Angelina Jolie: Uvutaji wa bangi na mchepuko wasababisha ndoa na Brad Pitt kuvunjika

yaan for 12 years ya kudate hakuliona hilo la kuvuta bangi na mengneyo ila kwenye ndoa ya 2 years yameonekana yote hayo. daah kwel wazungu hamnazo...
 
Angeline alishasemaga anataka kumtaliki kwa kua havutii tena sasa sijui nn kilotokea akaghairi...

Leo kaja tena na excuse kama hizo

Aseme tu kashamchoka

Maana wenzetu watu weupe hawafii watoto kama wabongo!
Kwel alikua anamtafutia mwenzie sababu. Miaka 16 yote hakuona hizo kasoro.
Wanawake wengine bana nafasi hyo wengine wanaililia. Aseme tu hana mvuto basi
 
Bangi za ukubwani zinasambaratisha familia.
 
Tofautisha sheria ya dini
Na sheria ya kiserekali
Hapa Bongo ukiwa umefunga ndoa ya dini sijawahi sikia serekali imetoa talaka. Ebu nipe mfano kwa watu marufu. Walishawahi peana talaka. Let's call a spoon a spoon.
 
Ndoa ya mfano.........imevunjika...! I wish angekuwa TZ ningejilengesha mpaka Jolie nimchape nao....

Ana midomo mizuri sana huyo mwanamama...!
 
Jennifer Anston atakuwa anachekelea tu huko aliko,kazi ipo kwenye kugawana mpunga,Brad kazi anayo,Child support kwa watoto sita ataipata fresh.

Mkuu, inaonekana huwafahamu vizuri hawa.

Brangelina ni A-list celebrities na walikuwa na pesa ya kutosha kabla hata hawajaoana.

Vita itakuwa ni watoto ambao Brad amezaa na Angelina lakini sio pesa.

Na ukumbuke walifanya Prenuptial agreement ambayo haihusu mali kabla ya ndoa.

Ila mwanasheria wa Angie Laura Wasser ni very aggressive na ndie alieshughulika kwenye talaka yake na Billy Bob Thornton.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…