Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mbunge wa kuteuliwa na Waziri wa TAMISEMI [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mwenye kujua kituo cha kazi au nafasi aliyopangiwa dada yetu mtajwa hapo juu baada ya kifo cha JPM.
Mwaka mmoja baadae anateuliwa kulamba asaliAnalea
Na sasa karudi kwa kishindo, ila huyu Anjela ni mzuri nyieeeeWajumbe walimstaafisha siasa.
Wajumbe wa mashina na wajumbe wa kamati kuu wote kwa kauli moja walisema akatwe!
Mtoto anaendelea vizuri na kale kaupara kapo kwa mbaliHuyu si alijazwa kibendi na mwendazake halafu jamaa ili kuua noma akamteua mume wake kuwa balozi kule kwa kina Jet Li.
Naam Kiongozi. Nakuomba Tufikishie salaam kwa wakuu huko kuwa tozo zinatuumiza.Msubiri soon utamsikia mama amemrudisha kwenye ramani..,
Na sasa karudi kwa kishindo, ila huyu Anjela ni mzuri nyieeee
Mr alimpokea kumbe!?China!
Ni mbungewa kuteuliwa na waziri wa TAMISEMI akichukua nafasi ya Bashungwa anayekwenda ulinzi kuchukua nafasi ya Tax anayekwenda Foreign Affairs kuchukua nafasi ya Mulamula aliyepigwa chiniHuyu ni mmoja wa wanasiasa aliyeongoza kwa kubadilishiwa Wizara karibu tatu katika miaka mitano ya Hayati Magufuli.
Mara ya mwisho kumuona ni kabla ya uchaguzi wa 2020.
Ningependa kujuza alipo kwa sasa anafanya nini?
View attachment 1756238
Pia soma: Nini kinamsibu Waziri Angela Kairuki? Miaka 3 Wizara 3!
??Analea yule mtoto.
Mtoto si keshakua..we vipi?
Na sasa karudi kwa kishindo, ila huyu Anjela ni mzuri nyieeee