka imekwaruzwa na kisude Cha coca-cola hata hainogi Wala nini
Hela nadhani inachangia.Wazamani sana kapigana hadi vita yakagera miaka ya 1977 , lakini ona alivyo na kujitunza pia kuna saidia tafuta wa rika lake huenda wengine hata kutembea hawawezi, ila kumtumikia Mungu kuna faida sana tena ukienda kwa uaminifu
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Nani.huyo mnipe umbeaTena mwanzo mwisho anafoka tu
Eti hana dhambi, hapana dhambi anazo maana bado anaishi duniani japo kuna kuna watakatifu wanao ishi, lakuwa na dhambi au kutokuwa nazo anajua Mungu mwenyewe,,Hela nadhani inachangia.
Hana Dhambi nyingi zinamsaidia.
Huyu baba Ana neno na hana majigambo
Namuombea ndoa hzi ni mtihani sana
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ni Mwl sio Mchungaji ha ha ha unaonaga walimu wanazeeka hovyo hovyo labda awe mnywa gongo
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Soma shogaaaHebu ngoja nimalizie kusoma comments za juu[emoji23]
What?!duh yuko vzrNa pale alipo naskia Ana 75 years
Nikweli nikuombeana tu hazinaga ufundi, kitendo chakupewa cheti kabla ya kazi duu mtihani usio na somo wala sumaryNamuombea ndoa hzi ni mtihani sana
Anamjua Mungu.anayemtumikiaWhat?!duh yuko vzr
Nilitaka kumaanisha hivyo Asante umeniwahi .Eti hana dhambi, hapana dhambi anazo maana bado anaishi duniani japo kuna kuna watakatifu wanao ishi, lakuwa na dhambi au kutokuwa nazo anajua Mungu mwenyewe,,
ukimtumika Mungu kwa uaminifu anakutunza
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ninachompenda mwakasege hana muda wa kuengelea mambo ya watu yuko busy na nenoNa pale alipo naskia Ana 75 years
AminaNilitaka kumaanisha hivyo Asante umeniwahi .
Muda haumtoshi wakupiga majungu, mtu aandaye masomo,/mara kufunga ili Mungu akupe vitendea kazi, aandike vitabu bado watoto wanakuhitaji bado Mke anakuhitaji huo muda wa majungu utoke wapi [emoji3][emoji3][emoji3]Ninachompenda mwakasege hana muda wa kuengelea mambo ya watu yuko busy na neno
Wapi hukohata Martha Baraka alishaachana na mumewe Baraka, na kwa sasa hatumui tena jina la Martha baraka, anajiita Madame Martha, na ameolewa na mchungaji na wana kanisa
Natamani kuona picha ila haifunguki aaarghIla safari hii Amon kachagua wa kufanana naye yaani ni Aneth Mushi kafiti haswaa. Upendo alikuwa shotii halafu kibonge [emoji23][emoji23]
Mke wa Sugu alishaolewa before hajakutana na Sugu?Hivi ndoa za kikristu, unaweza kufunga Mara mbili si kweli, sema wame zao wa ndoa za mwanzo wanapotezea matangazo ya ndoa, hawapeleki Chet ili kupinga kanisani, wanaume wote wa kristu muwe hivyo Kama kina mbasha, na mke wa sugu mume wake wa mwanzo nk.