Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
MnooooooShe is cute and fight pia aisee na anajipenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MnooooooShe is cute and fight pia aisee na anajipenda
40 bado banaYupo kwenye forty hivi
Sasa si anavumilia ili awe na ndoa maana walikuwa wanapigana sana, pia Kwa ajili ya hyo biashara ya huduma yake so lazima avumilie tu hamna namnaHako kanick hata mkononi hakajai...kadunyuuu[emoji848][emoji848]
Akikaa na Rose utasema mtu na mamaake mdogo!
Rose mzuri sana hafananii kuwa na hicho kivulana sema ndo mapenzi
Anayo kafikisha40 bado bana
Seriously???! Mimi nimefuatisha tu hiyo age ya mtu aliyemaliza chuo 2010 (kama alianza shule na miaka 7). Na nilianza kumfuatilia akiwa mwembamba sana, huu mwili umekuja baada ya kuzaaAnayo kafikisha
Ana mlinda kweli na huwawashia moto waumini ambao mumewe anatoa jicho Kali [emoji28][emoji28][emoji28]Halafu huyo Rose mwenyewe anaonekana kumlinda sana Nick nadhani hamuamini kabisa kama hawezi pita na kondoo wake [emoji23]
Unaweza kuta alishauriwa lakini yeye akang'ang'ana na hilo,,,,ujuaji mwingi na huwaga hawataki ushauri,,,ikifika hapo unachukua pesa yako na kumsikiliza mteja atajijjua mwenyewe huko akienda kulitimba!!Kuwa na umbo kama unavyoliona sio sababu ya kutengenezewa nguo mrqdi nguo tu, kuna watu kama Mobetto wana maumbo ya kawaida lakini wanashonewa nguo akivaa unapata ana hips kama Sanchoka...
Kwenye fashion design huwa inafundishwa kuwa, every designer must know their customers na wajue kitu wanapaswa wadesign kwa kila mteja...
Ndio maana unapata kuna designers wa wanaume, wanawake, wanamichezo, marais, costume designers etc...
Unaweza kuta dada alienda kwa fundi wa nguo za kiume kutengeneza gauni la sherehe...
Pastor Rose aliwah kusema ni mama wa watoto wawil aliowakuta kwa mme wake ila sikujua mmoja ni wa Angel BenardShaboka yule mchungaji mme wa Rose. ?
Kuna mda kipindi Cha nyuma alipostig Niki calculate yaweza fika hyoSeriously???! Mimi nimefuatisha tu hiyo age ya mtu aliyemaliza chuo 2010 (kama alianza shule na miaka 7). Na nilianza kumfuatilia akiwa mwembamba sana, huu mwili umekuja baada ya kuzaa
Anafukuza upepo huyo 😜Ana mlinda kweli na huwawashia moto waumini ambao mumewe anatoa jicho Kali [emoji28][emoji28][emoji28]
Mbona taarifa haijakamilika? Huyu anayemuoa ni askari wa wanyamapori au ni nchi za nje?Habari.
Msanii ANGEL BERNARD ameolewa kwa Mara ya pili.
Mara ya kwanza aliolewa na producer wa nyimbo za injili Godsave Sakafu.
Kulikoni wanamziki wa nyimbo za injili wa kike.
Huyu hapa
View attachment 2608977
View attachment 2608980
Rose Mushi au Rose Muhando?Rose unga ndo ulimharibu
Warembo wote watapigwa vita nakwambia hizi huduma za kilokole Zina mambo kweliAnafukuza upepo huyo [emoji12]
Binadamu wote ni sawa ndugu hakuna cha mlokole kwenye uteleziHakuna watu wanapenda nanihii kama walokole...🏃🏃🏃
Alafu warembo walivyo wajanja humpanga Nick na kumpa utelezi kimya kimya bila mama mchungaji kujua.Warembo wote watapigwa vita nakwambia hizi huduma za kilokole Zina mambo kweli
Nick ni mdogo, aliwahi kuwa msaidizi wangu akiwa kidato Cha nne Mimi nikiwa Form six somewhere.Mmmmh
Wanapenda kuja kula kitimoto pale sinza kumekucha, kijana anaonekana mdogo kabisa, japo rose mzuri sana kuliko hata kwenye mitandao
Nimekutana na hii mtandaoni; niki-calculate wanaelekea miaka 36Kuna mda kipindi Cha nyuma alipostig Niki calculate yaweza fika hyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rose Mushi au Rose Muhando?