Angela Kairuki amuwakilisha Dkt. Mpango kwenye mkutano wa TAWIRI

Angela Kairuki amuwakilisha Dkt. Mpango kwenye mkutano wa TAWIRI

Wanajamvi,

Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango alikuwa awe mgeni rasmi wa mkutano wa TAWIRI unaofanyika Dodoma, hata hivyo amewakilishwa na Angella Kairuki.

View attachment 2834679


Bado wanatengeneza maigizo tu kwanini kama kiongozi anaumwa wasitangaze tumfanyie sala?
 
Kama siyo lazima basi raia wana haki ya kuhoji na kukisia wanachotaka kwani kiongozi wa nchi ni lazima wajue alipo.
Ukiona wako kimya ujue kuna jambo wanaficha! Samia alikuwa anakwenda Dubai kimya kimya wakati anakwenda kufanya deal na DPworld kuhusu kuwauzia Bandari!! Hizo ndio zao hawa mafisadi.
 
Unafikiri Huwa anazungumza bila kujus uhalisia!!?

Huo ni ukomavu was kisiasa na kiintelejinsia!!
SIO KWELI.kwani unaposema kiongozi anaumwa nini kitatokea.nchi itapinduliwa?kama hili tu dogo anatuficha na kutuongopea atakuwa KATUONGOPEA MANGAPI MPAKA SASA.binafsi yangu mimi ukinidanganya mara moja SIKUAMINI MILELE.
 
Back
Top Bottom