Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

guwe_la_manga

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
2,820
Reaction score
2,758
Huyu ni mmoja wa wanasiasa aliyeongoza kwa kubadilishiwa Wizara karibu tatu katika miaka mitano ya Hayati Magufuli.

Mara ya mwisho kumuona ni kabla ya uchaguzi wa 2020.

Ningependa kujuza alipo kwa sasa anafanya nini?

1618820001580.png

Pia soma: Nini kinamsibu Waziri Angela Kairuki? Miaka 3 Wizara 3!
 
Back
Top Bottom