Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Dah! Mleta uzi pengine kuuliza kwako kulifanya wateuaji wamkumbuke A. Kairuki.
 
Huyu si alijazwa kibendi na mwendazake halafu jamaa ili kuua noma akamteua mume wake kuwa balozi kule kwa kina Jet Li.
 
Ni mbungewa kuteuliwa na waziri wa TAMISEMI akichukua nafasi ya Bashungwa anayekwenda ulinzi kuchukua nafasi ya Tax anayekwenda Foreign Affairs kuchukua nafasi ya Mulamula aliyepigwa chini
 
Kila siku huwa nasema machadema ni mapumbavu!

Ccm wanajuana, mbeleni huko tutamuona Makonda na Sabaya wakiramba asali.

Kuwazibua akili machadema itakubidi uwazabue mabao ya kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…