Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

Majirani wetu basi tena .. Ila yule left back wa Angola anayefanana na Savimbi aliyetoa takrima siku ile ya Mali yupo. Anaweza kuwatakrimia Malawi.
 
Majirani wetu basi tena .. Ila yule left back wa Angola anayefanana na Savimbi aliyetoa takrima siku ile ya Mali yupo. Anaweza kuwatakrimia Malawi.

Siyo mapema hivyo. kumbuka wana pointi tatu safi kabisa kibindoni.
 
Kwa mara ya kwanza jana tangu kuanza kwa michezo ya mataifa ya Afrika,Angola imefanikiwa kupata ushindi kwa kuifunga Malawi 2-0, hongera kwa wenyeji lakini kazi bado wanayo.
 
Jamaa lakini soka wanalo na forward yao nzuri,goli sita mpaka sasa.
 
Nimewapenda sana Angola kwa jinsi wanavyocheza, ni timu nzuri sana kwa sasa Afrika ingawa wana tatizo la kutegemea sana baadhi ya wachezaji mfano Flavio. Ila pia wanachoka sana na wasiwasi wangu wanaweza kushindwa kucheza dakika 120 pale itakapobidi
 
WAZEE MECHI YA GHANA NA IVORY COAST vipi?
 
mzee saa tatu hiyo....!

_47121185_drogba466.jpg




Kabumbu ndio kwanza limeanza na ngoma bado yai kwa yai. Dakika 14 zimeisha mambo bado.
 
Hivi hizi link ni za Kulipia au ni Bure Mazee
 
Back
Top Bottom