Angola walitangaza zabuni na DP World ikashinda na sasa yasimamia kitengo cha makontena bandari ya Luanda

Angola walitangaza zabuni na DP World ikashinda na sasa yasimamia kitengo cha makontena bandari ya Luanda

Makubaliano hayana msingi wa kisheria hayo mambo ya mda Serikali imeshasema yataonekana kwenye mkataba wa utekelezwaji Sasa shida Iko wapi?
Anyway, tuseme ni makubaliano, ni kwanini walikubaliana na hivyo vipengele? Ni vizuri sana?
 
Umetolea mfano wa Angola ila huo mkataba wao umeuona, kuusoma na kuuelewa?, Upo Kama huu wakwetu?
 
Baada ya kusoma heading tuu nikajua umeandika ujinga..

Waziri Mbarawa alisema zaidi ya makampuni 8 yalijitokeza na DP World ndio ikashinda Kwa vigezo Sasa huu upotoshaji unatoka wapi?
Mkataba wa Serikali ya Angola na DP world ni miaka 20.

Soma hapa: DP World signs 20-year concession agreement with Angola

Je, mkataba wa Serikali ya Tanzania na DP World ni miaka mingapi?

Pia tambua kuwa mkataba wa DP world na serikali ya Angola ni kuendesha shughuli za kitengo cha makontena tu na si bandari nzima au bandari zingine.
 
Vipengele vina shida gani?
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

ChoiceVariable


Waitwa hapa kujibu masuali ya msingi.
 
Hata ukisoma miongozo ya benki ya dunia, checklist on protection of foreign direct investment, moja ya kigezo muhimu ni kuweka wazi mfumo wa tenda. Uendelezaji wa miondombinu mikubwa kama viwanja vya ndege, reli na bandari inahitaji mfumo wa tenda uwe na uwazi.

Jingine kubwa zaidi, mikataba au concessions ni lazima visema kuhusu a method of financing and duration of project. Kama umetumika mfumo wa BOT (Build, Operate, Transfer) au BOO (Build, Operate, Own) au BOOT (Build, Operate, Own, Transfer) inabidi iwekwe dhahiri ili tufahamu lini muwekezaji atamaliza miradi yake lini.
Sasa kwetu Mwarabu anakuja na karatasi za kufungiwa vitumbua (Zitto, 2023) halafu Bunge letu linakaa na kuzijadili hizo karatasi.

Akili ya kuambiwa changan ya na zako (JK, 2013).

Tanzania kichwa cha Mwendawazimu (Mwinyi, 1993).
 
Ten
View attachment 2681266

Naam, ni DP World Luanda Port.

Bandari ya Luanda ni moja ya bandari kubwa nchini Angola kati ya bandari zake zikiwemo za Lobito na Benguela ambazo zipo pembezoni mwa bahari ya Atlantic.

Lakini serikali ya Angola kwa kuona ufanisi mdogo uso na tija kwa uchumi wake ikaamua kutafuta mzabuni ambae ataendesha shughuli za khasa makontena katika bandari ya Luanda ili kuleta tija zaidi na manufaa makubwa ya kiuchumi. Ikaunda kamisheni ambayo itasimamia utekelezaji wa mpango wa kubinafsisha shughuli za bandari na pia kusimamia shughuli zinofanywa na mzabuni DP World kwenye kitengo cha makontena.

Lakini serikali hiyo imeweka masharti yake kwa mzabuni yoyote atakaeshinda na moja ya masharti hayo ni mzabuni kuendesha shughuli zake za usimamizi wa shughuli za makontena kwa miaka 20. Ikifika miaka 20 kama kuna uwezekano wa kuendelea na mkataba basi mkataba utapitiwa upya na mzabuni atapitishwa kuendesha shughuli zake bandarini hapo kwa miaka mingine.

Hatua hii ni sawa na ile ya kubinafsisha bandari ya Lobito kwa wawezekezaji wa ndani na nje kitendo kinoitwa "concession" na benki iitwayo Eagle Stone ya uwezekezaji pamoja na Benki ya Dunia ndo wamekuwa washauri wakuu wa namna ya kurekebisha uchumi wa Angola kwa kuanza na bandari kama hii ya Lobito na ile ya Luanda.

Nifafanue kidogo kuhusu neno "Concession" yaani makubaliano kwamba kwa mfano weye una duka kubwa la bidhaa mbalimbali yaani "departmental store" lakini wakaribisha wauzaji wengine wenye aina zingine za bidhaa tofauti zenye nembo mbalimbali ndani ya duka lako. Wauzaji hawa wengine ambao si waajiriwa wako wao hupanga tu ndani ya duka lako na weye waruhusu wao kujenga duka lao watakavyo ndani humo na kuuza bidhaa zao humo, kuajiri watu wawatakao na pia kufanya mambo yao wanavyoona wao kwa makubaliano ya kukulipa kamisheni inotokana na faida ya mauzo ya bidhaa zao.

Hivyo hapo serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola lakini imeachia baadhi ya shughuli khasa za kuhusu usimamizi wa makontena ziendeshwe na wabia na makampuni binafsi hususan katika bandari yake ya Luanda ni kampuni ya DP World imeshinda zabuni na sasa ndo yaendesha bandari ya Luanda.

DP World sasa wasimamia kitengo cha makontena cha MPT (multi purpose terminal) na walianza kazi rasmi tarehe 1 March 2021. Bwana Franscisco Pinzon raia wa Panama ndie alieteuliwa na DP world kuongoza MPT akiwa na uzoefu wa miaka 20 katika shughuli za uendeshaji wa bandari na uongozi wake.

Akitoa taarifa ya shughuli za DP world kuanza kazi katika kitengo cha makontena bandarini hapo, afisa mtendaji mkuu na mkurugenzi mwendeshaji bwana Suhail Al Banna amesema DP world wana furaha kuwa nchini Angola na kuendeleza kitengo cha makontena bandarini hapo ili kusaidia kukuza uchumi wa Angola.

Hapa ningependa zaidi msaada wa wanasheria katika kufafanua maana ya maneno yafuatayo: Memorandum of understanding, contract, agreement in principal na agreement. Kisha tufananishe au kulinganisha maneno haya na hili neno "Concession", kwa maana kwamba DP World wamekubaliana na serikali ya Angola kupata uwezo kuendesha shughuli za makontena katika bandari ya Luanda na pia kukifanya kitengo hicho kiwe kitovu cha biashara katika ukanda wa kusini magharibi mwa Afrika.

DP World starts operations of multipurpose terminal at Port of Luanda​


Luanda, Angola,
01
March
2021


 Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa


Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa.

Serikali ya Angola iliweka ushindani huo wa wazabuni na makampuni kadhaa ya kimataifa yakiwemo kama vile kampuni za Multipaques, Advanced Maritime Transport na China Harbour Engineering Company zilishiriki kupigania zabuni hiyo. Tume maalum ya kutathmini wagombea wa zabuni ambayo iliundwa rasmi na wizara ya masuala ya usafirishaji katika mpango wake uitwao Master Plan, ilikuja na uamuzi kwamba DP World ndo wenye sifa zinofaa na wapewe zabuni.

Sio siri, DP World ni kampuni kubwa yenye uwezo mkubwa na uzoefu wa kazi za kushughulikia makontena yapatayo milioni 70 kwa mwaka. Pia DP World inaweza kulipa kwa mwangalizi (Serikali ya Angola) kiasi cha dola milioni 440 kwa mwaka huku dolali zingine milioni 150 zikilipwa wakati wa utiaji saini na kabla kazi haijaanza!, yaani kwa lugha ingine "Kifunga Uchumba!"

Kwahiyo tumejifunza nini hapo?

Kwanza, tumejifunza kwamba serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola na imeingia makubaliano na kampuni ya DP World kuendesha shughuli za makontena tu na si vinginevyo katika bandari ya Luanda.

Pili, serikali ya Angola iliweka ushindanishi wa zabuni kwa makampuni mbalimbali yakiwemo ya kimataifa yalotaka kufanya kazi katika bandari ya Luanda. Zabuni hiyo ilitangazwa mwezi December 2019 na DP world ikaja tangazwa kuwa imeshinda zabuni hiyo mapema mwaka 2020. Jambo hilo laonyesha wazi kwamba serikali iliweka jambo hilo wazi na kujulikana wazi kwamba si siri.

Tatu, Serikali ya Angola kupitia wizara ya usafirishaji iliunda tume maalum ya kutathmini zoezi zima la kutafuta wazabuni na kuweka ushindanishi. Hilo pia linalinda heshima kwa serikali (integrity) na imani kwa wnaanchi wake na pia kuonyesha kwamba serikali yajali raia wake na imeweka mbele maslahi ya nchi zikiwemo mali za taifa.

Tumeambiwa kwamba mazungumzo ya mkataba huu yalianza tangia mwaka 2019 hivyo kuwa sawa kabisa na wenzetu wa Angola katika mahckato mzima, je ni wapi tulikwama katika kuhakikisha kunakuwepo ushindanishi wa kupata mzabuni? Au je, kuna tume yoyote iloundwa chini ya wizara ya biashara na viwanda au wizara ya ujenzi au usafirishaji ilohakikisha kuwa kuna uwazi /openness) katika hili na kutathmini mchakato mzima wa kumpata mzabuni?

Je, hili suala ni la kulipeleka Bungeni kwa kuidhinisha tu (rubber stamp) bila kuzingatia maoni ya wananchi au uwepo wa tume hiyo ambayo ingekuwa ikifanya kazi yake kwa niaba wananchi na maslahi ya taifa kwa ujumla?

Je, ni kwanini tumechukua hatua tulizochukua ambazo ni tofauti na hatua ambazo wenzetu na waafrika wenzetu serikali ya Angola imechukua? Je kwanini tusiombe ushauri wa ndugu zetu Angola kwenye hili ili tupate mawazo mazuri ya namna ya kumpata mzabuni hata kama ni DP World kwa kutumia njia sahihi?

Naomba nimalizie kwa kusema yafuatayo:

Hii nchi ni yetu sote na kila maamuzi ambayo serikali yachukua yawahusu watanzania wote na kizazi kijacho, hivyo serikali inawajibika kwa hatua zozote zinohusu maslahi ya taifa hili.

Pia serikali isidharau kauli, ushauri na mijadala mbalimbali kuhusu jambo hili kwani ni fukuto kubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania ambao wanazo video zote zinohusu suala la bandari tangia mchakato wake uanze.

Na mwisho, serikali isitishe kuwatumia baadhi ya watu inaoamini kuwa wana ushawishi (influence) kwa jamii hivyo kuweza kusawazisha mambo na kuyapitisha malengo yake yenye kasoro nyingi. Watu hawa ni kweli wana nguvu kubwa ya ushawishi iwe kwenye mitandao ya kijamii, vituo vya redio au televisheni, lakini baadhi yao wamekosa weledi, uwezo wa kufikiri kwa kina na ni waendekezaji mizaha.

Suala linohusu maslahi ya taifa halihitaji mizaha.

Vyanzo vilivyochangia mada hii: Trifigura, DP World Lu

View attachment 2681266

Naam, ni DP World Luanda Port.

Bandari ya Luanda ni moja ya bandari kubwa nchini Angola kati ya bandari zake zikiwemo za Lobito na Benguela ambazo zipo pembezoni mwa bahari ya Atlantic.

Lakini serikali ya Angola kwa kuona ufanisi mdogo uso na tija kwa uchumi wake ikaamua kutafuta mzabuni ambae ataendesha shughuli za khasa makontena katika bandari ya Luanda ili kuleta tija zaidi na manufaa makubwa ya kiuchumi. Ikaunda kamisheni ambayo itasimamia utekelezaji wa mpango wa kubinafsisha shughuli za bandari na pia kusimamia shughuli zinofanywa na mzabuni DP World kwenye kitengo cha makontena.

Lakini serikali hiyo imeweka masharti yake kwa mzabuni yoyote atakaeshinda na moja ya masharti hayo ni mzabuni kuendesha shughuli zake za usimamizi wa shughuli za makontena kwa miaka 20. Ikifika miaka 20 kama kuna uwezekano wa kuendelea na mkataba basi mkataba utapitiwa upya na mzabuni atapitishwa kuendesha shughuli zake bandarini hapo kwa miaka mingine.

Hatua hii ni sawa na ile ya kubinafsisha bandari ya Lobito kwa wawezekezaji wa ndani na nje kitendo kinoitwa "concession" na benki iitwayo Eagle Stone ya uwezekezaji pamoja na Benki ya Dunia ndo wamekuwa washauri wakuu wa namna ya kurekebisha uchumi wa Angola kwa kuanza na bandari kama hii ya Lobito na ile ya Luanda.

Nifafanue kidogo kuhusu neno "Concession" yaani makubaliano kwamba kwa mfano weye una duka kubwa la bidhaa mbalimbali yaani "departmental store" lakini wakaribisha wauzaji wengine wenye aina zingine za bidhaa tofauti zenye nembo mbalimbali ndani ya duka lako. Wauzaji hawa wengine ambao si waajiriwa wako wao hupanga tu ndani ya duka lako na weye waruhusu wao kujenga duka lao watakavyo ndani humo na kuuza bidhaa zao humo, kuajiri watu wawatakao na pia kufanya mambo yao wanavyoona wao kwa makubaliano ya kukulipa kamisheni inotokana na faida ya mauzo ya bidhaa zao.

Hivyo hapo serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola lakini imeachia baadhi ya shughuli khasa za kuhusu usimamizi wa makontena ziendeshwe na wabia na makampuni binafsi hususan katika bandari yake ya Luanda ni kampuni ya DP World imeshinda zabuni na sasa ndo yaendesha bandari ya Luanda.

DP World sasa wasimamia kitengo cha makontena cha MPT (multi purpose terminal) na walianza kazi rasmi tarehe 1 March 2021. Bwana Franscisco Pinzon raia wa Panama ndie alieteuliwa na DP world kuongoza MPT akiwa na uzoefu wa miaka 20 katika shughuli za uendeshaji wa bandari na uongozi wake.

Akitoa taarifa ya shughuli za DP world kuanza kazi katika kitengo cha makontena bandarini hapo, afisa mtendaji mkuu na mkurugenzi mwendeshaji bwana Suhail Al Banna amesema DP world wana furaha kuwa nchini Angola na kuendeleza kitengo cha makontena bandarini hapo ili kusaidia kukuza uchumi wa Angola.

Hapa ningependa zaidi msaada wa wanasheria katika kufafanua maana ya maneno yafuatayo: Memorandum of understanding, contract, agreement in principal na agreement. Kisha tufananishe au kulinganisha maneno haya na hili neno "Concession", kwa maana kwamba DP World wamekubaliana na serikali ya Angola kupata uwezo kuendesha shughuli za makontena katika bandari ya Luanda na pia kukifanya kitengo hicho kiwe kitovu cha biashara katika ukanda wa kusini magharibi mwa Afrika.

DP World starts operations of multipurpose terminal at Port of Luanda​


Luanda, Angola,
01
March
2021


 Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa


Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa.

Serikali ya Angola iliweka ushindani huo wa wazabuni na makampuni kadhaa ya kimataifa yakiwemo kama vile kampuni za Multipaques, Advanced Maritime Transport na China Harbour Engineering Company zilishiriki kupigania zabuni hiyo. Tume maalum ya kutathmini wagombea wa zabuni ambayo iliundwa rasmi na wizara ya masuala ya usafirishaji katika mpango wake uitwao Master Plan, ilikuja na uamuzi kwamba DP World ndo wenye sifa zinofaa na wapewe zabuni.

Sio siri, DP World ni kampuni kubwa yenye uwezo mkubwa na uzoefu wa kazi za kushughulikia makontena yapatayo milioni 70 kwa mwaka. Pia DP World inaweza kulipa kwa mwangalizi (Serikali ya Angola) kiasi cha dola milioni 440 kwa mwaka huku dolali zingine milioni 150 zikilipwa wakati wa utiaji saini na kabla kazi haijaanza!, yaani kwa lugha ingine "Kifunga Uchumba!"

Kwahiyo tumejifunza nini hapo?

Kwanza, tumejifunza kwamba serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola na imeingia makubaliano na kampuni ya DP World kuendesha shughuli za makontena tu na si vinginevyo katika bandari ya Luanda.

Pili, serikali ya Angola iliweka ushindanishi wa zabuni kwa makampuni mbalimbali yakiwemo ya kimataifa yalotaka kufanya kazi katika bandari ya Luanda. Zabuni hiyo ilitangazwa mwezi December 2019 na DP world ikaja tangazwa kuwa imeshinda zabuni hiyo mapema mwaka 2020. Jambo hilo laonyesha wazi kwamba serikali iliweka jambo hilo wazi na kujulikana wazi kwamba si siri.

Tatu, Serikali ya Angola kupitia wizara ya usafirishaji iliunda tume maalum ya kutathmini zoezi zima la kutafuta wazabuni na kuweka ushindanishi. Hilo pia linalinda heshima kwa serikali (integrity) na imani kwa wnaanchi wake na pia kuonyesha kwamba serikali yajali raia wake na imeweka mbele maslahi ya nchi zikiwemo mali za taifa.

Tumeambiwa kwamba mazungumzo ya mkataba huu yalianza tangia mwaka 2019 hivyo kuwa sawa kabisa na wenzetu wa Angola katika mahckato mzima, je ni wapi tulikwama katika kuhakikisha kunakuwepo ushindanishi wa kupata mzabuni? Au je, kuna tume yoyote iloundwa chini ya wizara ya biashara na viwanda au wizara ya ujenzi au usafirishaji ilohakikisha kuwa kuna uwazi /openness) katika hili na kutathmini mchakato mzima wa kumpata mzabuni?

Je, hili suala ni la kulipeleka Bungeni kwa kuidhinisha tu (rubber stamp) bila kuzingatia maoni ya wananchi au uwepo wa tume hiyo ambayo ingekuwa ikifanya kazi yake kwa niaba wananchi na maslahi ya taifa kwa ujumla?

Je, ni kwanini tumechukua hatua tulizochukua ambazo ni tofauti na hatua ambazo wenzetu na waafrika wenzetu serikali ya Angola imechukua? Je kwanini tusiombe ushauri wa ndugu zetu Angola kwenye hili ili tupate mawazo mazuri ya namna ya kumpata mzabuni hata kama ni DP World kwa kutumia njia sahihi?

Naomba nimalizie kwa kusema yafuatayo:

Hii nchi ni yetu sote na kila maamuzi ambayo serikali yachukua yawahusu watanzania wote na kizazi kijacho, hivyo serikali inawajibika kwa hatua zozote zinohusu maslahi ya taifa hili.

Pia serikali isidharau kauli, ushauri na mijadala mbalimbali kuhusu jambo hili kwani ni fukuto kubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania ambao wanazo video zote zinohusu suala la bandari tangia mchakato wake uanze.

Na mwisho, serikali isitishe kuwatumia baadhi ya watu inaoamini kuwa wana ushawishi (influence) kwa jamii hivyo kuweza kusawazisha mambo na kuyapitisha malengo yake yenye kasoro nyingi. Watu hawa ni kweli wana nguvu kubwa ya ushawishi iwe kwenye mitandao ya kijamii, vituo vya redio au televisheni, lakini baadhi yao wamekosa weledi, uwezo wa kufikiri kwa kina na ni waendekezaji mizaha.

Suala linohusu maslahi ya taifa halihitaji mizaha.

Vyanzo vilivyochangia mada hii: Trifigura, DP World Luanda Port, Maritime Institute na vyombo kadhaa vya habari.
Tenda itangazwe TANePS kila mwenye GPSA aombe!!!!!
 
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Uzushi huu achana nao
 
View attachment 2681266

Naam, ni DP World Luanda Port.

Bandari ya Luanda ni moja ya bandari kubwa nchini Angola kati ya bandari zake zikiwemo za Lobito na Benguela ambazo zipo pembezoni mwa bahari ya Atlantic.

Lakini serikali ya Angola kwa kuona ufanisi mdogo uso na tija kwa uchumi wake ikaamua kutafuta mzabuni ambae ataendesha shughuli za khasa makontena katika bandari ya Luanda ili kuleta tija zaidi na manufaa makubwa ya kiuchumi. Ikaunda kamisheni ambayo itasimamia utekelezaji wa mpango wa kubinafsisha shughuli za bandari na pia kusimamia shughuli zinofanywa na mzabuni DP World kwenye kitengo cha makontena.

Lakini serikali hiyo imeweka masharti yake kwa mzabuni yoyote atakaeshinda na moja ya masharti hayo ni mzabuni kuendesha shughuli zake za usimamizi wa shughuli za makontena kwa miaka 20. Ikifika miaka 20 kama kuna uwezekano wa kuendelea na mkataba basi mkataba utapitiwa upya na mzabuni atapitishwa kuendesha shughuli zake bandarini hapo kwa miaka mingine.

Hatua hii ni sawa na ile ya kubinafsisha bandari ya Lobito kwa wawezekezaji wa ndani na nje kitendo kinoitwa "concession" na benki iitwayo Eagle Stone ya uwezekezaji pamoja na Benki ya Dunia ndo wamekuwa washauri wakuu wa namna ya kurekebisha uchumi wa Angola kwa kuanza na bandari kama hii ya Lobito na ile ya Luanda.

Nifafanue kidogo kuhusu neno "Concession" yaani makubaliano kwamba kwa mfano weye una duka kubwa la bidhaa mbalimbali yaani "departmental store" lakini wakaribisha wauzaji wengine wenye aina zingine za bidhaa tofauti zenye nembo mbalimbali ndani ya duka lako. Wauzaji hawa wengine ambao si waajiriwa wako wao hupanga tu ndani ya duka lako na weye waruhusu wao kujenga duka lao watakavyo ndani humo na kuuza bidhaa zao humo, kuajiri watu wawatakao na pia kufanya mambo yao wanavyoona wao kwa makubaliano ya kukulipa kamisheni inotokana na faida ya mauzo ya bidhaa zao.

Hivyo hapo serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola lakini imeachia baadhi ya shughuli khasa za kuhusu usimamizi wa makontena ziendeshwe na wabia na makampuni binafsi hususan katika bandari yake ya Luanda ni kampuni ya DP World imeshinda zabuni na sasa ndo yaendesha bandari ya Luanda.

DP World sasa wasimamia kitengo cha makontena cha MPT (multi purpose terminal) na walianza kazi rasmi tarehe 1 March 2021. Bwana Franscisco Pinzon raia wa Panama ndie alieteuliwa na DP world kuongoza MPT akiwa na uzoefu wa miaka 20 katika shughuli za uendeshaji wa bandari na uongozi wake.

Akitoa taarifa ya shughuli za DP world kuanza kazi katika kitengo cha makontena bandarini hapo, afisa mtendaji mkuu na mkurugenzi mwendeshaji bwana Suhail Al Banna amesema DP world wana furaha kuwa nchini Angola na kuendeleza kitengo cha makontena bandarini hapo ili kusaidia kukuza uchumi wa Angola.

Hapa ningependa zaidi msaada wa wanasheria katika kufafanua maana ya maneno yafuatayo: Memorandum of understanding, contract, agreement in principal na agreement. Kisha tufananishe au kulinganisha maneno haya na hili neno "Concession", kwa maana kwamba DP World wamekubaliana na serikali ya Angola kupata uwezo kuendesha shughuli za makontena katika bandari ya Luanda na pia kukifanya kitengo hicho kiwe kitovu cha biashara katika ukanda wa kusini magharibi mwa Afrika.

DP World starts operations of multipurpose terminal at Port of Luanda​


Luanda, Angola,
01
March
2021


 Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa


Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa.

Serikali ya Angola iliweka ushindani huo wa wazabuni na makampuni kadhaa ya kimataifa yakiwemo kama vile kampuni za Multipaques, Advanced Maritime Transport na China Harbour Engineering Company zilishiriki kupigania zabuni hiyo. Tume maalum ya kutathmini wagombea wa zabuni ambayo iliundwa rasmi na wizara ya masuala ya usafirishaji katika mpango wake uitwao Master Plan, ilikuja na uamuzi kwamba DP World ndo wenye sifa zinofaa na wapewe zabuni.

Sio siri, DP World ni kampuni kubwa yenye uwezo mkubwa na uzoefu wa kazi za kushughulikia makontena yapatayo milioni 70 kwa mwaka. Pia DP World inaweza kulipa kwa mwangalizi (Serikali ya Angola) kiasi cha dola milioni 440 kwa mwaka huku dolali zingine milioni 150 zikilipwa wakati wa utiaji saini na kabla kazi haijaanza!, yaani kwa lugha ingine "Kifunga Uchumba!"

Kwahiyo tumejifunza nini hapo?

Kwanza, tumejifunza kwamba serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola na imeingia makubaliano na kampuni ya DP World kuendesha shughuli za makontena tu na si vinginevyo katika bandari ya Luanda.

Pili, serikali ya Angola iliweka ushindanishi wa zabuni kwa makampuni mbalimbali yakiwemo ya kimataifa yalotaka kufanya kazi katika bandari ya Luanda. Zabuni hiyo ilitangazwa mwezi December 2019 na DP world ikaja tangazwa kuwa imeshinda zabuni hiyo mapema mwaka 2020. Jambo hilo laonyesha wazi kwamba serikali iliweka jambo hilo wazi na kujulikana wazi kwamba si siri.

Tatu, Serikali ya Angola kupitia wizara ya usafirishaji iliunda tume maalum ya kutathmini zoezi zima la kutafuta wazabuni na kuweka ushindanishi. Hilo pia linalinda heshima kwa serikali (integrity) na imani kwa wnaanchi wake na pia kuonyesha kwamba serikali yajali raia wake na imeweka mbele maslahi ya nchi zikiwemo mali za taifa.

Tumeambiwa kwamba mazungumzo ya mkataba huu yalianza tangia mwaka 2019 hivyo kuwa sawa kabisa na wenzetu wa Angola katika mahckato mzima, je ni wapi tulikwama katika kuhakikisha kunakuwepo ushindanishi wa kupata mzabuni? Au je, kuna tume yoyote iloundwa chini ya wizara ya biashara na viwanda au wizara ya ujenzi au usafirishaji ilohakikisha kuwa kuna uwazi /openness) katika hili na kutathmini mchakato mzima wa kumpata mzabuni?

Je, hili suala ni la kulipeleka Bungeni kwa kuidhinisha tu (rubber stamp) bila kuzingatia maoni ya wananchi au uwepo wa tume hiyo ambayo ingekuwa ikifanya kazi yake kwa niaba wananchi na maslahi ya taifa kwa ujumla?

Je, ni kwanini tumechukua hatua tulizochukua ambazo ni tofauti na hatua ambazo wenzetu na waafrika wenzetu serikali ya Angola imechukua? Je kwanini tusiombe ushauri wa ndugu zetu Angola kwenye hili ili tupate mawazo mazuri ya namna ya kumpata mzabuni hata kama ni DP World kwa kutumia njia sahihi?

Naomba nimalizie kwa kusema yafuatayo:

Hii nchi ni yetu sote na kila maamuzi ambayo serikali yachukua yawahusu watanzania wote na kizazi kijacho, hivyo serikali inawajibika kwa hatua zozote zinohusu maslahi ya taifa hili.

Pia serikali isidharau kauli, ushauri na mijadala mbalimbali kuhusu jambo hili kwani ni fukuto kubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania ambao wanazo video zote zinohusu suala la bandari tangia mchakato wake uanze.

Na mwisho, serikali isitishe kuwatumia baadhi ya watu inaoamini kuwa wana ushawishi (influence) kwa jamii hivyo kuweza kusawazisha mambo na kuyapitisha malengo yake yenye kasoro nyingi. Watu hawa ni kweli wana nguvu kubwa ya ushawishi iwe kwenye mitandao ya kijamii, vituo vya redio au televisheni, lakini baadhi yao wamekosa weledi, uwezo wa kufikiri kwa kina na ni waendekezaji mizaha.

Suala linohusu maslahi ya taifa halihitaji mizaha.

Vyanzo vilivyochangia mada hii: Trifigura, DP World Luanda Port, Maritime Institute na vyombo kadhaa vya habari.
Sasa huyu mama kawapa bandari zote kwa 100%.
 
View attachment 2681266

Naam, ni DP World Luanda Port.

Bandari ya Luanda ni moja ya bandari kubwa nchini Angola kati ya bandari zake zikiwemo za Lobito na Benguela ambazo zipo pembezoni mwa bahari ya Atlantic.

Lakini serikali ya Angola kwa kuona ufanisi mdogo uso na tija kwa uchumi wake ikaamua kutafuta mzabuni ambae ataendesha shughuli za khasa makontena katika bandari ya Luanda ili kuleta tija zaidi na manufaa makubwa ya kiuchumi. Ikaunda kamisheni ambayo itasimamia utekelezaji wa mpango wa kubinafsisha shughuli za bandari na pia kusimamia shughuli zinofanywa na mzabuni DP World kwenye kitengo cha makontena.

Lakini serikali hiyo imeweka masharti yake kwa mzabuni yoyote atakaeshinda na moja ya masharti hayo ni mzabuni kuendesha shughuli zake za usimamizi wa shughuli za makontena kwa miaka 20. Ikifika miaka 20 kama kuna uwezekano wa kuendelea na mkataba basi mkataba utapitiwa upya na mzabuni atapitishwa kuendesha shughuli zake bandarini hapo kwa miaka mingine.

Hatua hii ni sawa na ile ya kubinafsisha bandari ya Lobito kwa wawezekezaji wa ndani na nje kitendo kinoitwa "concession" na benki iitwayo Eagle Stone ya uwezekezaji pamoja na Benki ya Dunia ndo wamekuwa washauri wakuu wa namna ya kurekebisha uchumi wa Angola kwa kuanza na bandari kama hii ya Lobito na ile ya Luanda.

Nifafanue kidogo kuhusu neno "Concession" yaani makubaliano kwamba kwa mfano weye una duka kubwa la bidhaa mbalimbali yaani "departmental store" lakini wakaribisha wauzaji wengine wenye aina zingine za bidhaa tofauti zenye nembo mbalimbali ndani ya duka lako. Wauzaji hawa wengine ambao si waajiriwa wako wao hupanga tu ndani ya duka lako na weye waruhusu wao kujenga duka lao watakavyo ndani humo na kuuza bidhaa zao humo, kuajiri watu wawatakao na pia kufanya mambo yao wanavyoona wao kwa makubaliano ya kukulipa kamisheni inotokana na faida ya mauzo ya bidhaa zao.

Hivyo hapo serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola lakini imeachia baadhi ya shughuli khasa za kuhusu usimamizi wa makontena ziendeshwe na wabia na makampuni binafsi hususan katika bandari yake ya Luanda ni kampuni ya DP World imeshinda zabuni na sasa ndo yaendesha bandari ya Luanda.

DP World sasa wasimamia kitengo cha makontena cha MPT (multi purpose terminal) na walianza kazi rasmi tarehe 1 March 2021. Bwana Franscisco Pinzon raia wa Panama ndie alieteuliwa na DP world kuongoza MPT akiwa na uzoefu wa miaka 20 katika shughuli za uendeshaji wa bandari na uongozi wake.

Akitoa taarifa ya shughuli za DP world kuanza kazi katika kitengo cha makontena bandarini hapo, afisa mtendaji mkuu na mkurugenzi mwendeshaji bwana Suhail Al Banna amesema DP world wana furaha kuwa nchini Angola na kuendeleza kitengo cha makontena bandarini hapo ili kusaidia kukuza uchumi wa Angola.

Hapa ningependa zaidi msaada wa wanasheria katika kufafanua maana ya maneno yafuatayo: Memorandum of understanding, contract, agreement in principal na agreement. Kisha tufananishe au kulinganisha maneno haya na hili neno "Concession", kwa maana kwamba DP World wamekubaliana na serikali ya Angola kupata uwezo kuendesha shughuli za makontena katika bandari ya Luanda na pia kukifanya kitengo hicho kiwe kitovu cha biashara katika ukanda wa kusini magharibi mwa Afrika.

DP World starts operations of multipurpose terminal at Port of Luanda​


Luanda, Angola,
01
March
2021


 Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa


Suhail Al Banna, CEO and Managing Director of DP World Middle East and Africa.

Serikali ya Angola iliweka ushindani huo wa wazabuni na makampuni kadhaa ya kimataifa yakiwemo kama vile kampuni za Multipaques, Advanced Maritime Transport na China Harbour Engineering Company zilishiriki kupigania zabuni hiyo. Tume maalum ya kutathmini wagombea wa zabuni ambayo iliundwa rasmi na wizara ya masuala ya usafirishaji katika mpango wake uitwao Master Plan, ilikuja na uamuzi kwamba DP World ndo wenye sifa zinofaa na wapewe zabuni.

Sio siri, DP World ni kampuni kubwa yenye uwezo mkubwa na uzoefu wa kazi za kushughulikia makontena yapatayo milioni 70 kwa mwaka. Pia DP World inaweza kulipa kwa mwangalizi (Serikali ya Angola) kiasi cha dola milioni 440 kwa mwaka huku dolali zingine milioni 150 zikilipwa wakati wa utiaji saini na kabla kazi haijaanza!, yaani kwa lugha ingine "Kifunga Uchumba!"

Kwahiyo tumejifunza nini hapo?

Kwanza, tumejifunza kwamba serikali ya Angola bado ni mmiliki wa bandari zote za Angola na imeingia makubaliano na kampuni ya DP World kuendesha shughuli za makontena tu na si vinginevyo katika bandari ya Luanda.

Pili, serikali ya Angola iliweka ushindanishi wa zabuni kwa makampuni mbalimbali yakiwemo ya kimataifa yalotaka kufanya kazi katika bandari ya Luanda. Zabuni hiyo ilitangazwa mwezi December 2019 na DP world ikaja tangazwa kuwa imeshinda zabuni hiyo mapema mwaka 2020. Jambo hilo laonyesha wazi kwamba serikali iliweka jambo hilo wazi na kujulikana wazi kwamba si siri.

Tatu, Serikali ya Angola kupitia wizara ya usafirishaji iliunda tume maalum ya kutathmini zoezi zima la kutafuta wazabuni na kuweka ushindanishi. Hilo pia linalinda heshima kwa serikali (integrity) na imani kwa wnaanchi wake na pia kuonyesha kwamba serikali yajali raia wake na imeweka mbele maslahi ya nchi zikiwemo mali za taifa.

Tumeambiwa kwamba mazungumzo ya mkataba huu yalianza tangia mwaka 2019 hivyo kuwa sawa kabisa na wenzetu wa Angola katika mahckato mzima, je ni wapi tulikwama katika kuhakikisha kunakuwepo ushindanishi wa kupata mzabuni? Au je, kuna tume yoyote iloundwa chini ya wizara ya biashara na viwanda au wizara ya ujenzi au usafirishaji ilohakikisha kuwa kuna uwazi /openness) katika hili na kutathmini mchakato mzima wa kumpata mzabuni?

Je, hili suala ni la kulipeleka Bungeni kwa kuidhinisha tu (rubber stamp) bila kuzingatia maoni ya wananchi au uwepo wa tume hiyo ambayo ingekuwa ikifanya kazi yake kwa niaba wananchi na maslahi ya taifa kwa ujumla?

Je, ni kwanini tumechukua hatua tulizochukua ambazo ni tofauti na hatua ambazo wenzetu na waafrika wenzetu serikali ya Angola imechukua? Je kwanini tusiombe ushauri wa ndugu zetu Angola kwenye hili ili tupate mawazo mazuri ya namna ya kumpata mzabuni hata kama ni DP World kwa kutumia njia sahihi?

Naomba nimalizie kwa kusema yafuatayo:

Hii nchi ni yetu sote na kila maamuzi ambayo serikali yachukua yawahusu watanzania wote na kizazi kijacho, hivyo serikali inawajibika kwa hatua zozote zinohusu maslahi ya taifa hili.

Pia serikali isidharau kauli, ushauri na mijadala mbalimbali kuhusu jambo hili kwani ni fukuto kubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania ambao wanazo video zote zinohusu suala la bandari tangia mchakato wake uanze.

Na mwisho, serikali isitishe kuwatumia baadhi ya watu inaoamini kuwa wana ushawishi (influence) kwa jamii hivyo kuweza kusawazisha mambo na kuyapitisha malengo yake yenye kasoro nyingi. Watu hawa ni kweli wana nguvu kubwa ya ushawishi iwe kwenye mitandao ya kijamii, vituo vya redio au televisheni, lakini baadhi yao wamekosa weledi, uwezo wa kufikiri kwa kina na ni waendekezaji mizaha.

Suala linohusu maslahi ya taifa halihitaji mizaha.

Vyanzo vilivyochangia mada hii: Trifigura, DP World Luanda Port, Maritime Institute na vyombo kadhaa vya habari.
Naandika point wenzio wanasema wacha tukumbize ji kibatali letu kila wilaya tuwazibe midomo kina TL na wote wanapinga DP, hamna jinsi.. Ji moto linavyowaka kila wilaya wajinga wanalala usingizi wa pono.. wenye DP yao wanaendelea na maandalizi ya awali ya mwekezaji😁😁na wambia Siku ule moto ukiacha kuzungushwa.. Mtaamka...
 
Back
Top Bottom