Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Daa kuokota tena ? [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mama asubuhi na mapema anaokota jimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa kuokota tena ? [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mama asubuhi na mapema anaokota jimbo
Alikuwa analea mtoto wetuAna akili gani huyo hadi unamsifia mitandaoni? Hana wizara maalum kisa anachemsha kila anapowekwa
Unajua sisi wasukuma tunapenda sana weupe
Halo usitumie majina ya heshima "dady" kwa wazinzi. andika Hawara yake kamuhakikishia atatumia nguvu za dola apate ubunge.Dady kamuhakikishia huyu cheupe jina lake lazima lipite.
mhm kwani ni chakula ya mjomba???Unajitaka wewe?
Kwani ana wangapi nasikia eti na wa Kisarawe ni wa kwakeHalo usitumie majina ya heshima "dady" kwa wazinzi. andika Hawara yake kamuhakikishia atatumia nguvu za dola apate ubunge.
mhm kwani ni chakula ya mjomba???
.... cheupe ameishaa aisee! Yaani kazeeka kweli; angalia vizuri hiyo picha; angalia vizuri mikono - kwisha habari.Dady kamuhakikishia huyu cheupe jina lake lazima lipite.
Membe ni bygone bado unamfikiria tuuuuNdo maana Membe anajiamini sana. Anajua CCM imepasuka ndani!
alikua kwenye uzazi mkuu..... cheupe ameishaa aisee! Yaani kazeeka kweli; angalia vizuri hiyo picha; angalia vizuri mikono - kwisha habari.
Msukuma na cheupe dawa hafurukutiWabunge wale wanaodhani ubunge Ni uchifu na wana hati miliki za Jimbo mtu mwingine asigombee hata Mimi naunga mkono wafungishwe virago
Kairuki ana haki zote za Kugombea na aungwe mkono Ni Kati ya akina mama wenye akili nyingi wanaoweza saidia Jimbo na Nchi .Mpeni kura zote kuanzia maoni Hadi kura za uchaguzi mkuu muone jinsi kasi ya maendeleo itakavyokuwa kubwa Happ
Huyo aliyeko aligawa ambulance rushwa as if Tatizo la watu wa Hilo Jimbo ni.kuumwa tu!!! Aligawa mi ambulance kibao Takukuru wakamzuia naunga mkono yaani Ina maana kaona watu wa hilo Jimbo Ni kutwa wao kuumwa mahututi Kika kuchao Ndio akawajazia Mia mbulance kibao?
Hilo Jimbo shida Yao kubwa Sio mi ambulance ya kubeba wagonjwa mahututi kila Kona hawana corona hao kila Kona kiasi kuwa upeleke mi ambulance kibao kila Kona ya kuwapeleka vituo vya corona
Tatizo la hilo Jimbo Sio mi ambulance
.CCM kateni Hilo jina la Hilo gawa rushwa
Una maana gani mkuu?Chombo ya fundi hio imeshapita
Soma post #38Una maana gani mkuu?