Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

shauri ya umasikini
Hapana ni tamaa zake tu yule dada ukisikia watu wanatumia fursa kwa nguvu za u.c.h.i ndio yulea dada kote alikopita utashangaa ni kilaza dunia hii haipo...akiwa UK akamdandia Mbwelwa ....akapenya aliporudi anrpenya penya kwa nguvu ya k hatari sana yule dada..mtoto kigogo mmoja alikuwa PM na KM OAU....Mama Mpare....
....
 
Hapana ni tamaa zake tu yule dada ukisikia watu wanatumia fursa kwa nguvu za u.c.h.i ndio yulea dada kote alikopita utashangaa ni kilaza dunia hii haipo...akiwa UK akamdandia Mbwelwa ....akapenya aliporudi anrpenya penya kwa nguvu ya k hatari sana yule dada..mtoto kigogo mmoja alikuwa PM na KM OAU....Mama Mpare....
....
Mkuu anatumia vizuri rasilimali yake tumpongeze
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na waziri anayeitwa Dr. Angela KAIRUKI nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za mwendazake alikuwa ni waziri wa nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu, hivi bado ni waziri!? Yupo wapi siku hizi!? Bado ni mbunge au ubunge wangu ulikwisha!?
Mfizigo kama sio mfuatiliaji wa muundo wa serikali kupitia vyombo vya habari,basi utawauliza mawaziri wengi ambao hawakurudi katika nafasi zao.
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuku nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Chombo ya fundi
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuku nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Kaachiwa kitoto na meko analea yupo wazohill
 
Back
Top Bottom