Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Nadhani kwa sasa huenda yuko China kwa mumewe au kabakia Dar akilea mtoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo dunia ya mbali mno mkuuDetective J
unamanisha mwendazake alikuwa anampelekea moto huyo bi mdashi!?
kweli mengi siyajui!
mkuu, si johnthebaptist kasema huyo mama mume wke yupo uchin,sasa jpm alikuwa anakulaje kimasikhara?
Bora walifyekelea mbali alikuwa jeuri sana wakati yupo utumishi, kuna siku tuliagizwa tumuone kupitia Katibu mkuu wake alitutimua kama Mbwa Koko bila hata kujua tumemfuata kwasababu ipi, Katibu alipoenda hakusikilizwa pia.....stress zake alileta ofisi ya Umma mshenzi yule, badaye mzee Huruma akasolve issue yetu kwa tabasamu kabisaWajumbe walimstaafisha siasa
Wajumbe wa mashina na wajumbe wa kamati kuu wote kwa kauli moja walisema akatwe!
Kipindi yupo waziri alibeba mimba akajifunguaJohnny Sack
Mtoto yupi huyo?
DuhBora walifyekelea mbali alikuwa jeuri sana wakati yupo utumishi, kuna siku tuliagizwa tumuone kupitia Katibu mkuu wake alitutimua kama Mbwa Koko bila hata kujua tumemfuata kwasababu ipi, Katibu alipoenda hakusikilizwa pia.....stress zake alileta ofisi ya Umma mshenzi yule, badaye mzee Huruma akasolve issue yetu kwa tabasamu kabisa
Mume wake ni balozi huko.
Mtoto wa taifa?!Analea mtoto
Duh.. kwa nini Mkuu hakumtetea? Au kuna kitu alimuudhi?
Ndiyo aina ya viongozi waliopo wengi sana nchiniPoleni Sana
Ndiyo nature ya viongozi wetu wakiwa na mamlaka wanajiona miungu watuDah pole sana😥😥
Ndiyo nature ya viongozi wetu wakiwa na mamlaka wanajiona miungu watu
Nadhani kwa sasa huenda yuko China kwa mumewe au kabakia Dar akilea mtoto