haaahaaaaaMiaka 12 ya uchumba ndo walichunguzana, ndoa miaka 2 ina umuhimu gani sasa si bora wangeendelea na uchumba wao tu. Funzo hapa hata umchunguze mpenzi miaka 10 kabla ya kuoana anaweza kuigiza tu, wala uchumba wa muda mrefu haumaanishi ndoa itadumu
Ndo maana yake,ila na yeye kasema lazima afight ili nae apate custody,kasema hakuna cha sole custody,huku Angie nae anajigamba hii itakuwa talaka ya karne.Wapenzi wanapogeuka maaduiHuoni kama ni Karma kwa huyo Brad?
Na yeye hatakubali,hii itakuwa talaka ya karneBrad anaomba watu wamsaidie kulata haki za watoto inavyoonekana jolie atapewa haki zote kute, jamaa amedata
wewe subiri utaonaWala hataki child support
Yeah Mzee Jon Voight, Angie amepinda kiasi chake, si alikuwa anakulana na kaka ake yule toka nitoke!?![emoji80] [emoji80] [emoji80] [emoji80]alafu alikuwa haongei (kamnunia) baba yake kwa muda mrefu sana!
Kuna tofauti kati ya sheria za dini na sheria za serikali. Cheti cha ndoa kinatolewa na serikali. Mapadri, wachungaji, mashehe wanatumia cheti kilichotolewa na serikali. Wao wanakuwa kama mawakala wanaotambulika na serikali kufungisha ndoa. Wakati sheria za kikristu haziruhusu talaka, hakuna sheria ya nchi inayosema wanandoa wasipeane talaka.Hivi mwanamke akifile divorce paper mahakamani wakati ndoa ilifungwa kanisani how inakuwa valid? Hizi paper zilitakiwa zipelekwe kule kule ndoa ilipofungiwa ili ifunguliwe
Yaani ni kweli malipo ni hapahapa duniani. Si kwa kumtesa kule Jeniffer Aniston... Kuna matatizo mengine wanaume wanayatafutaga wenyewe tu. Lilikuwa swala la muda tu kwa Ange kumtema BradHataki child support?basi atamkamua kwenye kugawana mali,ila Brad lazima atowe child support.Namchukia sana Anjelina,si kwa kumsababishia depression Brad jamani.Ila malipo ni hapa hapa duniani,mama Brad alimshauri mwanae hakusikia ,leo anaachwa kiaibu
Wazungu wanadate miaka mingi wakioana tu wanaachana ndani ya muda mfupiyaan for 12 years ya kudate hakuliona hilo la kuvuta bangi na mengneyo ila kwenye ndoa ya 2 years yameonekana yote hayo. daah kwel wazungu hamnazo...
aiseeeh!Namuonea huruma Brad,Jennifer Anston nae bado anatafuta uzazi,angeenda zaa wengine.Angelina mshari sana anaonekana,nasikia yule actress anaeshukiwa kutembea na Brad kumbe ni mke wa mtu ,tena ana mimba ya mmewe,Brad is the looser here
Aiseee!huyu mama dahh!
Kwa Mungu mahesabu tu!Brad Pitt alichomfanyia Jennifer Aniston mungu alimuona....dada wa watu alikuwa ka chizi, eti kamuacha ghafla anasema hazai kisa kamuona Jolie!...malipo ni hapa hapa chini ya jua!
Wana matatzo aiseeWazungu wanadate miaka mingi wakioana tu wanaachana ndani ya muda mfupi
wazungu wanathamini watotoNa yeye hatakubali,hii itakuwa talaka ya karne
Ndo maana yake,ila na yeye kasema lazima afight ili nae apate custody,kasema hakuna cha sole custody,huku Angie nae anajigamba hii itakuwa talaka ya karne.Wapenzi wanapogeuka maadui
Yaani i don't understand themWana matatzo aisee
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Yeah Mzee Jon Voight, Angie amepinda kiasi chake, si alikuwa anakulana na kaka ake yule toka nitoke!?![emoji80] [emoji80] [emoji80] [emoji80]
LolNdoa ya mfano.........imevunjika...! I wish angekuwa TZ ningejilengesha mpaka Jolie nimchape nao....
Ana midomo mizuri sana huyo mwanamama...!