Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

_47089009_belhadj2_afp766.jpg



Mambo ya Malawi hayo. Belhadji ulimi nje nje akitafuta kifutia machozi.
 
Malawi 3 Algeria 0 dakika ya 85; another native coach kaitoa malwi from namba 136 mpaka 58... Yaani hawa akina Bwino wametawala mpira na wanacheza very good football, dk ya 80 wamefanya sub ya kuondoa midfield na kuweka striker just to show how attacking minded they are

Yes we can

Mimi mpaka juzi Malawi sikuwa nawapa nafasi lakini baada ya dozi ya leo hmmm kuna kazi!!
 
Naisubiria hiyo mechi ya Nigeria na Egypt natumaini itakuwa ya kuburudisha.
 
Todays Match

Egypt VS Nigeria

Mozambique VS Benin
 
Wewe unaangalia mechi ya mwaka gani? Mpira ndio kwanza dakika ya 20
Nigeria 1
Egypt 0

Naona attendance mzozo.

Mkuu huna 'decoda' ya hii phrase yangu. Omba wa2 wakusaidie ku-dikodi!
 
Nigeria wanakosa goli kurudi wanafungwa wao...

Ngoma draw sasa 1-1
 
Back
Top Bottom