Anguko la Kocha Mokwena na team ya mamelodi je ni Karma ya Yanga?

Anguko la Kocha Mokwena na team ya mamelodi je ni Karma ya Yanga?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen..!

Wote tunakumbuka namna mamelodi pamoja na aliyekuwa kocha wao bwana Rhulani mokwena walipoikonya yanga ushindi wao halali kabisa na kwenda kutolewa hatua ya nusu final.

Kwa sasa mokwena ana hali ngumu pale wydad kwani amekuwa mtu wa vipigo kila siku anababuliwa kama chapati.

Kwa sasa Raja casablanca wamerudi kwenye peak yao na wamemleta pape sakho na pia kiungo wa shoka fede bikolo..

Kwahiyo bwana mokwena ili mambo yake yaende sawa anapaswa kutubu na kukiri public kuwa waliifanyia dhuluma yanga bila hivyo ataendelea kula kibano mpaka aseme .

Na hata sasa huko kashakula kimoja cha mkwezi ..

Hata hao Mamelodi huku CAFCL watatoka mapema sana sana..

Karma is a real deal
 
Huenda ukubwa wa ligi ni changamoto kwake, sidhani kama Psl ni sawa na ligi shindani aliyopo sasa.
Hiyo nayo ni sababu kuu
Psl ni ligi nyepesi sana kuliko wydad halafu mokwena hakuzoea competition alirelax sana na huku kakutana na competition kubwa sana team ya kwanza mpaka ya mwisho zote zina pesa

Wanatofautiana utajiri tu so lazima asande .

Kule hakuna Baroka fc wala supersport fc
 
Uto mna roho mbaya sana, hadi shetani anawashangaa. Makosa ya refa mnaenda kushikilia na kuishi na husda na visasi katika mioyo yenu dhidi ya wachezaji wote wa Mamelodi tena hata wale waliokwishaondoka, makocha hata wale waliokwishaondoka, na aliyewahi kuwa mmiliki ambaye technically hata wakati mnacheza nao hakuwa mmiliki tena. Nyie mmedhulumu wangapi?

Viumbe wa ajabu sana nyie.
 
Anguko gani ilo?? Waydad msimu ulioisha wamemaliza vibaya ata kupelekea mkukosa mashindano ya caf kitakachowaokoa ni kuwa watashiriki afl na word cup!! Hivyo msimu huu waydad wanajenga timu upya na ndo maana wamesajili wachezaji wapya wengi so kocha mokwena yupo salama kabisa ata mabosi zake wanajua wanchopitia maana kwenye ligi wamecheza mechi tatu wameshinda moja wametoa sare moja wamefungwa moja sasa sijui ilo anguko la makwena lipo wapi apo?.
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Bila hata Yanga kukataliwa goli

Mamelodi Caf sio timu ya kutisha

Huwa inatolewa hatua zile zile za robo fainali ama nusu fainali

Hata Esperence alifurahia sana alipugundua nusu fainali atacheza na mamelodi. Alijua tu njia za kumtoa ni zile zile za miaka yote. Paki bus kisha piga mawe

Esperence alimuogopa yanga kuliko mamelodi maana alijua balaa la yanga ni zito.

Kwa mamelodi akajipigia zake nje ndani. Kwa ku paki bus tu na kupiga counter attack zenye mawe makali
 
Anguko gani ilo?? Waydad msimu ulioisha wamemaliza vibaya ata kupelekea mkukosa mashindano ya caf kitakachowaokoa ni kuwa watashiriki afl na word cup!! Hivyo msimu huu waydad wanajenga timu upya na ndo maana wamesajili wachezaji wapya wengi so kocha mokwena yupo salama kabisa ata mabosi zake wanajua wanchopitia maana kwenye ligi wamecheza mechi tatu wameshinda moja wametoa sare moja wamefungwa moja sasa sijui ilo anguko la makwena lipo wapi apo?.

Mashindano ya AFL yameshafutwa. CAF wameona hayana utaratibu mzuri wa kupata washiriki.
 
Tupunguze malalamiko na tujifunze kusonga mbele, japo lilishapita na tuko mbele halina maana yote
 
Bila hata Yanga kukataliwa goli

Mamelodi Caf sio timu ya kutisha

Huwa inatolewa hatua zile zile za robo fainali ama nusu fainali

Hata Esperence alifurahia sana alipugundua nusu fainali atacheza na mamelodi. Alijua tu njia za kumtoa ni zile zile za miaka yote. Paki bus kisha piga mawe

Esperence alimuogopa yanga kuliko mamelodi maana alijua balaa la yanga ni zito.

Kwa mamelodi akajipigia zake nje ndani. Kwa ku paki bus tu na kupiga counter attack zenye mawe makali
Safi uko makini sana
 
Kilichotokea ni mambo ya mpira. Karma ingekwepo kwenye mpira basi Simba na Yanga zingekuwa zinacheza Championship saivi. Maana hawa ndo mabingwa wa kudhulumu timu ndogo.
 
Back
Top Bottom