Bado wanatengeneza maigizo tu kwanini kama kiongozi anaumwa wasitangaze tumfanyie sala?Wanajamvi,
Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango alikuwa awe mgeni rasmi wa mkutano wa TAWIRI unaofanyika Dodoma, hata hivyo amewakilishwa na Angella Kairuki.
View attachment 2834679
Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.www.jamiiforums.com
Ukiona wako kimya ujue kuna jambo wanaficha! Samia alikuwa anakwenda Dubai kimya kimya wakati anakwenda kufanya deal na DPworld kuhusu kuwauzia Bandari!! Hizo ndio zao hawa mafisadi.Kama siyo lazima basi raia wana haki ya kuhoji na kukisia wanachotaka kwani kiongozi wa nchi ni lazima wajue alipo.
SIO KWELI.kwani unaposema kiongozi anaumwa nini kitatokea.nchi itapinduliwa?kama hili tu dogo anatuficha na kutuongopea atakuwa KATUONGOPEA MANGAPI MPAKA SASA.binafsi yangu mimi ukinidanganya mara moja SIKUAMINI MILELE.Unafikiri Huwa anazungumza bila kujus uhalisia!!?
Huo ni ukomavu was kisiasa na kiintelejinsia!!