Let's assume you are right kuwa this is the right time, ili CCM iondoke ni lazima kwanza wa kuchukua nafasi yake apatikane ndipo CCM ifungeshe!, jee mtu huyo yupo?.
Kwa maoni yangu bado hayupo hivyo CCM bado ipo sana tuu!, hizi kelele zote za sasa ni hasira tuu baada ya muda zitapoa na hili nalo litapita!.
P
Hayupo Kwa kuwa bado wanataka kuendelea kutawala. Madaraka ni matamu. Kuanzia kwenye ubalozi wa nyumba 10 balozi huwa anaamini kuwa hakuna kama yeye atakayekuwa balozi. Siyo AJABU KWA CCM KUAMINI KUWA hakuna MWENYE UWEZO WA kutawala zaidi ya mwanachama wa CCM. Lakini hii HOJA SIYO YA KWELI KWA SABABU ZIFUATAZO;
1. CCM imekuwa ikiteua viongozi wa upinzani kuwapa madaraka MAKUBWA , Mfano Kafulila alitokea upinzani, marehemu ANNA MUGHWIRA aliteuliwa kuwa mkuu wa MKOA mpaka KIFO kilipomkuta.. LEO HII PROF.KITILA MKUMBO NI WAZIRI na alitokea UPINZANI.
2. NCHI hii Ina wasomi wengi sana wenye milengo tofauti na mambo ya CCM. Hawa watu Wana upeo mkubwa sana wa kiuongozi na kiutawala. Maana kutawala ni kuonesha njia .CCM hawakuanza kutawala Bali NI TANU na ASP Tanganyika na Zanzibar kila mmoja.. HIVYO SIYO KWELI kwamba CHADEMA AU ACT akiingia madarakani hawezi kutawala. hivi vyama vina watu wasomi sana.
3.Tanzania ni nchi ya mfumo wa VYAMA vingi( MULTIPARTISM) system.. mfumo huu unaamini kuwa nchi inaweza kutawaliwa na vyama tofauti.ndiyo maana mbunge wa CHADEMA au CCM wanalipwa na Kodi za watanganyika au wazanzibar.
3. Walio CCM Wamethibitisha wazi kuwa mambo yamewaendea kombo.
Rushwa, kila Kona, mwl haendi kusimamia mitihani bila rushwa,
Upendeleo wa Hali ya juu maofisini . Nipo serikalini nayaona haya, sipo serikalini Kwa kuwa nilipendelewa Nina kila alichonacho msomi wa Tanzania na upevu wa ufaham wangu ni mkubwa sana kuhusu nchi hii. Tunajitoa faham na kuona kila KITU kipo sawa lkn Kwa kweli CCM itasababisha damu ya watanzania wengi kumwagika.
4. Tume ya UCHAGUZI SIYO HURU . Mtendaji wa kata ni mwakilishi wa mkurugenzi, ndiye msimamizi wa uchaguzi kata Kwa nafasi yake huku akiwajibika moja Kwa moja Kwa mkurugenzi wa wilaya. Mkurugenzi mteuliwa wa rais. Wakuu wote wa time ya UCHAGUZI ni watu wa CCM. HIZI NDIZO SABABU KUU KWANINI CCM INAAMINI HAMNA ZAIDI YAKE.