Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Kapata bwana oman huko
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Okay
 
Tupiamo na kapicha wengine tumemsahau.
Ila Jiwe alifaidi nyie!
images (1).jpeg
images (2).jpeg
images.jpeg
 
W

Pesa inafanya mwanaume uinjoy maisha hakiyanani,huku mwegelo huku mama kubwa kairuki
Ukiwa kwenye kisima cha pesa wanawake hawapingiki Mzee , mfalme Daudi na mfalme suleman waliwala kondoo wa Bwana walionona , sembuse wee uwe na mtonyo
 
Back
Top Bottom