Upinzani gani wakupinga kila jambo zuri,kwa jinsi walivyo nisahihi wafutike kabisa.
Kwanza kunamambo mengi waliyofanya mpaka wakapoteza matumaini kwa watanzania wengi.
1)Taifa lilipopata msiba wa Maige na Mkapa R.I.P walitumia mudawao kukebehi na kukashifu misiba hii ya viongozi wetu.
2)Baada ya Kenya,Rwanda,Zambia,Malawi kufunga mipaka wakidai Tanzania tuna Corona JPM nae alifunga mipaka walimbeza sana,cha ajabu na wao waliungana na misimamo ya hayo mataifa kunyanyapaa taifa lao la Tanzania.
3)wakati JPM akihimiza njiambalimbali za kupambana na Corona na kijifunza kuishi na Corona,hawajamaa walibeza waziwazi tena kwasauti pana,walisambaza video na takwimu feki kuwapa watanzania hofu.
4)walisambaza picha kubeza nyumba za udongo vijijini kuwa na umeme.
5)awataki kusikia miradi mizuri ya taifa kama sgr,bwawa la kufua umeme,vivuko,barabara,umeme mpaka vijijini n,k.
6)taifa likipata janga dogo tu mfano kama mafuriko,jamaa wanatumia janga ilo kuinanga serikali na taifa kwaujumla.
kwa tabia hizi na zingine nyingi,sioni umuhimu wa kuwa na upinzani wa namna hii Tanzania.