Angezungumza kama alivyozungumza Emmanuel Nchimbi angepungukiwa nini?

Angezungumza kama alivyozungumza Emmanuel Nchimbi angepungukiwa nini?

Ni kweli kabisa, maana hata Nchimbi aliwataja. Lakini hakuna kelele kutokana na lugha aliyotumia.
Sema tangu January apishane na bi mdashi umegeuka kuwa mkosoaji
 
Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.

Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.

Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.

Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!

Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.

Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.

Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.

Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.

Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.

Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?

Ushauri wangu kwake,

" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
Hakuna kima wa kumpangia Rais Cha kuzungumza ,SSH ni Rais sio Katibu Mkuu.

Mwisho hakuna wa kutupangia jinsi ya kutawala eleweni Hilo.
 
Jana nimeandika shiti nyingi kwenye mitandao ya kijamii kiufupi nilichafukwa na ile hotuba

Mkiona nipo kimya sana mjue tayari washaninyakua
 
Uwezo wa mwanamke kuongoza ni mdogo sana, Angalau akiwa na akili na msomi kama Asharose Migiro, Marry Nagu na kina Tibaijuka, Sasa huyu mwenye elimu ya kuunga unga ndiyo bure kabisa
 
Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.

Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.

Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.

Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!

Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.

Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.

Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.

Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.

Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.

Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?

Ushauri wangu kwake,

" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
Nime pewa nafasi na Mungu kuishi kwenye tawala za marais wote. Kuanzia Mwalimu, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magu na sasa Mama wa Kizimkazi, niseme tuu ukweli toka moyoni, sijawahi kumsikia rais alie toa hutuba mbovu kama ya huyu mama wa Kizimkazi.
Sijui kama labda hakuipitia kabla ya kuhutubia au alifanya vile akidhani ni hotuba konki.
Ati kifo ni kifo, ati wasi nipangie, mara mimi ni amiri jeshi mkuu, ni nani asie jua yeye ni amiri jeshi mkuu na rais wa nchi? Mara wame ota mikia, mara wengine walitoroka nchi wana hamu ya kutoroka tena.
Alisha wahi kutuambia katiba ni kijitabu, jana a a sema ana ongoza kwa mujibu wa katiba. Yaani jana hutuba yake ilikuwa vurugu vurugu.. Mungu tusaidie.
 
nyie wajinga sana. juzu humu mulimponda Nchimbi kuwa kaongea ovyo.leo hii kawa mwema tena? sasa wekeni miguu yeno barabarani tuwatoe bandama zenu ili mjue nchi inalindwa kwa gharama yoyote
 
c
Kufa ni lazima bro. Wacha mama akate watu mikia. Na huu utekaji na mauwaji inawezekana inafanywa chadema ili wapate cha kuandamana na kufanya vurugu. Mbowe achunguzwe
chagadema wameona hawana ajenda. maana mama anakasi kubwa ya maendeleo.
 
Nime pewa nafasi na Mungu kuishi kwenye tawala za marais wote. Kuanzia Mwalimu, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magu na sasa Mama wa Kizimkazi, niseme tuu ukweli toka moyoni, sijawahi kumsikia rais alie toa hutuba mbovu kama ya huyu mama wa Kizimkazi.
Sijui kama labda hakuipitia kabla ya kuhutubia au alifanya vile akidhani ni hotuba konki.
Ati kifo ni kifo, ati wasi nipangie, mara mimi ni amiri jeshi mkuu, ni nani asie jua yeye ni amiri jeshi mkuu na rais wa nchi? Mara wame ota mikia, mara wengine walitoroka nchi wana hamu ya kutoroka tena.
Alisha wahi kutuambia katiba ni kijitabu, jana a a sema ana ongoza kwa mujibu wa katiba. Yaani jana hutuba yake ilikuwa vurugu vurugu.. Mungu tusaidie.
Yaani mimi Jana nimeshangaa ile hotuba sikutegemea itoke kwa Raisi Samia kwa kweli ,uongozi ni kuvumilia mengi na kuwa na busara.Jana nime mwandika offf kabisa anyway ile sio hotuba kwa kweli hata kwenye vikoba tunajitahidi ujue.Halafu ukiona "baba" mwenye nyumba anaanza kujitambulisha nyumbani kwake ujue kuna kazi hata first born anaongoza nyumba yake wala sio hata mke.
 
Hi hizi sio Propaganda kweli hebu tuwekee source yenye kuaminika?.
Propaganda wanafanya wasio jiamini ila sio Serikali ya Samia 👇👇
Screenshot_20240918-181418.jpg
 
Back
Top Bottom