Angezungumza kama alivyozungumza Emmanuel Nchimbi angepungukiwa nini?

Angezungumza kama alivyozungumza Emmanuel Nchimbi angepungukiwa nini?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.

Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.

Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.

Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!

Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.

Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.

Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.

Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.

Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.

Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?

Ushauri wangu kwake,

" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
 
Usimpangie cha kuzungumza,wengine wanangumza makanisani badala ya kuendesha ibada,imegeuka sehemu za kulaani serikali,hovyo kabisa
 
Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.

Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.

Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.

Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!

Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.

Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.

Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.

Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.

Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.

Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?

Ushauri wangu kwake,

" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
la muhimu zaidi ni kwamba,
Amani ya Tanzania tutailinda kwa Gharama yoyote 🐒
 
Mama jana kaharibu sana! Maana kama tuna intelejensia inayogundua uvunjivu wa amani kwenye vikao vya chadema ila kugundua watekaji na wauaji haiwezi hiyo ni intelenjesia ipi???
Analinda Katiba alinayoweka haki za msingi za uhai na kukusanyika alafu anakataa watu kukusanyika na kupinga wasiuwawe
 
Rais Jana kaongea kama Rais na si kama Samia. Walioota mikia watakatwa na wakimbizi watarejea ukimbizini endapo hawatafata sheria
 
Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.

Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.

Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.

Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!

Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.

Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.

Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.

Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.

Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.

Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?

Ushauri wangu kwake,

" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
Siyo yeye, kisomo cha Tanga kimeanza kufanya kazi na huu ni mwanzo tu mambo yataharibika sana kabla ya April 2025
 
Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.

Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.

Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.

Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!

Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.

Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.

Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.

Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.

Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.

Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?

Ushauri wangu kwake,

" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "

Akili nyingi huondoa maarifa
 
Nchimbi Yuko vizuri kichwani tofauti na yule bibi ambaye hata huo uongozi aliupata pasipo kutegemea.Hivyo lazima apuyange tu.katutia aibu sana Kwa mabalozi na isijirudie hii aibu ya kuwatukana ndugu zetu mabalozi.
 
la muhimu zaidi ni kwamba,
Amani ya Tanzania tutailinda kwa Gharama yoyote 🐒

Kama nakuona hapa uking'arisha bongo:

GXsPaGvXUAU4Kb4.jpeg


Kwenda kushika doria kwa weledi zaidi.
 
Nchimbi ni mwana Diplomasia makini sana na mtu kama huyu ndie anatakiwa kuwa raisi kwa ajili ya ustawi wa nchi.
 
Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.

Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.

Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.

Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!

Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.

Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.

Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.

Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.

Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.

Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?

Ushauri wangu kwake,

" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
Hakuna aliyeanzisha ugomvi na magharibi, wanaambiwa ukweli pale wanapochemka. Alichokifanya Samia jana kwa kauli yake ndio ilikuwa chai ya kila asubuhi wakati wa hayati JPM.

Kuna taratibu za kusema unachotaka kukisema sio kujiropokea tu, jana Rais kawakumbusha hao mabalozi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
chura kiziwi hajui siasa wala diplomasia wala uchumi, yupoyupo tu kuziba pengo la magufuli. 2025 akapumzike kizimkazi tuijenge tanganyika yetu wenyewe.
 
Nchimbi Yuko vizuri kichwani tofauti na yule bibi ambaye hata huo uongozi aliupata pasipo kutegemea.Hivyo lazima apuyange tu.katutia aibu sana Kwa mabalozi na isijirudie hii aibu ya kuwatukana ndugu zetu mabalozi.
Hajatukanwa mtu wameambiwa ukweli. Hayati JPM alizoea kuwaambia ukweli hao hao wazungu, wao sio malaika ni binadamu kama wengine wowote.

Acheni huu ushamba wa kubabaikia ngozi zao. Zipo taratibu za kuongea kitu kinapotokea.
 
Back
Top Bottom