Anguko la Makonda

Anguko la Makonda

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.

Tukumbuke Makonda ni nani

Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa

1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.

2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.

3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).

4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.

5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.

6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.

7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.

8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.

9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.

ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.

PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.

Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.

Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
 
Kabisa huyo mtu ni noma,ana pesa za hatari,kwasasa alichokosa ni media coverage tu.
Nimekutana naye mara kadhaa kule masaki mwisho jirani na police post.

Kwenye uwanja ule wa mpira yupo naye anapiga tizi...umeona peach ile walivyoitengeneza.

In short mwana fungu lipo mambo yake yanakwenda kama kawaida tu.

Ova
 
Nimekutana naye mara kadhaa kule masaki mwisho jirani na police post
Kwenye uwanja ule wa mpira yupo naye anapiga tizi...umeona peach ile walivyoitengeneza
In short mwana fungu lipo mambo yake yanakwenda kama kawaida tu

Ova

Yes PCM mambo yake safi tu, sijatimba pande hizo saki/bay kitambo sana.....Bora apige tizi apunguze wese maana kwa raha anazokula anaweza akamfikia le mutuz.
 
hajaanguka, ila kuna siku ndio ataanguka kabisa. ajishushaye atakwezwa na ajikwezaye atashushwa, Neno la Mungu latuonya, unyenyekevu tujivike, Mungu huwapinga wenye kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema!

principle hii haijawahifanya makosa, hufuata mstari ulionyooka. hata akiinuliwa sasaivi kama atakuwa na kiburi, aibu kubwa inamsubiri.
 
hajaanguka, ila kuna siku ndio ataanguka kabisa. ajishushaye atakwezwa na ajikwezaye atashushwa, Neno la Mungu latuonya, unyenyekevu tujivike, Mungu huwapinga wenye kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema!

principle hii haijawahifanya makosa, hufuata mstari ulionyooka. hata akiinuliwa sasaivi kama atakuwa na kiburi, aibu kubwa inamsubiri.
Hajaanguka,jiwe kuna kitu anamuandalia
 
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa....
Mkuu naona huzijui siasa za Tanzania,uliza akina Simbachimwene, Mwigulu,Nchimbi ya kesho huyajui na hujui aliyeaanguka juzi kesho kutwa anaweza akaamuka, angalia hata kule Zenj, makamu wa kwanza wa raisi ndie yule aliyetupiwa vilago miaka ya nyuma ,na hata Makonda unaweza shangaa kesho kaula tena zaidi ya huko nyuma,nani alitegemea Bashiru kuwa KMK?
 
ipo siku huyu jamaa atarudi,tena kwa position ile ile RC Ila itakuwa mbali na mkoa wa dar.namaanisha pembeni mwa nchi kabisa. take my word,!!
 
Back
Top Bottom