Angel Benard aolewa mara ya pili

Angel Benard aolewa mara ya pili

Hako kanick hata mkononi hakajai...kadunyuuu[emoji848][emoji848]

Akikaa na Rose utasema mtu na mamaake mdogo!

Rose mzuri sana hafananii kuwa na hicho kivulana sema ndo mapenzi
Sasa si anavumilia ili awe na ndoa maana walikuwa wanapigana sana, pia Kwa ajili ya hyo biashara ya huduma yake so lazima avumilie tu hamna namna
 
Kuwa na umbo kama unavyoliona sio sababu ya kutengenezewa nguo mrqdi nguo tu, kuna watu kama Mobetto wana maumbo ya kawaida lakini wanashonewa nguo akivaa unapata ana hips kama Sanchoka...

Kwenye fashion design huwa inafundishwa kuwa, every designer must know their customers na wajue kitu wanapaswa wadesign kwa kila mteja...

Ndio maana unapata kuna designers wa wanaume, wanawake, wanamichezo, marais, costume designers etc...

Unaweza kuta dada alienda kwa fundi wa nguo za kiume kutengeneza gauni la sherehe...
Unaweza kuta alishauriwa lakini yeye akang'ang'ana na hilo,,,,ujuaji mwingi na huwaga hawataki ushauri,,,ikifika hapo unachukua pesa yako na kumsikiliza mteja atajijjua mwenyewe huko akienda kulitimba!!
 
H
Warembo wote watapigwa vita nakwambia hizi huduma za kilokole Zina mambo kweli
Alafu warembo walivyo wajanja humpanga Nick na kumpa utelezi kimya kimya bila mama mchungaji kujua.

Mwanaume ni mwanaume tu akidai utelezi wa mrembo nje na mkewe hupewa tu.
 
Kuna mda kipindi Cha nyuma alipostig Niki calculate yaweza fika hyo
Nimekutana na hii mtandaoni; niki-calculate wanaelekea miaka 36
 

Attachments

  • IMG_20230504_132316.jpg
    IMG_20230504_132316.jpg
    127.8 KB · Views: 34
  • IMG_20230504_132341.jpg
    IMG_20230504_132341.jpg
    131 KB · Views: 37
Back
Top Bottom