Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Paschal Mayala apewe maua yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mamvi kibao anaficha aonekane jankiiNgoja amalize kupiga kiwi nyeusi kichwani ataleta majibu
Ninavuta picha iwapo wanafamilia wanaperuzi mitandao na kuona mijadala hii kuhusu baba yao. Inauma!
Kutoka uzeeni kuja ujanani.mamvi kibao anaficha aonekane jankii
Conference ilihamishiwa tena Dodoma?Wanajamvi,
Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango alikuwa awe mgeni rasmi wa mkutano wa TAWIRI unaofanyika Dodoma, hata hivyo amewakilishwa na Angella Kairuki.
View attachment 2834679
Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.www.jamiiforums.com
Sema mwamba majaliwa sio mtu wa kumuamini
Kumbe Wakristo ndio wanapitishwa hivi eehhata yeye wanamlia timing ni swala la muda tu labda asilimu …
Baada ya Kassim ni Mpango and then Mama...Mama sidhani kama atasema labda aje kwa mtindo wa Breaking News.Hii inatia mashaka zaidi kutokana na Speculations ambazo tayari zipo kuhusu mtu huyu.
Nafikiri Serikali kwa sasa inapaswa kuujulisha umma juu ya suala hili. Kiongozi mmoja mkubwa (lakini asiwe Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa) anapaswa kujitokeza hadharani na kutoa ufafanuzi juu ya jambo hili ili kuzima minong'ono isiyokuwa rasmi ambayo tayari imeanza kuenea kwa kasi ya ajabu.
Huyo mwenye shati la buluu ndiye baba mzazi wa mheshimiwa?Kutoka uzeeni kuja ujanani.View attachment 2834848
Acha basi🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja amalize kupiga kiwi nyeusi kichwani ataleta majibu
Taratib mkuuKawaida sana Kiongozi kuwakilishwa
Weka refference hapa au sio Pascal Mayalla ?Kuna sehemu Paskal alilizungumzia hili
asee yule bro ana macho kama eagle.