peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mhagama. Yeye sio kikokotoooHuyu so ndo kikotooo, alitaka kupiga pesa za wastafuu, hamna lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhagama. Yeye sio kikokotoooHuyu so ndo kikotooo, alitaka kupiga pesa za wastafuu, hamna lolote
Bifu lao hasa nini?Y
Angela Karuki na maza ni paka na mbwa. Ila Karuki ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutenda, kuamua na kuongoza kuliko maza.
Kapata bwana oman hukoWakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Yule mume wake walishaachana naye?Kapata bwana oman huko
Alituambia kuwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya sio watumishi wa umma hivyo zoezi haliwahusuUmenikumbusha wakati za vyeti feki mama huyu alitikisa sana
Kuna kupanda na kushuka
Huyu alikuwa goma la Mzee wa chato,wakati mumewe akiwa ubalozini Urusi,asingeweza kufanya kazi na mama.Huyu waziri mstaafu yuko wapi siku hizi? Toka alivyoshindwa ubunge amekaa sana kimya. Yu wapi?
OkayWakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Atakuwa China kwa mumewe.Huyu
Huyu alikuwa goma la Mzee wa chato,wakati mumewe akiwa ubalozini Urusi,asingeweza kufanya kazi na mama.
Yupo kwao same,anapigika.
Anapigika?? Big NOHuyu
Huyu alikuwa goma la Mzee wa chato,wakati mumewe akiwa ubalozini Urusi,asingeweza kufanya kazi na mama.
Yupo kwao same,anapigika.
Nenda googleTupiamo na kapicha wengine tumemsahau.
Sasa alifaidi nini hapo?
Pesa inafanya mwanaume uinjoy maisha hakiyanani,huku mwegelo huku mama kubwa kairuki
Ukiwa kwenye kisima cha pesa wanawake hawapingiki Mzee , mfalme Daudi na mfalme suleman waliwala kondoo wa Bwana walionona , sembuse wee uwe na mtonyoW
Pesa inafanya mwanaume uinjoy maisha hakiyanani,huku mwegelo huku mama kubwa kairuki