Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
kure kanda ya ziwa kuree!...hao mbona ni km kuramba ri asali tu kwa ghitore!.....ukizingatia ritambwe kichure...kimori. Obhuhoro ya uresi na muhogho!! Amahemba Mweee!! Hushuki kinenani.....yaani kwa kure level ya chini ni vimke kumi.tena vyenye afya ya wastani.km jokate ivo ndo vitamu. Havichokiga.kwa hiyo wote hoa ametembea nao?
watu wambeya, eti walisema ulikuwa ni mzigo wa Mzee baba !!Wakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
kuuumbe sasa umekuja....mume akae ubalozini km balozi.....halafu mke wake awe waziri bongo??wadau mmeelewa kweli.....daaa !! Watu ni wapore sana...ningekuwa mie ningerusha ngumi ikulu mpaka iwe historia.....huwezi nihonga ubalozi waziwazi ivo.nikuachie mali zangu nyambaf!! Jiwe yamemuua mengi kumbe.Anjela ni mke wa balozi Mbelwa.
Usiwaamini Bavicha bwashee ni wazushi sana!
Hujanielewa.Kaa kimya wewe mtoto mdogo hujui Anna Kajumulo mambo aliyopitia mpaka kufika U. N.! Waache wazee wakae na siri zao.
Wewe ndio hujanielewa kwani umemfahamu akiwa mwalimu wako huwezi kujua mambo zake! Tulia kaa kimya usitake kujua yaliyo kuzidi kimo!Hujanielewa.
Mimi nimesema katika wanawake waliofika juu bila kubebwa na mwanaume ni Prof. Anna Tibaijuka. I know Anna, alikua Prof wangu wa agricultural economics pale UDSM miaka hiyo. I know she's got a good head and she uses it.
You are rightWewe ndio hujanielewa kwani umemfahamu akiwa mwalimu wako huwezi kujua mambo zake! Tulia kaa kimya usitake kujua yaliyo kuzidi kimo!
Hiki kifaa kililetwa na VascoDagama toka Botswana kuja kuongoza TIC! Walishindana mshahara hivyo mama hakugusa zile posho zao mpaka Jiwe alipoingia madarakani na kumtengua! Karudi kule alikotoka!Magufuli amsimamisha Mkurugenzi wa TIC
Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Julieth Kariuki kwa sababu mbalimbali ikiwemo kutochukua mshahara wake tangu alipoteuliwa Aprili, 2013.www.mwananchi.co.tz
Anafanya kazi gani huko ubalozini?China Ubalozi
Anamsaidia BaloziAnafanya kazi gani huko ubalozini?
Uko wapiMleta mada ushapewa muongozo...
Huyu mama kwa elimu yake na uzoefu wake amekuwa mtu wa kumsaidia balozi?Anamsaidia Balozi
Kulea familia ya Mr Mbelwa KairukiHuyu mama kwa elimu yake na uzoefu wake amekuwa mtu wa kumsaidia balozi?
Dada huyo ana uwezo mkubwasana wa kuongoza. Amepuuzwa bure tuKulea familia ya Mr Mbelwa Kairuki