Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vudu or jujuNigerians were "PRAYING" as usual 🙂
![]()
kwani we hujui yupo aliye umba na walioumbwabongo ni washangiliaji....
Huyu refer anawaminya sana Algeria....sio penalty hii..........sasa hivi ndio anakumbuka kutowa kadi...keshaharibu mechi refer huyu
Huyu refer anawaminya sana Algeria....sio penalty hii..........sasa hivi ndio anakumbuka kutowa kadi...keshaharibu mechi refer huyu
Hata kama ungekuwa wewe kwa jinsi ref alivyofanya vile usingechukia?...dah, kipa wa Algeria kampiga kichwa refa? ama kweli...! bahati yake kaambulia yellow card tu.
hawana adabu kumbe hawa?
Mkuu sio hivyo tu, umeona mpigaji penalty alivyo hesitate? sijui kama inaruhusiwa ile maana hata commentators wameshangaa
Mechi ishaharibika hii...
Refa amenikera sana. Ngoja niende zangu kulala.
Red card kwa mchezaji wa Algeria
Miafrika ndivyo tulivyo huyu ref hajafata sheria 17 za mpira naona kama vile kapewa maelekezo kabla ya kuingia uwanjani,hii machi imepangwa na matokeo yamekwisha julikana tayari.Mkuu sio hivyo tu, umeona mpigaji penalty alivyo hesitate? sijui kama inaruhusiwa ile maana hata commentators wameshangaa