Umtama Mula
Senior Member
- Jan 11, 2021
- 171
- 496
Hakuna kima wa kumpangia Rais Cha kuzungumza ,SSH ni Rais sio Katibu Mkuu.Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.
Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.
Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.
Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!
Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.
Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.
Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.
Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.
Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.
Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?
Ushauri wangu kwake,
" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
π―% πππGombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
Hizo si ni takeimu tu kama takwimu zinazotengenezwa kiwandani kwa Bashe!Hali ni mbaya? Hali gani hiyo mbaya? Mitandaoni ni sehemu yangu ya burudani na kuwachora kama sio kuwacheka mnaojifariji humu jf,sawa tuu na Mafuriko ya Lowasa mitandaoni π€ͺπ€ͺ
Wapiga kura wako Mitaani na ni Hawa hapa ππ
View: https://www.instagram.com/p/C_8QrndITIq/?igsh=bWEzbjNiMGpieXVn
Takwimu au watu wanapewa kwani huoni picha hapo? ππππHizo si ni takeimu tu kama takwimu zinazotengenezwa kiwandani kwa Bashe!
Nime pewa nafasi na Mungu kuishi kwenye tawala za marais wote. Kuanzia Mwalimu, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magu na sasa Mama wa Kizimkazi, niseme tuu ukweli toka moyoni, sijawahi kumsikia rais alie toa hutuba mbovu kama ya huyu mama wa Kizimkazi.Baada ya Chadema kutangaza maandamano kupinga kutekwa na kuuwawa kwa Wanachama wao na Watanzania kulitokea ka tension kadogo.
Tension hii ilipata msisimko baada ya Viongozi wa dini kuanza kukemea.
Kwa kuwa tuhuma hizi zilikihusu Chama cha Mapinduzi na vyombo vya Serikali yake hasa Polisi na TISS ilihitajika kauli thabiti na yenye hekima kutoka Chama cha Mapinduzi.
Tuseme ukweli Press aliyoifanya Comred Emmanuel Nchimi ilituliza sana mioyo ya watanzania ingawa haikuwapa majibu juu ya mustakabali ya haki yao kuu ya kuishi!
Nchimbi kama Mwanasiasa aliyelelewa na wazee wenye exposure hekima na busara aliongea vizuri sana na kwa sehemu kubwa kuweza kutuliza tension ya Wananchi.
Kituko kilikuja kutokea jana. Kusema kweli Mwenyekiti jana ametia petrol na kiberiti kwenye moto alioweza kuuzima kidogo Comrade Nchimbi.
Mbaya zaidi kanunua ugomvi na wakubwa ambao ndiyo wanamlisha na kuendesha miradi yake mingi kwa misaada na mikopo yao.
Nimefuatilia maoni ya wananchi kwa jana na leo, mitaani na kwenye mitandao. Kusema ukweli Mwenyekiti wetu jana aliharibu sana.
Wananchi wanatoa maoni bila kificho tena kwa account zenye majina yao kulaaani maneno yake ya jana.
Swali nililojiuliza ni kuwa, baada ya Comrade Nchimbi kuzungumza vizuri siku ile na kutuliza upepo. Kulikuwa na haja ya yeye jana kuzungumza maneno yale aliyozungumza?
Ushauri wangu kwake,
" Gombana na Nchi za Magharibi ukiwa na internal support na kamwe usianzishe ugomvi na Magharibi ukiwa hohehahe kwenye internal support "
we maamako anaelimu ganUwezo wa mwanamke kuongoza ni mdogo sana, Angalau akiwa na akili na msomi kama Asharose Migiro, Marry Nagu na kina Tibaijuka, Sasa huyu mwenye elimu ya kuunga unga ndiyo bure kabisa
chagadema wameona hawana ajenda. maana mama anakasi kubwa ya maendeleo.Kufa ni lazima bro. Wacha mama akate watu mikia. Na huu utekaji na mauwaji inawezekana inafanywa chadema ili wapate cha kuandamana na kufanya vurugu. Mbowe achunguzwe
Yaani mimi Jana nimeshangaa ile hotuba sikutegemea itoke kwa Raisi Samia kwa kweli ,uongozi ni kuvumilia mengi na kuwa na busara.Jana nime mwandika offf kabisa anyway ile sio hotuba kwa kweli hata kwenye vikoba tunajitahidi ujue.Halafu ukiona "baba" mwenye nyumba anaanza kujitambulisha nyumbani kwake ujue kuna kazi hata first born anaongoza nyumba yake wala sio hata mke.Nime pewa nafasi na Mungu kuishi kwenye tawala za marais wote. Kuanzia Mwalimu, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magu na sasa Mama wa Kizimkazi, niseme tuu ukweli toka moyoni, sijawahi kumsikia rais alie toa hutuba mbovu kama ya huyu mama wa Kizimkazi.
Sijui kama labda hakuipitia kabla ya kuhutubia au alifanya vile akidhani ni hotuba konki.
Ati kifo ni kifo, ati wasi nipangie, mara mimi ni amiri jeshi mkuu, ni nani asie jua yeye ni amiri jeshi mkuu na rais wa nchi? Mara wame ota mikia, mara wengine walitoroka nchi wana hamu ya kutoroka tena.
Alisha wahi kutuambia katiba ni kijitabu, jana a a sema ana ongoza kwa mujibu wa katiba. Yaani jana hutuba yake ilikuwa vurugu vurugu.. Mungu tusaidie.
Chawa kama chawa linabwabwajaKila mtu ana busara zake.
Hi hizi sio Propaganda kweli hebu tuwekee source yenye kuaminika?.Takwimu au watu wanapewa kwani huoni picha hapo? ππππ
Mitandao na mabalozi watawapihoa kura ππ
Wapiga kura Hawa hapa ππ
View: https://www.instagram.com/p/C_yeI6PI1RT/?igsh=czNiYjN6Z2IxM2s0
Propaganda wanafanya wasio jiamini ila sio Serikali ya Samia ππHi hizi sio Propaganda kweli hebu tuwekee source yenye kuaminika?.
Kwahiyo Why Tabora kwanini Wakulima wa Mikoa mingine nao wasifaidike au kwasababu ni Mkoa anaotoka Waziri?!Propaganda wanafanya wasio jiamini ila sio Serikali ya Samia ππ
View attachment 3099704
Kwa hiyo serikali Ina pesa za kutosha Kupeleka Kila mahala matrekta?Kwahiyo Why Tabora kwanini Wakulima wa Mikoa mingine nao wasifaidike au kwasababu ni Mkoa anaotoka Waziri?!