Huna logical wala nn na Dogo atazidi kuwahenyesh sana na kama mnasubiri ashuke tafuten vit make maana miguu itaingia tumboni....the guy is smartHahahahahahaha i think Am too logical thuy y umeshindwa kunielewa, tukiza akili jibu maswal yangu then i will tell u something. ..[emoji23][emoji23]
Hakuna anayemuombea mabaya Domo tunajaribu tu kumpa ushauriHizi wahenga wanaita dua za kuku kamwe haziwezi mpata mwewe...na watu wanasahau kadri mnavyo muombea mabaya ndivyo Sir God anavyozidi kum'bariki...Muda wake wa kushuka utafika ila sio sasa,na maneno mnayo muombea yanamfanya akomae zaidi kwenye game...km kweli mnataka ashuke ni bora mkae kimya ajisahau ashuke mwenyewe,mnachokifanya ss ni sawa na kumshtua shtua mtu anaetaka kulala...atakaza jicho balaaa na mwisho wa siku utalala ww unae mwamsha..ila all in all hii Ngoma ya rich mavoko itampeleka rich kimataifa wakapige dolari..na nnadhani target yao ni huko sio vituo vya runinga vya kibongo...
I like diamond platinumz, i like hIm coz ana "hustling mind" na mm ktk maisha yangu naamin zaid katka hustle kuliko talent so am nt his hater kama unavofikir lkn naongea kitu ambacho kiko real.Huna logical wala nn na Dogo atazidi kuwahenyesh sana na kama mnasubiri ashuke tafuten vit make maana miguu itaingia tumboni....the guy is smart
Mr. Flaviour ni fundi wa muziki hasa , anaujua mziki vizuri kuanzia kuimba live hadi nyimbo zake ni legend hasa hata wakina davido na wizkid hawaingii kwa mr flaviour na wenyewe wanampa heshima acha diamond.Ulishawahi sikiliza mziki wa kinigeria? Ulishawahi mfatilia mr flavour? Na kama unamjua mr flavour je unahis yuko sawa na mond au nani yuko juu ya mwenzake kimuziki? Ukinijibu haya nitakuambia kitu
Goood umenielewa na nmekukubali... where is dbanji? Na kwann ukiingia naija leo ukamtaja mr flavour kila mmoja ataelezea uwezo wake ?Mr. Flaviour ni fundi wa muziki hasa , anaujua mziki vizuri kuanzia kuimba live hadi nyimbo zake ni legend hasa hata wakina davido na wizkid hawaingii kwa mr flaviour na wenyewe wanampa heshima acha diamond.
Japo kwenye market wizkid na davido wapo juu ya mr. Flavour
Aina ya mziki wa wizkid, davido na diamond ndio mahitaji ya sasa.
Ngoja nikupe mfano , unakumbuka wakati dbanj yupo juu zaidi africa? Na nyimbo zake za oliva twist au fall in love alikuwa haimbi ujumbe wowote wa maana lakini soko ndo lililokuwa linaamua aina ya mziki anaotakiwa kufanya
Yap....diamond anatoa nyimbo mbovu sana kwa sasa....akae atulie atoe nyimbo za maana sio ujanja ujanja....naamin ataweza japo mda unamtupa mkonoHabari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.
Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.
Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.
Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
Absolute.....!!!Goood umenielewa na nmekukubali... where is dbanji? Na kwann ukiingia naija leo ukamtaja mr flavour kila mmoja ataelezea uwezo wake ?
In short mr flavour ni mmoja wa wasaniii naweza sema wa kisasa wa Africa ambao wamefanikiwA sana kuacha mark ya music katika akil, roho na nafsi ya watu wa nigeria. Na si kwamba hajafahamika internationally, no jamaa anajina kubwa tu dunia. Diamond anataka kupoteza link iliyopo kati ya mziki wake na mashabik wake
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Kazi unayo safari hii
Habari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.
Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.
Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.
Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
Nadhani huelewe mziki wa africa ulivyo na ndio maana diamond ataendelea kuwakimbiza kwenye hilo soko mtaishia kusema anunua viewers.Mr. Flaviour ni fundi wa muziki hasa , anaujua mziki vizuri kuanzia kuimba live hadi nyimbo zake ni legend hasa hata wakina davido na wizkid hawaingii kwa mr flaviour na wenyewe wanampa heshima acha diamond.
Japo kwenye market wizkid na davido wapo juu ya mr. Flavour
Aina ya mziki wa wizkid, davido na diamond ndio mahitaji ya sasa.
Ngoja nikupe mfano , unakumbuka wakati dbanj yupo juu zaidi africa? Na nyimbo zake za oliva twist au fall in love alikuwa haimbi ujumbe wowote wa maana lakini soko ndo lililokuwa linaamua aina ya mziki anaotakiwa kufanya
unadhani nice mkenda hakuwa nazo? swala si hela swala ni mipango ya hizo pesaUkiwa na hela aliyonayo mond afu ukafa kibudu ka mr. Nice unahitaji maono na maombi ya lema! mengi ulosema ni sawa ila hiyo ya kusema ataanguka ka mr nice braza umepuyanga mbaya.
Mkuu naona unajipa moyo sanaUnaongea nini wewe!!?
Alikuwa tajiri marekani , nao wana mifumo yao ya maisha, marekani kuna watu wanaitwa homeless, hapa bongo ukisha jenga nyumba umeula. Wao namna uchumi wao unavo endeshwa ni tofaut na sisi. Kwao ni rahisi kuwa tajiri wakati pia ni rahisi kufilisika.
Kwa namna yetu ya maisha ni kazi sana, hata huyo whutney houston hakufa akiwa ana 0 kabisa.
Hivi nyie mnavo kuongelea kufilisika kwa mr Nice mna kuchukulia poa ee!!?, Mr Nice alifilisika kweli kweli, it happens once in a hundred years hiyo ya Nice. Halafu mr Nice hakifilisika mali alifilisija pesa, hakiwekeza chochote, Ki ufupi alifulia tuu.
Diamond akifilisika hivo lazima tukampime akili.
Kwani ukitoa hoja zako bila kutukana unapungukiwa nini mkuu.Jamaa kasema kuna kijana alienda kuomba apingwe mpini wa tako jamaa akakataaa...sasa cjajua kama ni wew au vip
Hahaaa ndoto za kushiba ugali wa ucku,hata akianguka maendeleo anayo tayari,istoshe aliejuu usingoje chini pambana umfuate huko juuHabari zenu wakuu.
Kwa jinsi upepo unavyovuma sina budi kusema kwamba huyu kijanaa mwenzetu kutoka tandale anaelekea kuanguakia pua kama ilivyotokea kwa msanii mwenzake Mr nice( Lucas mkenda),sababu kubwa itakayofanya huyu kijana wetu aanguke mshindo mkubwa ni kulewa sifa kiasi kwamba anatumia umaarufu wake kutoa nyimbo ambazo hazina viwango.
Kitu kingine ni kwamba inaonekana huyu bwana mdogo anatumia nguvu na ukubwa wa timu yake kusambaza nyimbo ambazo ziko chini ya kiwango kitu ambacho ni makosa makubwa kwasababu sisi ambao hatuna timu au hatuko kwenye timu yake ni rahisi sana kuona ubovu wa nyimbo zake kwasababu tunatumia akili zetu kuchambua tofauti na members wa timu yake ambao hutumia mihemko.
Kitu kingine anachofanya huyu kijana ambacho sio kizuri ni kutumia nguvu kubwa kwenye video ili kuficha ubovu wa audio kitu ambacho kwa upande mwingine kinapelekea kuwanyima haki ya kusikiliza mziki mzuri wale wasiotizama video zake.
Mwisho.
Diamond alikuja vizuri sana lakini huko anakoenda kuna giza nene lisiloelezeka, kwani kwa hizi nyimbo zake mbili mpya za yeye na Neyo na rich mavoko zinaashiria kwamba graph yake inashuka kwa kasi.
Namshauri aangalie sana management aliyonayo kwa sasa maana naona huyu "Salam" anafanya umbeya zaidi kuliko kazi anazotakiwa kufanya,pia ikiwezekana siku moja moja afanye nyimbo zake kwenye studio nyingine siyo kila siku "WASAFI RECORD"maana naamini hawawezi kujua kila kitu,pia aache kufanya vitu kwa mazoeya.
Mnaongea nini nyie?
Mnamfahanu Whitney Hutson?
Alikuwa tajiri , huyo diamond zidisha mara 10000, lkn alikufa maskini
Wapo wengi tu,