Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alizalishwa kinguvu na bwana yule.....Bwana ake ni balozi China
shauri ya umasikiniAlizalishwa kinguvu na bwana yule.....
Samahani, na wewe ni mjane wa Marehemu?Wivu huwa hamsaidii mtu kuwa tajiri au kupunguza matatizo yake. Pambaneni na hali zenu.
Mtanikumbuka kwa mema - RIP JPM
Hapana ni tamaa zake tu yule dada ukisikia watu wanatumia fursa kwa nguvu za u.c.h.i ndio yulea dada kote alikopita utashangaa ni kilaza dunia hii haipo...akiwa UK akamdandia Mbwelwa ....akapenya aliporudi anrpenya penya kwa nguvu ya k hatari sana yule dada..mtoto kigogo mmoja alikuwa PM na KM OAU....Mama Mpare....shauri ya umasikini
Mkuu anatumia vizuri rasilimali yake tumpongezeHapana ni tamaa zake tu yule dada ukisikia watu wanatumia fursa kwa nguvu za u.c.h.i ndio yulea dada kote alikopita utashangaa ni kilaza dunia hii haipo...akiwa UK akamdandia Mbwelwa ....akapenya aliporudi anrpenya penya kwa nguvu ya k hatari sana yule dada..mtoto kigogo mmoja alikuwa PM na KM OAU....Mama Mpare....
....
You bet!Samahani, na wewe ni mjane wa Marehemu?
Weka ushahidi, vinginevyo majungu.Alizalishwa kinguvu na bwana yule.....
Mfizigo kama sio mfuatiliaji wa muundo wa serikali kupitia vyombo vya habari,basi utawauliza mawaziri wengi ambao hawakurudi katika nafasi zao.Wakurungwa salam,
Kulikuwa na waziri anayeitwa Dr. Angela KAIRUKI nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za mwendazake alikuwa ni waziri wa nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu, hivi bado ni waziri!? Yupo wapi siku hizi!? Bado ni mbunge au ubunge wangu ulikwisha!?
Chombo ya fundiWakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuku nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Kaachiwa kitoto na meko analea yupo wazohillWakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuku nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Kudadadeq walahiYes analea mtoto wa marehemu
Wivu hapo uko wapi? Au ndiyo wale waleWivu huwa hamsaidii mtu kuwa tajiri au kupunguza matatizo yake. Pambaneni na hali zenu.
Mtanikumbuka kwa mema - RIP JPM
Huyo naye ni mjane wa yule dhalimWivu hapo uko wapi? Au ndiyo wale wale