Angel Benard aolewa mara ya pili

Angel Benard aolewa mara ya pili

Na pale alipo naskia Ana 75 years
Wazamani sana kapigana hadi vita yakagera miaka ya 1977 , lakini ona alivyo na kujitunza pia kuna saidia tafuta wa rika lake huenda wengine hata kutembea hawawezi, ila kumtumikia Mungu kuna faida sana tena ukienda kwa uaminifu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Wazamani sana kapigana hadi vita yakagera miaka ya 1977 , lakini ona alivyo na kujitunza pia kuna saidia tafuta wa rika lake huenda wengine hata kutembea hawawezi, ila kumtumikia Mungu kuna faida sana tena ukienda kwa uaminifu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hela nadhani inachangia.

Hana Dhambi nyingi zinamsaidia.

Huyu baba Ana neno na hana majigambo
 
Hela nadhani inachangia.

Hana Dhambi nyingi zinamsaidia.

Huyu baba Ana neno na hana majigambo
Eti hana dhambi, hapana dhambi anazo maana bado anaishi duniani japo kuna kuna watakatifu wanao ishi, lakuwa na dhambi au kutokuwa nazo anajua Mungu mwenyewe,,

ukimtumika Mungu kwa uaminifu anakutunza

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ninachompenda mwakasege hana muda wa kuengelea mambo ya watu yuko busy na neno
Muda haumtoshi wakupiga majungu, mtu aandaye masomo,/mara kufunga ili Mungu akupe vitendea kazi, aandike vitabu bado watoto wanakuhitaji bado Mke anakuhitaji huo muda wa majungu utoke wapi [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ndoa za kikristu, unaweza kufunga Mara mbili si kweli, sema wame zao wa ndoa za mwanzo wanapotezea matangazo ya ndoa, hawapeleki Chet ili kupinga kanisani, wanaume wote wa kristu muwe hivyo Kama kina mbasha, na mke wa sugu mume wake wa mwanzo nk.
Mke wa Sugu alishaolewa before hajakutana na Sugu?
 
Back
Top Bottom