Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jecha wa Msumbiji naye yumo.Duh !!! Jecha in the Ring ? !!
🤣🤣🤣🤣🤣Jecha wa Msumbiji naye yumo.
🙏🙏🙏🙏Wapendeni adui zenu; watakieni heri wanaowachukia
Mleta mada anatuoyesha ufundi wake wa kupiga pichaKuna aliyeona tamko lililotolewa wajameni?
Upumbavu upumbavu tu,yaani hii Africa mpaka wenye akili watakapo amua kutoka hadharani ndio wajinga kama watakapoanza kuelewa nn maana ya uangalizi wa uchaguzi,zaidi ya hapo hakuna jipya watu wenyewe eti akina Kikwete.Marais Wastaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa Tanzania na Joaquim Chissano wa Msumbiji kwa pamoja wameungana na Timu mbalimbali za Kikanda na za Kimataifa za Waangalizi wa Uchaguzi wa Angola kutoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika tarehe 24 Agosti 2022
View attachment 2335982View attachment 2335983View attachment 2335984View attachment 2335985
Kwanini anaogopa sana Kusafiri Mikoa ya Mwanza na Geita ambako ndiko kuna Wasukuma wengi japo na Shinyanga, Simiyu na Tabora pia wapo?
Kwenye uchaguzi wa Angola hutowaona Chadomo hapa 😆😆Marais Wastaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa Tanzania na Joaquim Chissano wa Msumbiji kwa pamoja wameungana na Timu mbalimbali za Kikanda na za Kimataifa za Waangalizi wa Uchaguzi wa Angola kutoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika tarehe 24 Agosti 2022
View attachment 2335982View attachment 2335983View attachment 2335984View attachment 2335985
Saga wembe halfu unywe vihaters vyako vitakaaKabisa aisee, maana nasi huku uswahilini tuna vihaters vyetu si mbaya tukapata mbinu ya kuwakalisha..