Uchaguzi 2020 Anguko la Upinzani Tanzania. Tuanze upya

Uchaguzi 2020 Anguko la Upinzani Tanzania. Tuanze upya

Kweli yani hapo ndipo wapinzani waliposhindwa kwendana nasisi wananchi tuliowatuma Bungeni. Unakuta sisi wananchi tuna shida na mradi wa maji lakini mbunge anafuata itikadi ya chama chake kwa kukataa na kupinga kila kitu bila kujiuliza wananchi walionituma Bungeni wanashida zipi nizipeleke kunakohusika zipate utatuzi. Kweli hapa wenzetu walijisahau. Wakirudi baada ya miaka 5 wabadirishe mfumo wa kuendesha upinzani. Sio lazima wasifie tu bali kizuri wakikubali na penye mapungufu watusemee daima tutaona wanatuakirisha vyema Bungeni.
Kupinga kila kitu ni lazima kwa sababu hakuna kitu kizuri kunafanywa na CCM vyote ni vya hovyo na kama ni miradi imejaa ufisadi mkubwa CCM ni ile ile ukoo wa panya hawana cha maana wanakifanya kikakosa kasoro ndiyo maana wapinzani huwapinga mda wote
Na mtu kama wewe Ndiyo unategemewa Na Upinzani Uchwara na Akili kama hizi
Bado sana Kuiongoza nchi hii
Mmejawa chuki ujinga na Ulimbukeni
Poleni sana
 
Tumekuwa tukisema Tanzania haina Upinzani waliopo ni Mamluki na Wachumia Tumbo
Yaani wao wenyewe Kujiongoza wameshindwa Waiongoze Tanzania kweli!!
Yaani mwenyekiti kama Mbowe Ana ng'ang'ania kiti Kama kupe
Na anaye jaribu Kumpinga kwake Adui
Sasa malengo yake nini kuisaidia nchi au tumbo lake!
Nchi inapambana kujikwamua upinzani Unapambana Kuiangusha nchi Hao kweli wakushinda uchaguzi!!
Watu wasitafute Visingizio
Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani hiyo mifano yako ya mwenyekiti Mbona hamukuacha wananchi waamue wenyewe? Kwa nini muibe kura?
 
View attachment 1616010
Kuna siku utalia lakini utakuwa ushachelewa magufuli anatengeneza empire yake ya milele ukitaka kubaki madarakani muda mrefu anza na wabunge kisha hamia kwenye katiba nani mwenye ubavu mbunge wa ccm kumhoj au kuhoj jambo kwa magufuli na ndugai? Mjomba umekwisha huo msiba sio wa upinzani unatuhusu wote muda ni hakimu mzuri sana ile zimbabwe ya 2008 ndio tanzania mpya ya magufuli
Magufuli ameshaongea na kuahidi mara nyingi kwamba muda wake ukiisha wa kukaa madarakani kwa mujibu wa sheria hatozidisha hata dk 5, ataondoka na katika kulionyesha hili kwa mfano wafuatilie wafuatao:
Juma Mkamia alianzisha hoja ya Magufuli kuongezewa muda madarakani, nadhani unajua aliko.
Ally Kessy aliikoleza hoja ya Magufuli kuongezewa muda wa kukaa madarakani, nadhani unajua aliko
Kangi Lugola akamfananisha Magufuli na yesu, nadhani unajua aliko.
Hoja ya Magufuli kung'ang'ania madarakani nadhani mnaikuza na kuishikilia kwa kuwa hamna hoja tena zenye mashiko mnazoweza kuja nazo kumpinga so nikuja na uzushi. Bado mnashangaa kwa nini wananchi wamewakataa? Basi hamjifunzi
 
Magufuli ameshaongea na kuahidi mara nyingi kwamba muda wake ukiisha wa kukaa madarakani kwa mujibu wa sheria hatozidisha hata dk 5, ataondoka na katika kulionyesha hili kwa mfano wafuatilie wafuatao:
Juma Mkamia alianzisha hoja ya Magufuli kuongezewa muda madarakani, nadhani unajua aliko.
Ally Kessy aliikoleza hoja ya Magufuli kuongezewa muda wa kukaa madarakani, nadhani unajua aliko
Kangi Lugola akamfananisha Magufuli na yesu, nadhani unajua aliko.
Hoja ya Magufuli kung'ang'ania madarakani nadhani mnaikuza na kuishikilia kwa kuwa hamna hoja tena zenye mashiko mnazoweza kuja nazo kumpinga so nikuja na uzushi. Bado mnashangaa kwa nini wananchi wamewakataa? Basi hamjifunzi

Maendeleo hayana chama
 
Na mtu kama wewe Ndiyo unategemewa Na Upinzani Uchwara na Akili kama hizi
Bado sana Kuiongoza nchi hii
Mmejawa chuki ujinga na Ulimbukeni
Poleni sana
Wewe Mbona ni mbumbumbu juha zuzu kilaza mbweha kuwa mpishi wa polepole eti na wewe unajiona ni tegemezi la wenye Akili huko CCM na kama wewe ndiyo mwenye Akili huko CCM basi wanaokutuma watakuwa mazezeta balaa , CCM imevurugwa na washamba kama wewe ndiyo maana mipango ya hovyo haiishi huko CCM, acheni kuishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi mpaka mnaenda kubaka uchaguzi na kuwa na Bunge la hovyo na la ajabu Duniani kwani kila kitu Bungeni kitakuwa ni ndiyooo ndiyoo hakuna hoja za maana zitajadiliwa huko
 
Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani hiyo mifano yako ya mwenyekiti Mbona hamukuacha wananchi waamue wenyewe? Kwa nini muibe kura?
Hayo niyako
Ukweli upo pale pale
Wananchi wamewakataa mamluki na Wasaliti
Nendeni mkawalipe Mabwana wenu Shughuli imebuma
 
Wewe Mbona ni mbumbumbu juha zuzu kilaza mbweha kuwa mpishi wa polepole eti na wewe unajiona ni tegemezi la wenye Akili huko CCM na kama wewe ndiyo mwenye Akili huko CCM basi wanaokutuma watakuwa mazezeta balaa , CCM imevurugwa na washamba kama wewe ndiyo maana mipango ya hovyo haiishi huko CCM, acheni kuishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi mpaka mnaenda kubaka uchaguzi na kuwa na Bunge la hovyo na la ajabu Duniani kwani kila kitu Bungeni kitakuwa ni ndiyooo ndiyoo hakuna hoja za maana zitajadiliwa huko
Utatukana Matusi yoote
Utaandika Gazeti reeefu
Lakini ukweli upo pale pale
watanzania wamekataa kuwapa Mamluki nchi
Na hilo tuliwaambia mapema huyo Shoga wenu hata pata hata 20%
Magufuli Ataondoka Muda ukifika 2025
Au mungu pekee aamue lakini Sio Wapuuzi kama nyie
 
Na mtu kama wewe Ndiyo unategemewa Na Upinzani Uchwara na Akili kama hizi
Bado sana Kuiongoza nchi hii
Mmejawa chuki ujinga na Ulimbukeni
Poleni sana
Upinzani ungekuwa ni uchwara mngekuwa kutwa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji usio na kikomo? Ulimbukeni unao wewe mwenye utindio wa Ubongo hujui kuwa mwenye chuki ni CCM kwani siku zote CCM ndiyo huihujumu na kuidhoofisha chadema , pole upewe wewe mbweha kwa kutojitambua
 
Upinzani usipofanya haya basi usahau kukamata dola:
  1. Kushinikaza au kudai katiba mpya. Vyama vya upinzani vinatakiwa kuwa na umoja kwa ajili ya kudai katiba mpya. Katiba ya nchi hii ndiyo kikwazo namba moja cha upinzani kuendelea kusindikiza tu wenzao ccm kila uchaguzi hata pale inapoonekana kabisa wananchi wanataka mabadiliko kupitia vyama vya upinzani. Ningemuelewa sana zitto, Lissu na hata jasusi bobezi lisilojua kujieleza mbele ya kadamnasi (Membe) kama safari zao za ndani ya hii nchi na hata safari zao za kuzunguka ulaya na marekani wangekuwa wanatafuta support ya kuiwezesha katiba ya Tanzania kubadilishwa.
  2. Kujenga vyama vyao kuanzia ngazi za vitongoji/Vijiji/Mtaa (grassroot level) ili kupata mtaji wa wanachama wa kudumu na pia kuwawezesha sera za vyama vyao kuwafikia wananchi wengi kwa urahisi zaidi badala ya kusubiri siasa za mihemuko au uanaharakati ambazo huwa hazina uhalisia kabisa. Wawe na media kama magazeti ya vyama vyao, gazeti la upinzani, redio na hata television chanell kwa lengo la kupeleka sera zao kwa wananchi kwa urahisi badala ya kuwa na njia moja tu ya mikutano ya hadahara.
  3. Kufanya mabadiliko ya uongozi katika vyama vyao kwa lengo la kuondoa dhana potofu ya chama kuaonekana kama kinamilikiwa na mtu/watu wachache au kundi fulani katika jamii na hivyo kuleta taswira kwenye jamii kwamba hicho ni cha watu au jamii fulani.
  4. Kuwaandaa viongozi/wagombea mapema ili kuwapa muda wa kutosha kujua kero au shida za sehemu wanazoongoza/kugombea ili kutafuta njia bora za kutatua kero za sehemu husika ambazo ndizo zitaunda ilani ya uchaguzi wa vyama vyao.
  5. Kuandaa ilani za uchaguzi zinazoongelea kwa kina ni kitu gani wanataka kuwafanyaia watanzania na kwa namna gani, wapi, na ndani ya muda gani. (a detailed party election manifesto).
  6. Kuwa na vyanzo vya mapato: Wapinzani hasa hivi vyama vikubwa vya upinzani vinatakiwa kubuni na kuanzisha vyanzo vya mapato ili kuviwezesha vyama hivyo kujijenga badala ya kutegemea ruzuku toka serikalini tu.
NAWASILISHA. POVU RUKSA.
Acha kupotosha. CCM imeiba kura na ilipigisha kura tarehe 27/10/2020 chini ya ulinzi wa vyombo vyake vya dola. Upinzani hauna polisi wala jeshi unategemea nguvu ya umma kwenye sanduku la kura. Umma hauna bunduki wala mabomu ya machozi. Mfumo kandamizi wa CCM unaotawala kuanzia jeshi, tume ya uchaguzi utafanya lolote kushinda na kukaa madarakani kimabavu.Hoja ulizotoa hapo ni za mawazo mgando na za kipuuzi.
Mpaka sasa hivi wabunge waliokuwa vichwa na analytical walikuwa wanatoka upinzani. Wabunge wa upinzani walikuwa wanawafichia uch ila sasa hivi hivi mko wenyewe bungeni just wait and see mtakavyokuwa naked. Wenyewe mtajishtukia kwamba we made a great mistake some where and now we are in for it. Only time will judge this
 
Upinzani ungekuwa ni uchwara mngekuwa kutwa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji usio na kikomo? Ulimbukeni unao wewe mwenye utindio wa Ubongo hujui kuwa mwenye chuki ni CCM kwani siku zote CCM ndiyo huihujumu na kuidhoofisha chadema , pole upewe wewe mbweha kwa kutojitambua
Kila mstari Tusi
Yaani Ndio inavyo onyesha Ukilaza wako mpaka mgombea wenu
Aliahindwa kutoa Sera au muongozo wake lipi atafanya akawa kutwa ni Kitukana hovyo
Sasa Amevuna Alicho pata
 
Acha kupotosha. CCM imeiba kura na ilipigisha kura tarehe 27/10/2020 chini ya ulinzi wa vyombo vyake vya dola. Upinzani hauna polisi wala jeshi unategemea nguvu ya umma kwenye sanduku la kura. Umma hauna bunduki wala mabomu ya machozi. Mfumo kandamizi wa CCM unaotawala kuanzia jeshi, tume ya uchaguzi utafanya lolote kushinda na kukaa madarakani kimabavu.Hoja ulizotoa hapo ni za mawazo mgando na za kipuuzi.
Mpaka sasa hivi wabunge waliokuwa vichwa na analytical walikuwa wanatoka upinzani. Wabunge wa upinzani walikuwa wanawafichia uch ila sasa hivi hivi mko wenyewe bungeni just wait and see mtakavyokuwa naked. Wenyewe mtajishtukia kwamba we made a great mistake some where and now we are in for it. Only time will judge this
Lete ushahidi wa hizo porojo zako. Kama huna ushahidi na unyamaze maana utakuwa unaongea utopolo. Hiyo nguvu inayoiwezesha ccm kutumia vyombovya dola vya watanzania wote inatoka kwa nani kama si udhaifu wa katiba yetu ya sasa? ACHA MIHEMUKO POZA AKILI UJIBU KWA HOJA!
 
Utatukana Matusi yoote
Utaandika Gazeti reeefu
Lakini ukweli upo pale pale
watanzania wamekataa kuwapa Mamluki nchi
Na hilo tuliwaambia mapema huyo Shoga wenu hata pata hata 20%
Magufuli Ataondoka Muda ukifika 2025
Au mungu pekee aamue lakini Sio Wapuuzi kama nyie
Ukweli upi? Watanzania wa wapi unawasemea? Hakuna watanzania wenye Akili timamu wanaweza kuichagua CCM, wewe ndiyo shoga uliiba kura mapema ukaziweka kwenye viroba ndipo ukaja na 20% kinafiki, mungu pekee yupi? Mungu yupi unamsemea? Hakuna mungu ataukubali upuuzi wako na hao shetani wanaokutuma, laana za wapiga kura zipo mbioni hamfiki hata miezi mitatu uchaguzi huru na haki lazima ufanyike
 
Kila mstari Tusi
Yaani Ndio inavyo onyesha Ukilaza wako mpaka mgombea wenu
Aliahindwa kutoa Sera au muongozo wake lipi atafanya akawa kutwa ni Kitukana hovyo
Sasa Amevuna Alicho pata
Amevuna nini kapanda? Wananchi wamemchagua chadema vizuri lakini NECCCM Tumeccm Polisiccm na wakurugenziccm wamenajisi na kuubaka uchaguzi , sera muongozo na nani? NECCCM ni chombo binafsi cha CCM iweje kitoe muongozo kwa wapinzani?
 
Utatukana Matusi yoote
Utaandika Gazeti reeefu
Lakini ukweli upo pale pale
watanzania wamekataa kuwapa Mamluki nchi
Na hilo tuliwaambia mapema huyo Shoga wenu hata pata hata 20%
Magufuli Ataondoka Muda ukifika 2025
Au mungu pekee aamue lakini Sio Wapuuzi kama nyie
Pemba unguja wapiga kura walioporwa haki zao za kuchagua wote wanawasomea Albadiri kubwa lazima mkae na ushetani lazima mtakoma kupora haki za wapiga kura
 
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani kabsa
 
CCM bila Aibu bila kumuogopa mungu wanakaa wanajisifu eti wameshinda uchaguzi? CCM acheni kuwakebehi watanzania kwani wanajua CCM imefanya nini juu ya uchaguzi huu wa maigizo na vioja kuihadaa Dunia
 
Back
Top Bottom