Anguko la Nyani Ngabu

Hakyanani...[emoji23]
 
Mchizi, usiamini kila kitu anachosema nyani. Utapotea.
 
Nyani Ngabu tokea atekwe na akina Mamvi, na kundi lake, amepoteza kabisa uelekeo, binafsi miaka ya 2010 nilikuwa namuhusudu na kumkubali, ila kwa sasa ni pumba tupu, na niseme ukweli alini empress kuwa na ID humu Wakati huo nilikuwa kama guest tu.
 
Yule ana miaka mingi tu si 35 tu anaelekea kuumaliza ujana,hawa ni watu walioanzisha Jambo Forums enzi hizo na hiyo ya kupewa Platnam ni kwa sababu amekuwa member active toka zamani,hongera yake Nyani Ngabu toka Ikungulyabashashi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…