Anguko la Diamond ni sawa na "Mr nice"

Hahahahahahaha i think Am too logical thuy y umeshindwa kunielewa, tukiza akili jibu maswal yangu then i will tell u something. ..[emoji23][emoji23]
Huna logical wala nn na Dogo atazidi kuwahenyesh sana na kama mnasubiri ashuke tafuten vit make maana miguu itaingia tumboni....the guy is smart
 
Hakuna anayemuombea mabaya Domo tunajaribu tu kumpa ushauri
 
Huna logical wala nn na Dogo atazidi kuwahenyesh sana na kama mnasubiri ashuke tafuten vit make maana miguu itaingia tumboni....the guy is smart
I like diamond platinumz, i like hIm coz ana "hustling mind" na mm ktk maisha yangu naamin zaid katka hustle kuliko talent so am nt his hater kama unavofikir lkn naongea kitu ambacho kiko real.
 
Ulishawahi sikiliza mziki wa kinigeria? Ulishawahi mfatilia mr flavour? Na kama unamjua mr flavour je unahis yuko sawa na mond au nani yuko juu ya mwenzake kimuziki? Ukinijibu haya nitakuambia kitu
Mr. Flaviour ni fundi wa muziki hasa , anaujua mziki vizuri kuanzia kuimba live hadi nyimbo zake ni legend hasa hata wakina davido na wizkid hawaingii kwa mr flaviour na wenyewe wanampa heshima acha diamond.
Japo kwenye market wizkid na davido wapo juu ya mr. Flavour
Aina ya mziki wa wizkid, davido na diamond ndio mahitaji ya sasa.
Ngoja nikupe mfano , unakumbuka wakati dbanj yupo juu zaidi africa? Na nyimbo zake za oliva twist au fall in love alikuwa haimbi ujumbe wowote wa maana lakini soko ndo lililokuwa linaamua aina ya mziki anaotakiwa kufanya
 
Goood umenielewa na nmekukubali... where is dbanji? Na kwann ukiingia naija leo ukamtaja mr flavour kila mmoja ataelezea uwezo wake ?
In short mr flavour ni mmoja wa wasaniii naweza sema wa kisasa wa Africa ambao wamefanikiwA sana kuacha mark ya music katika akil, roho na nafsi ya watu wa nigeria. Na si kwamba hajafahamika internationally, no jamaa anajina kubwa tu dunia. Diamond anataka kupoteza link iliyopo kati ya mziki wake na mashabik wake
 
Yap....diamond anatoa nyimbo mbovu sana kwa sasa....akae atulie atoe nyimbo za maana sio ujanja ujanja....naamin ataweza japo mda unamtupa mkono
 
Absolute.....!!!
 
"Hawaamini katika kutengeneza diamond au kiba wawili,wanataka kumshusha mmoja ili mwingine awe dili"-fid q(sumu)
 
Jamaa kasema kuna kijana alienda kuomba apingwe mpini wa tako jamaa akakataaa...sasa cjajua kama ni wew au vip
 


SHANGWA ZA "KIOO ALBUM LAUNCHING" ZINAENDELEA LEO KAMA KAWAIDA KATIKATI YA JIJI LA NAIROBI-KENYA..19/11/2016





 
Nadhani huelewe mziki wa africa ulivyo na ndio maana diamond ataendelea kuwakimbiza kwenye hilo soko mtaishia kusema anunua viewers.
Diamond sasa hivi anamasoko mawili , la nyumbani na la africa ndo maana yupo makini sana kubalance.
Nyimbo kama kidogo na nana ni soko ya africa ataendelea kupata shows mbalimbali mpaks togo, gambia ns cameroon.
Nyimbo kama utanipenda zitaendelea kubuluza nyumbani.
Eddy kenzo nae analijua vizuri soko la africa ndo maana ukisikiliza nyimbo zake wala hatumii nguvu nyingi, sity losa, disco disco, soreya, movie star hadi tuzo za bet kabeba
 
Ukiwa na hela aliyonayo mond afu ukafa kibudu ka mr. Nice unahitaji maono na maombi ya lema! mengi ulosema ni sawa ila hiyo ya kusema ataanguka ka mr nice braza umepuyanga mbaya.
unadhani nice mkenda hakuwa nazo? swala si hela swala ni mipango ya hizo pesa
 
Mkuu naona unajipa moyo sana
 
Hahaaa ndoto za kushiba ugali wa ucku,hata akianguka maendeleo anayo tayari,istoshe aliejuu usingoje chini pambana umfuate huko juu
 
Mnaongea nini nyie?

Mnamfahanu Whitney Hutson?

Alikuwa tajiri , huyo diamond zidisha mara 10000, lkn alikufa maskini

Wapo wengi tu,


Wewe acha uongo, aliokwambia Whitney Houston alikufa masikini ni nani? Whitney kafa kaacha bando la maana. Kufa kwa kuvuta madawa maana yake sio kufa masikini.
 
hivi kumbe salome kwenu ni nyimbo ya chini ya kiwango???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…