Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu binti alishawahi fukuzwa kanisani kwake zamani kisa uzinifu, inasemekana alipata mimba isio halali.Habari.
Msanii ANGEL BERNARD ameolewa kwa Mara ya pili.
Mara ya kwanza aliolewa na producer wa nyimbo za injili Godsave Sakafu.
Kulikoni wanamziki wa nyimbo za injili wa kike.
Huyu hapa
View attachment 2608977
View attachment 2608980
Shaboka mume wa Rose Shaboka?Ila huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Du kakamata fursa. Hawa waimbaji nyimbo za Dini wengi ni wasanii tu. Hata yule Upendo kilahiro aliolewa tena, Flora Mbasha pia. Ndoa ya Christina Shusho imekufa, ya Martha mwaipaja pia imekufa.Habari.
Msanii ANGEL BERNARD ameolewa kwa Mara ya pili.
Mara ya kwanza aliolewa na producer wa nyimbo za injili Godsave Sakafu.
Kulikoni wanamziki wa nyimbo za injili wa kike.
Huyu hapa
View attachment 2608977
View attachment 2608980
Shaboka yule mchungaji mme wa Rose. ?Ila huyu dada naye ana tatizo.
Before Sakafu ana watoto wawili kila mmoja na baba Yake. (Mmoja kazaa na Shaboka)
Sihukumu ila yawezekana naye kuna kitu.
Duh![emoji3][emoji23][emoji1787]Singeli...[emoji849]
Kwani nasema uongo ndugu yangu...🙄Duh![emoji3][emoji23][emoji1787]
Kwani ndoa mwisho ngapi zisiipo work out!!?Itakuwa ya kwanza haiku "work out"
SingeliAnaimba nini uyu?
Ujue hiyo story nami niliisikia mahali....Shaboka yule mme wake rose?
hawana aibu wale, dhamiri zao zimekufa, wanaboronga na nyimbo za injili wanaimba. Ila wajue Mungu hadhihakiwi akiimba tena wimbo utadoda hautakuwa na utukufu wa Mungu. Bora hawa waimbaji wakishindwa maisha ya wokovu bora wakaimbe nyimbo za kidunia, za injili wawaachie washindi wanaoshindana na tamaa za kiduniaLicha ya kwamba na mimi nina dhambi zangu.
Anyway inabidi sasa Angel aache kuimba muziki wa INJILI maana huko ni kudhalilisha Ukristo waziwazi.
Afanye ishu zingine.
Duuh ndo maana nauliza... Sielewi elewi hiviUjue hiyo story nami niliisikia mahali....
Nikaona kama ni vitu haviko...
Duuh...ila yule kaka huwa nahisi ana umri mdogo kuliko huyo roseHuyo huyo
Good Music AliveTusimhukumu hatujui yaliyomo[emoji120]