Labda anakukula wewe kenge kabisa!Makonda yupo na anakula good time tu
Mpunga anao
Ova
Mrangi kweli wewe pumbafu sana!Anaishi + anakula bata tu
Bora watu sahivi wamchunie tu
Hajapoteza kitu
Ova
Kawoli!Una chuki gani na Makonda mpaka uibue tena ishu yake leo wakati tulishaifunga? Alikuchukulia mkeo?
Kuna huyo mwingine nae km vile sijui Dar kafika leo.Siasa za kujipendekeza kupotea ni rahisi sana na kurudi pia ni rahisi hivyo hivyo.
WapiNi majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Yupo huko arushaWapi