Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Majaliwa ameamua atunukiwe cheo cha MUONGO MKUU TANZANIASema mwamba majaliwa sio mtu wa kumuamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majaliwa ameamua atunukiwe cheo cha MUONGO MKUU TANZANIASema mwamba majaliwa sio mtu wa kumuamini
Ninavuta picha iwapo wanafamilia wanaperuzi mitandao na kuona mijadala hii kuhusu baba yao. Inauma!Tuliache kama lilivyo Shem.
Serious of what?Mhhhhh nilikuwa napuuzia, now this is serious!
Huwa ni fupi.Njia ya mwongo.......
Hapana, nadhani nae anapangiliwa cha kusemaSema mwamba majaliwa sio mtu wa kumuamini
Inauma kwa nini? Serikali ndiyo inasababisha haya ikiwemo hiyo familia yake na yeye. Kama anaumwa, kila binadamu anaumwa. Kuumwa siyo jambo la kuonea aibu au kufanya siri. Hebu some huu mfano hapa: ''Makamu wa rais, Philip Mpango, yuko nchini Uingereza akitibiwa na anaendelea vizuri. Inategemewa atakuwepo huko kwa mwezi mmoja''. Hivi serikali ingetoa sentensi fupi kabisa yenye maneno hayo kingeharibika nini?Ninavuta picha iwapo wanafamilia wanaperuzi mitandao na kuona mijadala hii kuhusu baba yao. Inauma!
Hakuna cha eagle , kwani wewe yule humjui ni nani?Kuna sehemu Paskal alilizungumzia hili
asee yule bro ana macho kama eagle.
It's notIt is wise to be quite
Hii inatia mashaka zaidi kutokana na Speculations ambazo tayari zipo kuhusu mtu huyu.Wanajamvi,
Makamu wa Rais, Dr Phillip Mpango alikuwa awe mgeni rasmi wa mkutano wa TAWIRI unaofanyika Dodoma, hata hivyo amewakilishwa na Angella Kairuki.
View attachment 2834679
Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.www.jamiiforums.com
Siyo lazimaInauma kwa nini? Serikali ndiyo inasababisha haya ikiwemo hiyo familia yake na yeye. Kama anaumwa, kila binadamu anaumwa. Kuumwa siyo jambo la kuonea aibu au kufanya siri. Hebu some huu mfano hapa: ''Makamu wa rais, Philip Mpango, yuko nchini Uingereza akitibiwa na anaendelea vizuri. Inategemewa atakuwepo huko kwa mwezi mmoja''. Hivi serikali ingetoa sentensi fupi kabisa yenye maneno hayo kingeharibika nini?
Imagine nchi inayoongozwa na viongozi waongo, tutatoboa kweli?Njia ya mwongo.......
Kama siyo lazima basi raia wana haki ya kuhoji na kukisia wanachotaka kwani kiongozi wa nchi ni lazima wajue alipo.Siyo lazima
NI FUPINjia ya mwongo.......
PM angesema tu Makamu ana mapumziko ya kiafya au ameenda nje ya nchi kucheki afya yake. ingetosha kabisa kauli ya kidiplomasia na kiutu mzima.Majaliwa alikosea sana kusema Makamu wa Rais yupo nje kimajukumu, angesema yupo likizo ingetosha. Majukumu gani nje ya nchi mwezi mzima?. Majaliwa awe ana nyamaza.