Fix kabisa...huwa nawaona occasionallyNdiyo hivyo..
Rose pia aliwahi kusema...
Ila wamezaliwa mwezi mmoja...
Tarehe wanapishana siku moja tu.
Yah...Rose mzuri sana sana..Nimewahi kumuona pia..Mmmmh
Wanapenda kuja kula kitimoto pale sinza kumekucha, kijana anaonekana mdogo kabisa, japo rose mzuri sana kuliko hata kwenye mitandao
Rose unga ndo ulimharibuKama nakumbuka vizuri walishawahi kuandika; wamezaliwa mwaka mmoja na mwezi mmoja; Rose alimtangulia Nick masaa machache kuzaliwa
Hakuna upako Wala wito....ni pesa inatafutwaa hapoAnakaribia kufikisha watoto watano na wanaume tofauti tofauti.
Ila kabla ya kuwa mwimbaji wa gospel alianzaga kwanza na bongo flavor ila haikumtoa ndio akaingia gospel
Unga upi wa ugali au cocaineRose unga ndo ulimharibu
Kaona life tightHakuna upako Wala wito....ni pesa inatafutwaa hapo
Ila Rose mzuri mnoo naamini mapicha ya mitandao hayamtendei haki...age imeenda lkn yuko fit very soft na anajua kupiga pambaIko hivyo hata ukiangalia....
Rose halingani na Angel...
Na Rose ameanza mishe kitambo
Hapana, huko si alikuja alipokuwa mkubwa..huku MbeziKumbe uliwahi ishi Sakina
She is cute and fight pia aisee na anajipendaIla Rose mzuri mnoo naamini mapicha ya mitandao hayamtendei haki...age imeenda lkn yuko fit very soft na anajua kupiga pamba
Hako kanick hata mkononi hakajai...kadunyuuu[emoji848][emoji848]But rose looks older au ndio wanawake tunawahi kuzeeka
SanaaaYah...Rose mzuri sana sana..Nimewahi kumuona pia..
Na ni mkarimu mno...
Unga upi[emoji15]Rose unga ndo ulimharibu
Si unajua wanawake tukishazaa? Yeah wengi wanasema physically Rose ni mzuri zaidiMmmmh
Wanapenda kuja kula kitimoto pale sinza kumekucha, kijana anaonekana mdogo kabisa, japo rose mzuri sana kuliko hata kwenye mitandao
Yuko vizuri sanaShe is cute and fight pia aisee na anajipenda
HS ni kweli ishu ya kuzaa....but kwa huyo kijana iko obvious kabisaSi unajua wanawake tukishazaa? Yeah wengi wanasema physically Rose ni mzuri zaidi
Rose sio mkubwa kihivyo. Chuo amemaliza 2010; so possibly yupo kwenye 35-37Ila Rose mzuri mnoo naamini mapicha ya mitandao hayamtendei haki...age imeenda lkn yuko fit very soft na anajua kupiga pamba
Mimi demba mwanamke yule mwanaume, majina tu yamefanana ππππdemba ba.. vp bado unasakata kabumbu?
Mmh maybeHS ni kweli ishu ya kuzaa....but kwa huyo kijana iko obvious kabisa
Kamzidi sana
Yupo kwenye forty hiviRose sio mkubwa kihivyo. Chuo amemaliza 2010; so possibly yupo kwenye 35-37