Mtoto Wabibi
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 451
- 294
kwa kuwa umeuliza uongozi basi bata anaongoza vizuri (yani kuonesha njia na kuwa mfano kwa watoto wake) kila anapokwenda.
lakini heading imeuliza busara lakini hauja specify katika lipi..! je tumuangalie mnyama kama mnyama au tuangalie huo mpangilio?
kwa busara katika huo mpangilio basi "bata" ana busara zaid kwani huwapanga watoto wake kwa mstari mmoja katika msafara wake
Pia kuna suala la usalama wa mpangilio hujauliza basi nitajibu nikiulizwa.
lakini heading imeuliza busara lakini hauja specify katika lipi..! je tumuangalie mnyama kama mnyama au tuangalie huo mpangilio?
kwa busara katika huo mpangilio basi "bata" ana busara zaid kwani huwapanga watoto wake kwa mstari mmoja katika msafara wake
Pia kuna suala la usalama wa mpangilio hujauliza basi nitajibu nikiulizwa.